Post hii inakwenda kukuorodheshea aina saba za viraka vya usomaji wa Quran.
1. Nafii
Imamu Malik na Imamu Ahmad walikuwa wakilitumia qiraa hiki
Qira’t Naafi’ Al-Madani
2. Qiraat Ibn Katheer Al-Makki (Makkah). Waliokuwa wakitumia qiraa hiki ni Qunbul, Al-Buzzi, na Imam Shaf
3. Qiraat Abu Amr al-Basri (Basra) Waliokuwa wakikitumia ni Ad-Doori and As-Soosi
4. Qira’t Ibn Aamir ash-Shami (Syria) Waliokuwa wakikitumia ni Ibn Dhakwan and Hisham
5 Qira’t Asim Al-Kufi (Kufa) Waliokuwa wakikitumia ni Imam Abu Hanifa (RA) na Imam Ahmad ibn Hanbal (RA)
6. Qira’t Hamzah al-Kufi (Kufa) Waliokuwa wanatumia qiraa hiki ni Khallad and Khalaf
7. Qirat Khalaf al-Bazzar). Waliokuwa wakitumia qiraa hiki ni Qirat Al-Kisaa’i (Kufa) Al-Layth na Ad-Doori
Soma zaidi https://ijaazah.com/the-7-types-of-qirat-in-the-quran/
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Qalqala imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Qalqalatul qubra yaani qalqala kubwa na qalqalat as shughura yaani qalqala ndogo.
Soma Zaidi...2:UUMBWAJI KWA MAJI YA UZAZIUumbwaji wa mwanadamu umepitia hatua mbalimbali na haya yote yamefanywa kwa sababumaalumu ili tipate mazingatio.
Soma Zaidi...Sura hii ni miongoni mwa Sura fupi sanya huwenda ndiosura yenye aya chache kuliko sura zote katika Quran.
Soma Zaidi...FADHILA ZA BAADHI YA SURA Umuhimu na ubora wa baadhi ya sura na aya.
Soma Zaidi...Sura hii ni katika sura ambazo zinahitaji kusomwa kwa mazingatio sana. Wanaoswali bila ya kuzingatia swala zao, wameonywa vikali sana. Wanaowatesa na kuwanyanyasa mayatima wameonywa vikali. Wanaowanyima wenye haja na masikini huku wakiwakaripia nakuwasem
Soma Zaidi...