Tafsiri na mafunzo ya sura zilizochaguliwa - Saratul-fiyl
Quran (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
6.2. Tafsiri na Mafunzo ya Sura Zilizochaguliwa.
- Suratul-Fiyl (105): Imeteremshwa Makkah, Ina Aya Tano.
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu.
- Jee, huoni jinsi Mola wako alivyowafanya watu wa ndovu (tembo)?
- Jee, hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
- Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi.
- Wakawapiga kwa vijiwe vya udongo wa motoni.
- Akawafanya kama majani yaliyoliwa (na kutemwa).
Mafunzo kwa Ufupi.
- Mwenyezi Mungu (s.w) ni Muweza wa kila kitu.
- Viumbe vyote viko katika Milki ya Mwenyezi Mungu (s.w) na ni Majeshi yake yaliyotayari kumtumikia ipasavyo.
- Nusura na Msaada wa Mwenyezi Mungu (s.w) hupatikana muda wowote watu watakapomuamini na kumtegemea ipasavyo.
- Kuangamizwa kwa Abraha na jeshi lake na Jeshi asilolijua wala kulitegemea ni dalili ya Kuwepo Mwenyezi Mungu (s.w).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 ai web app 👉6 web hosting
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 ai web app 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Sababu za kushushwa kwa surat al-kafirum
SURATUL-KAFIRUN Imeteremshwa maka na inaelezwa katika sababu za kushuka kwake ni kuwa Kundi la makafiri lilimfuata mtume (s.
Soma Zaidi...