Saratul-asr 103
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
- Suratul-A’sr (103): Imeteremshwa Makkah, Ina Aya Tatu.
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu.
- Naapa kwa zama (zako Ewe Nabii Muhammad!).
- Kuwa wanaadamu yuko katika hasara.
- Isipokuwa wale walioamini na wakafanya vitendo vizuri na wakausiana (kufuata) haki na wakausiana (kushikamana) na subira.
Mafunzo kwa Ufupi.
- Mwenyezi Mungu huapia kitu au kiumbe chochote kinachofahamika ili kutoa uthibitisho kwa kile anachoapia.
- Muumini haruhusiwi kuapa kwa kiumbe chochote isipokuwa kwa jina la Mwenyezi Mungu peke yake.
- Wakati (muda) ni rasilimali muhimu sana inayotakiwa kutumiwa kwa uangalifu mkubwa.
- Imani ya kweli huthibitishwa katika vitendo vizuri.
- Uislamu sio dini ya ubinafsi, hivyo ni lazima watu wausiane katika kufanya wema na kufuata haki.
- Subra ni nyenzo muhimu sana na ya pekee katika kuweza kuusimamisha Uislamu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 ai web app 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 web hosting 👉6 Kitabu cha Afya
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 ai web app 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 web hosting 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Quran si Mashairi kama wanavyodai makafiri
(i)Dai kuwa Qur-an ni Mashairi aliyotunga Muhammad (s.
Soma Zaidi...Sababu za kushuka Surat al Kafirun
Sura hii imekuja kukata rai ya Makafiri wa Makka kuhusu ibada ya ushirika. Hivi leo tungesema kuhusu dini mseto.
Soma Zaidi...Sababu za kshuka surat al Asr
Sura hii ni katika sura za kitawhidi sana. Maulamaa wanasema inatosha sura hii kuwa ni mawaidha. Imamu sharifu anasema kuwa sura hii inatosha kuwa muongozo…
Soma Zaidi...