Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w , sehemu ya 19. Hapa utajifunza maisha ya Mtume kabla ya utume.
MAISHA YA MTUME (S.A.W) KABLA YA UTUME
Muhammad alipokuwa ni kijana alikuwa ni mwenye tabia njema, mwenye mwenendo mwema, mkweli na muaminifu. Waarabu walimwita jina la Al-Amini yaani mwaminifu. Alikuwa ni mwenye busara na akili sana. Alikuwa si muongeaji sana muda mwili alikuwa mkimya huki akitafakari ukweli katika maumbile ya mbingu na ardhi.
Katu hakuwahi kusujudia sanamu wala ibada za kijahilia. Hakuwahi kupigana wala kugombana. Katu hakuthubutu kula nyama iliyochinjwa kwa ajili ya ibada za masanamu na mila zao za kijahilia. Pia hakuweza kumvumilia yeyote ambaye anaapa kwa jina la Al-lat au Al-Uzaa na haya ni majina ya miungu yao.
Umeionaje Makala hii.. ?
Sura hii ni katika sura za mwisho kushuka, huwendakuwa ndio ya mwisho kabisa. Masahaba waliamini kuwa sura hii imetabiri kifo cha Mtume S.A.W
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu srat al fatiha, faida zake na maudhui zake
Soma Zaidi...ASBAB NUZUL SABABU ZA KUSHUKA AYA NA SURA KWENYE QURAN Quran imeteremka kwa muda wa miaka 23 kidogokido.
Soma Zaidi...(vii)Dai kuwa Muhammad (s.
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Aina za idgham ni idgham al mutamathilain, na idgham al mutajanisain
Soma Zaidi...