picha

Hukumu za Tajwid katika usomaji wa bismillah (basmalah)

Hapa utajifunza kanuni za tajwid katika kusoma bismillah au basmalah.

Hukumu ya Basmallah na isti'adha
KUSOMA BISMILLAH A AUDHUBILLAH:
bismilahir-rahmanir-rahiym tamko hili hujulikana kama basmalah na a’udhubillahi minas-shaytwaanir-rajiym hujlikana kma isti’adha matamo yote haa yana huumu zake za usomaji mble ya maulamaa wa ajwid pa ikumbukwe kuwa llah amesema kwa “..pindi unposoma urani asi taka hifadha ka Allah (akuline) kutoana na sheani aliembali narehma za Allah” yaani anza klea istiadha


Hukum ya isti’adha:
basi pindi utakapoaka kusoma quran na ukatak kuanza na isti’adha mwanzoi mwa sura a hapa utaakiwa kuleta basmala abla ya kianza sur. Hivyobasi kutauwa kumekutana isti’adha, asmala na sra unayotakakusoma. Hapa kaika kusma kwake kuna hukumu nne kama ifuatavyo;-


1.kukata zote; yaani kusoma kila mja kivake kwa kusimama kati a vitau hivi.yaani utasoma isti’adha isha utasiama, halafu utasomabasmalah kisha uasimama n baaday utaanza sra.


2.Kuunga zote yaani utunganisha isti’adha, basmalahna surah bila ya kusmama


3.Kuungabasmalah na sra; yani utasoma isti’adhakisha utasimama halafu utaoma basmalah na sura kwa kuunganisha vbila ya kuimama.


4.Kuuga isti’adha a basmala; yaani tasoma isi’aha na basala kwa pamoja kisha unasimama kishunasoma sura.

Hukumu ya basmalah kati a sura mbii;
Iktokea umemaliza sura moja na untaka kuigia sura ingine basi hapa kua huku zifuatazo;-
1.Uzikata zte; yani utasomamwisho wa sura, kiha unasoma basmalah kisha unaoma sura inyofata.


2.Kuiunga zote; hapautaunga mwshoni mwasura kisha unsoma basalah kisa unaanza usoma sura mpy bila ya kupunzika


3.Kuung basmala na mwanzni mwa sura; yaani uaaliza sura kish utasimama, kisha utasoma asmalah pamoja nakuanza sua mpya bila ya kusimama.


Kanunuzinazofungamana a elim ya tajweed;
1.ujuzi wakujuwa matamshi ya erufi n yaapotamkiwa na yanavyotamka.
2.Ujuzi wa kjuwa taia na sif za herufi
3.Ujuzi w kujuwa amna ambavyo erufi zinabadilika kulingan na mpangilio wa manen
4.Kuufania mazoeziulimi pmoja na kuudia ruda

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/10/20/Thursday - 10:36:54 am Topic: Quran Main: Dini File: Download PDF Views 1960

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

quran tahadhari

TAHADHARI KWA WASOMAJI WA QURAN Wasomaji wa qurani wawe na tahadhari katika usomaji wao.

Soma Zaidi...
Quran na sayansi

3; Mchujo wa maji dhaliliKatika aya nyingine tunakuja kupata funzo kuwa maji aliyoumbiwa mwanadamu licha yakuwa na sifa zilizotajwa katika kurasa zilizopita ila pia maji haya yanasifa kuwa ni madhalilina pia na yamechujwa kama tunavyoelezwa katika quran??

Soma Zaidi...
Asbab nuzul surat at Tin, Sababu za kushuka surat at Tin (watin wazaitun)

Post hii itakwenda kukufundisha sababu za kushuka kwa surat at Tin (watin wazaitun).

Soma Zaidi...
Qur-an Yenyewe Inajieleza kuwa ni Ufunuo Kutoka kwa Allah (s.w)

(ii)Qur-an Yenyewe Inajieleza kuwa ni Ufunuo Kutoka kwa Allah (s.

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al-Falaq na surat an-Nas na fadhila za kusoma sura hizi

SURAT AL-MUAWIDHATAYN (SURAT AL-FALAQ NA SURATUN-NAS) Inaelezwa kuwa sura mbili hizi zilishuka pamoja, na maulamaa wanaelezea kuwa Mtume (s.

Soma Zaidi...
Fadhila za kusoma surat al Imran

Post hii itakufundisha fadhila na faida za kusoma surat al Imran

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka kwa surat al-Fiil

SURAT AL-FIILSura hii imeteremshwa Makkah na ina Aya Sita pamoja na Basmallah.

Soma Zaidi...