Surat Al qariah, ni moja katika sura zilizochuka miaka ya mwanzoni mwa utume.
Wanazuoni wa Tafsiri hawakupata nukuu juu ya sababu iliyopelekea kushuka kwa sura hii.
Sura hii imeteremka Makkah na ni katika sura za mwanzoni kushuka. Katika mpangilio wa Quran ipo katika juzuu ya 30 katikati mwa surat al adiyah na surat at Takaathur.
Surat al qariah ina aya 11, maneno 36 na herufi 158. Mtindo wa mwanzo wa sura hii inafanana na surat al haqqah. Na sura zote zimeanza kuzungumzia kiyama.
Aya ya kwanza hadi ya tani zinazungumzia kuhusu kiama, na kuwa watu watafufuliwa na kutawanyika kama nzige. Na majabali na milima haitokuwepo tena.
Aya ya 6 hadi ya 9 inazungumzia kuhusu matendo, na kuwa matendo yote yatapinwa kwenye mizani. Kipimo cha matendo mema kikiwa kizito zaidi basi mtu ataingia peponi. Na kikiwa cha na tendo mabovu ni kizito zaidi mtu ataingizwa motoni.
Aya ya 10 na 11 zinazungumzia kuhusu huo moto wa hawiyah. Hili ni moja ya tabaka za moto wa jahannam.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Sura mbili hizi pia hujulikana kwa jina la al muawidhatain ambazo ni surat an Nas na surat al falaq.
Soma Zaidi...SURATUN-NASR Sura hii imeteremka wakati Mtume (s.
Soma Zaidi...Tafsiri ya quran kw akiswahili, imeandikw ana Shekh Ali Muhsin al-Barwani
Soma Zaidi...Has utakwenda kujifunza utofauti was Hadithi Al Quds na Quran
Soma Zaidi...Kama tulivyoona kuwa id-ghamu ipo katika aina kuu mbili ambazo ni id-ghamu bighunnah na id-ghamu bighair ghumnah. Sasa hapa tutajifunza makundi mengine ya idhgamu.
Soma Zaidi...3; Mchujo wa maji dhaliliKatika aya nyingine tunakuja kupata funzo kuwa maji aliyoumbiwa mwanadamu licha yakuwa na sifa zilizotajwa katika kurasa zilizopita ila pia maji haya yanasifa kuwa ni madhalilina pia na yamechujwa kama tunavyoelezwa katika quran??
Soma Zaidi...Sura hii ni katika sura ambazo zinahitaji kusomwa kwa mazingatio sana. Wanaoswali bila ya kuzingatia swala zao, wameonywa vikali sana. Wanaowatesa na kuwanyanyasa mayatima wameonywa vikali. Wanaowanyima wenye haja na masikini huku wakiwakaripia nakuwasem
Soma Zaidi...