picha

Sababu za kushuka kwa surat al qariah

Surat Al qariah, ni moja katika sura zilizochuka miaka ya mwanzoni mwa utume.

Wanazuoni wa Tafsiri hawakupata nukuu juu ya sababu iliyopelekea kushuka kwa sura hii. 

 

Sura hii imeteremka Makkah na ni katika sura za mwanzoni kushuka. Katika mpangilio wa Quran ipo katika juzuu ya 30 katikati mwa surat al adiyah na surat at Takaathur.

 

Surat al qariah ina aya 11, maneno 36 na herufi 158. Mtindo wa mwanzo wa sura hii inafanana na surat al haqqah. Na sura zote zimeanza kuzungumzia kiyama. 

 

Aya ya kwanza hadi ya tani zinazungumzia kuhusu kiama, na kuwa watu watafufuliwa na kutawanyika kama nzige. Na majabali na milima haitokuwepo tena. 

 

Aya ya 6 hadi ya 9 inazungumzia kuhusu matendo,  na kuwa matendo yote yatapinwa kwenye mizani. Kipimo cha matendo mema kikiwa kizito zaidi basi mtu ataingia peponi. Na kikiwa cha na tendo mabovu ni kizito zaidi mtu ataingizwa motoni. 

 

Aya ya 10 na 11 zinazungumzia kuhusu huo moto wa hawiyah. Hili ni moja ya tabaka za moto wa jahannam. 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Quran Main: Post File: Download PDF Views 3068

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Sababu za kushuka surat al bayyinah

Asbab nuzul surat al bayyinh. Sura hii imeteremka Madina na ina aya nane.

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al Quraysh

Qurayh ni jina la kabila la Mtume Muhammad S.A.W. Sura hii itakwenda kukujulisha neema ambazo Maquraysh wamepewa na hawataoewa wao wowote baada ya wao.

Soma Zaidi...
Hukumu za Idh-har na id-gham katika laam al-maarifa

Laam al- maarifa inaweza kusomwa kwa idgham au idh-har pindibitakapokutana na herufi za shamsiya au qamariya.

Soma Zaidi...
Kulaaniwa Bani Israil

Pamoja na kuteuliwa na Allah(s.

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka kwa Surat Al-Asr

Surat Al-Asri imeteremshwa Makka, na hapa utazujuwa sababu za kushuka kwa sura hii

Soma Zaidi...