Aina saba za Viraa vya usomaji wa Quran

Post hii inakwenda kukuorodheshea aina saba za viraka vya usomaji wa Quran.

1. Nafii
Imamu Malik na Imamu Ahmad walikuwa wakilitumia qiraa hiki
Qira’t Naafi’ Al-Madani


2. Qiraat Ibn Katheer Al-Makki (Makkah). Waliokuwa wakitumia qiraa hiki ni  Qunbul, Al-Buzzi, na Imam Shaf

 

3. Qiraat Abu Amr al-Basri (Basra) Waliokuwa wakikitumia ni Ad-Doori and As-Soosi

 

4. Qira’t Ibn Aamir ash-Shami (Syria) Waliokuwa wakikitumia ni Ibn Dhakwan and Hisham

 

5 Qira’t Asim Al-Kufi (Kufa) Waliokuwa wakikitumia ni Imam Abu Hanifa (RA) na Imam Ahmad ibn Hanbal (RA)

 

6. Qira’t Hamzah al-Kufi (Kufa) Waliokuwa wanatumia qiraa hiki ni Khallad and Khalaf

 

7. Qirat Khalaf al-Bazzar). Waliokuwa wakitumia qiraa hiki ni  Qirat Al-Kisaa’i (Kufa) Al-Layth na Ad-Doori

 

Soma zaidi https://ijaazah.com/the-7-types-of-qirat-in-the-quran/

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Quran Main: Dini File: Download PDF Views 2858

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

HUKUMU ZA IDGHAM

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

Soma Zaidi...
Adabu za kusikiliza quran

ADABU ZA KUSIKILIZA QURANI 1.

Soma Zaidi...
Asbab nuzul surat at Tin, Sababu za kushuka surat at Tin (watin wazaitun)

Post hii itakwenda kukufundisha sababu za kushuka kwa surat at Tin (watin wazaitun).

Soma Zaidi...
Hukumu ya Ikhfau katika tajwid

Ikh-fau ni moja ya hukumu za nun sakina na tanwin kwenye hukumu za Quran tajwid

Soma Zaidi...
Fadhila za kusoma surat al Kahaf siku ya Ijumaa

Je unajuwa ni kwa nini unatakiwa usikose kusoma surat al Kahaf siku ya ijumaa. Makala hii itakujibu swali hili

Soma Zaidi...
Quran Tafsiri kwa Kiswahili

Tafsiri ya quran kw akiswahili, imeandikw ana Shekh Ali Muhsin al-Barwani

Soma Zaidi...