Post hii inakwenda kukuorodheshea aina saba za viraka vya usomaji wa Quran.
1. Nafii
Imamu Malik na Imamu Ahmad walikuwa wakilitumia qiraa hiki
Qira’t Naafi’ Al-Madani
2. Qiraat Ibn Katheer Al-Makki (Makkah). Waliokuwa wakitumia qiraa hiki ni Qunbul, Al-Buzzi, na Imam Shaf
3. Qiraat Abu Amr al-Basri (Basra) Waliokuwa wakikitumia ni Ad-Doori and As-Soosi
4. Qira’t Ibn Aamir ash-Shami (Syria) Waliokuwa wakikitumia ni Ibn Dhakwan and Hisham
5 Qira’t Asim Al-Kufi (Kufa) Waliokuwa wakikitumia ni Imam Abu Hanifa (RA) na Imam Ahmad ibn Hanbal (RA)
6. Qira’t Hamzah al-Kufi (Kufa) Waliokuwa wanatumia qiraa hiki ni Khallad and Khalaf
7. Qirat Khalaf al-Bazzar). Waliokuwa wakitumia qiraa hiki ni Qirat Al-Kisaa’i (Kufa) Al-Layth na Ad-Doori
Soma zaidi https://ijaazah.com/the-7-types-of-qirat-in-the-quran/
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Hapa utajifunza kanuni za tajwid katika kusoma bismillah au basmalah.
Soma Zaidi...TAHADHARI KWA WASOMAJI WA QURAN Wasomaji wa qurani wawe na tahadhari katika usomaji wao.
Soma Zaidi...SURAT AL-MUAWIDHATAYN (SURAT AL-FALAQ NA SURATUN-NAS) Inaelezwa kuwa sura mbili hizi zilishuka pamoja, na maulamaa wanaelezea kuwa Mtume (s.
Soma Zaidi...Unazijua faida za kusoma Quran, na je ni faida gani utapata ukisoma Quran?
Soma Zaidi...Al fiyl ni neno la Kiarabu lenye maana ya tembo. Sura hii inazungumziakisa cha jeshi lenye tembo. Jeshi hili lilikuwa na nia ya kuvunja al qaaba
Soma Zaidi...