image

Aina saba za Viraa vya usomaji wa Quran

Post hii inakwenda kukuorodheshea aina saba za viraka vya usomaji wa Quran.

1. Nafii
Imamu Malik na Imamu Ahmad walikuwa wakilitumia qiraa hiki
Qira’t Naafi’ Al-Madani


2. Qiraat Ibn Katheer Al-Makki (Makkah). Waliokuwa wakitumia qiraa hiki ni  Qunbul, Al-Buzzi, na Imam Shaf

 

3. Qiraat Abu Amr al-Basri (Basra) Waliokuwa wakikitumia ni Ad-Doori and As-Soosi

 

4. Qira’t Ibn Aamir ash-Shami (Syria) Waliokuwa wakikitumia ni Ibn Dhakwan and Hisham

 

5 Qira’t Asim Al-Kufi (Kufa) Waliokuwa wakikitumia ni Imam Abu Hanifa (RA) na Imam Ahmad ibn Hanbal (RA)

 

6. Qira’t Hamzah al-Kufi (Kufa) Waliokuwa wanatumia qiraa hiki ni Khallad and Khalaf

 

7. Qirat Khalaf al-Bazzar). Waliokuwa wakitumia qiraa hiki ni  Qirat Al-Kisaa’i (Kufa) Al-Layth na Ad-Doori

 

Soma zaidi https://ijaazah.com/the-7-types-of-qirat-in-the-quran/





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2031


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

mgawanyiko katika quran
MGAWANYIKO KATIKA QURAN Juzuu, Sura, Aya, Manzil, Qara Wataalamu wa elimu za Qurani katika fani za uandishi na usomaji wameigawanya Qurani katika mafungu ili kuwezesha urahisi kwa wasomaji wa qurani. Soma Zaidi...

Mtume hakufundishwa quran na Jabir na Yasir
Soma Zaidi...

Sababu nyengine zilopelekea kushushwa kwa suratul ikhlas
Soma Zaidi...

Quran si maneno ya mwenye kifafa
Soma Zaidi...

Sababu za kushuka surat al Mauun
Sura hii ni katika sura ambazo zinahitaji kusomwa kwa mazingatio sana. Wanaoswali bila ya kuzingatia swala zao, wameonywa vikali sana. Wanaowatesa na kuwanyanyasa mayatima wameonywa vikali. Wanaowanyima wenye haja na masikini huku wakiwakaripia nakuwasem Soma Zaidi...

HUKUMU ZA MADD YAANI KUVUTA HERUFI KWENYE USOMAJI WA QURAN
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa Soma Zaidi...

Nini maana ya Quran
Post hii inakwenda kukuambia maana ya Quran Soma Zaidi...

Amri ya Kuchinja Ng'ombe
Kutokana na kuishi kwao Misr kwa muda mrefu, Mayahudi waliathiriwa na ibada za kishirikina za Wamisr. Soma Zaidi...

Suratul-takaathur (102) imeteremshwa makkah Ina aya nane
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Sababu za kushuka surat al humazah
Sura hii inaonya vikali tabia ya kusengenya na kusambaza habari za uongo. Wameonywa vikali wenye tabia ya kujisifu kwa mali, kukusanya mali bila ya kuitolea zaka. Soma Zaidi...

Quran haikuchukuliwa kutoka kwenye biblia
Soma Zaidi...

Hukumu za Idh-har na id-gham katika laam al-maarifa
Laam al- maarifa inaweza kusomwa kwa idgham au idh-har pindibitakapokutana na herufi za shamsiya au qamariya. Soma Zaidi...