sura ya 11

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

SURA YA 11
MADD (Al-Maddul-Far-โ€™iy)

Al-Maddul-Far-โ€™iy
ุงู„ู’ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ููŽุฑู’ุนูŠ - Al-Maddul-Far-โ€™iy
Madd ambayo hutegemea sababu nyengine ima iwe hamzah au sukuwn ili iweze kurefushwa kuvutwa kwake kuishinda ู…ูŽุฏู ุงู„ุทู‘ูŽุจููŠุนูŠ (maddutw-twabiyโ€™iy) na hiyo sababu ya nje. Imeitwa โ€˜Al-Far-iyโ€™ (tawi) kwa sababu madd hizi sio za asili bali zimechipuka kutoka katika ู…ูŽุฏู ุงู„ุทู‘ูŽุจููŠุนูŠ (maddutw-twabiyโ€™iy) . ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ููŽุฑู’ุนููŠ Maddul-Far-โ€˜iy Hugawanyika sehemu mbili kutokana na sababu inayopelekea kuwa madd:
โ€ข Madd kutokana na hamzah
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ูˆุงุฌูุจู ุงู„ู’ู…ูุชู‘ูŽุตูู„ . 1 Maddul-Waajib Al-Muttaswil
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ุฌู’ุงุฆุฒู ุงู„ู…ู†ูู’ูุตูู„ . 2 Maddul-Jaaiz Al-Munfaswil
ู…ูŽ ุฏู‘ู ุงู„ุตู‘ูู„ ุฉู ุงู„ู’ูƒูุจู’ุฑูŽู‰ . 3 Maddusw-Swillatil-Kubraa

โ€ข Madd kutokana na sukuwn
ู…ูŽุฏู‘ ุงู„ู’ุนุงุฑูุถ ู„ูู„ุณู‘ููƒููˆู† . 1 Maddul-โ€˜aaridhwi lis-sukuwn
ู…ูŽุฏู‘ ุงู„ ู„ูŠู† . 2 Maddul-liyn
ู…ูŽุฏ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู… . 3 Maddul-laazim

Madd kutokana na hamzah:
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ูˆุงุฌูุจู ุงู„ู’ู…ูุชู‘ูŽุตูู„ . 1 (Maddul-Waajib Al-Muttaswil) Na inaitwa โ€˜Waajibโ€™ kwa kuwa Maqurraa wote wamekubaliana kuivuta zaidi kuliko ู…ูŽุฏู ุงู„ุทู‘ูŽุจููŠุนูŠ (maddutw-twabiyโ€™iy). Na inaitwa โ€˜Muttaswilโ€™ kwa kuwepo hamzah na madd katika neno moja. Hukmu yake katika riwaayah ya Hafsw โ€˜an โ€˜Aaswim twariyq Ash-Shaatwibiyyah ni kuivuta ima kwa harakah nne au tano.
MADD


2 (Maddul-Jaaiz Al-Munfaswil) Ni kuwepo herufi ya madd mwisho wa neno, na kufuatiwa na hamzah katika mwanzo wa neno linaloifuatia. Huvutwa haraka nne mpaka tano.
MADD

Madd kutokana na sukuwn
ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู’ุนุฃุฑูุถ ู„ูู„ุณู‘ููƒููˆู† .. 1 Maddul-โ€˜aaridhw lis-sukuwn
Ni kuwepo baada ya herufi ya madd na baada yake sukuwn โ€™aaridhw kwa sababu ya kusimama. Hukmu yake kwa kila qiraa-ah inajuzu kuivuta katika hali tatu:
โ€ข Qaswr (kuifupisha) kama harakah mbili
โ€ข Tawasw-swutw (wastani) harakah nne
โ€ข Twuwl (kurefusha) harakah sita.
MADD


2 Maddul-Liyn
Hii ni madd ambayo ni tofauti na madd nyinginezo kwa sababu herufi zake ni tofauti kwani hizo zinajulikana ni โ€˜herufi za maddโ€™ ( ุง ูˆ ูŠ ) zinazonasibiana na iโ€™raab katika herufi ya kabla yake. Ama hii inajulikana kuwa ni โ€˜Harfulliynโ€™. Herufi za ุงู„ู„ูู‘ูŠู† (liyn) ni herufi za ูˆ au ูŠ zinapokuwa saakin na kabla yake ni herufi iliyokuwa na fat-hah: รImeitwa ุงู„ู„ูู‘ูŠู† (liyn) kwa sababu ya kutamkwa kwake kwa usahali (ulaini) bila ya taklifu.
ุงู„ู„ูู‘ูŠู† (liyn)Ni kuwepo baada ya herufi ya ุงู„ู„ูู‘ูŠู† na baada yake sukuwn โ€™aaridhw kwa sababu ya kusimama. Hukmu yake ni kuvutwa harakah ima mbili au nne au sita kwa kila qiraaah

MADD
3 Maddul-Laazim
Ni kuwepo baada ya herufi ya madd herufi saakin yenye sukuwn ya asili ambayo inayothibiti wakati wa kusimama na kuunganisha. Maqurraa wamewafikiana katika kuivuta madd hii harakah sita. ู…ูŽุฏ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู… (maddullaazim) na huvutwa haraka 6 inagawanyika sehemu mbili:
I. ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ Al-Kalimiyy (ya neno)
II. ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ Al-Harfiyy (ya herufi)

I. ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ Al-Kalimiyy (ya neno):
i. ุฃู„ ู…ูŽุฏู‘ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู… ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ ุงู„ู’ู…ูุซูŽู‚ู‘ูŽู„ Al-Madd Al-Laazim Al-Kalimiyyi Al-Muthaqqal
Huitwa ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ (ya neno) kwa vile inatokana na neno. Huitwa ุงู„ู’ู…ูุซูŽู‚ู‘ูŽู„ (iliyo nzito) itakapokuja baada ya herufi ya madd herufi yenye shaddah. Itambulike kuwa herufi yenye shaddah asili yake ni herufi mbili zinazofanana; ya kwanza huwa ni saakin na ya pili ni yenye iโ€™raab, hivyo ikatokea idghaam.
MADD


ii. ุงู„ู’ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู„ุงู‘ูŽุฒูู…ู ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ู ุงู„ู’ู…ูุฎูŽูู‘ูŽู Al-Madd Al-Laazim Al-Kalimiyyi Al-Mukhaffaf
Huitwa ุงู„ู’ูƒูŽู„ูู…ููŠู‘ู (ya neno) kwa vile inatokana na neno. Huitwa ุงู„ู’ู…ูุฎูŽูู‘ูŽู (khafifu) itakapokuja baada ya herufi ya madd herufi saakin isiyo na shaddah kwa maana, hapatoeki idghaam. Katika riwaayah ya Hafsw โ€˜an โ€˜Aaswim hakuna isipokuwa mara mbili pekee katika neno moja tu nalo ni tรธ9!#u katika Swurat
Yuwnus aya 51 na 91

II. ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ Al-Harfiyy: (ya neno)
ุงู„ู’ู…ูŽุฏ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู…ู’ ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ Al-Madd Al-Laazim Al-Harfiyy ni madd inayopatikana katika herufi zilizokuja kwenye mwanzo wa Suwrah 29 za Qur-aan zinazoitwa:
ุงู„ุญูู’ุฑููˆู ุงู„ู’ู…ูู‚ูŽุทู‘ูŽุนุฉ Al-Huruwf Al-Muqatw-twaโ€™ah (Herufi zilizokatika) kwa maana zinatamkwa kama herufi za hijaaiyyah. Jumla ya herufi hizo ni 14 ambazo zimeundwa katika ibara kadhaa mojawapo ni: ุทุฑู‚ ุณู…ุนูƒ ุงู„ู†ุตูŠุญู‡
Baadhi ya hizi Al-Huruwf Al-Muqatw-twaโ€™ah zimekariri zaidi ya mara moja na kuzifanya jumla kuwa ni ishirini na tisa:
Herufi hizi zimegawika sehemu nne:
โ€ข Isiyo na madd nayo ni ุงู„ู) ุง ) Alif -haivutwi kabisa.
โ€ข Madd harakah mbili katika herufi za 1 ุญูŠ ุทู‡ุฑ
โ€ข Madd haraka mbili au nne au sita katika herufi ya ุนูŠู†) ุน ) kwa kuwa inatekelezwa kwa ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู„ูู‘ูŠู† (maddul-liyn)
โ€ข Madd harakah sita katika herufi za ุณู†ู‚ุต ู„ูƒู… (ุณูŠู† โ€“ ู†ูˆู† โ€“ ู‚ุงู โ€“ ุตุงุฏ โ€“ ู„ุงู… โ€“ ูƒุงู โ€“ ู…ูŠู…)
MADD

Imegawanyika katika sehemu mbili:
ุงู„ู’ู…ูŽุฏู‘ู ุงู„ู„ุงู‘ูŽุฒูู…ู ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ ุงู„ู…ุซููŽู‚ู‘ูŽู„ -Al-Madd Al-Laazim Al-Harfiyy Al-Muthaqqal na ุงู„ู’ู…ุฏ ุงู„ู‘ู„ุงุฒูู… ุงู„ุญูŽู’ุฑู’ูููŠู‘ ุงู„ู’ู…ูุฎูŽูู‘ูŽู - Al-Madd Al-Laazim Al-Harfiyy Al-Mukhaffaf


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Quran Main: Dini File: Download PDF Views 540

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰2 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰5 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Ni nini maana ya id-gham katika hukumu za tajwid

Hapa utajifunza kuhusu maana ya id-ghamu na aina zake.

Soma Zaidi...
Amri ya Kuchinja Ng'ombe

Kutokana na kuishi kwao Misr kwa muda mrefu, Mayahudi waliathiriwa na ibada za kishirikina za Wamisr.

Soma Zaidi...
Aina za Madda twabiy kwenye usomaji wa Quran

Madda zimegawanyika katika maeneo makuu mawili ambayo ni madda twabiy na madda fariy

Soma Zaidi...
Quran si Mashairi kama wanavyodai makafiri

(i)Dai kuwa Qur-an ni Mashairi aliyotunga Muhammad (s.

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al Quraysh

Qurayh ni jina la kabila la Mtume Muhammad S.A.W. Sura hii itakwenda kukujulisha neema ambazo Maquraysh wamepewa na hawataoewa wao wowote baada ya wao.

Soma Zaidi...