Kusoma Qur'an kuna faida kubwa kwa Muislamu, kwanza kunampatia thawabu, kunatoa nuru maisha yake, mwili wake na kumlinda na mashetani na watu wabaya. Quran ni dawa na pozo kwa magonjwa. Thawabu za Qur-an hulipwa kwa kila herufi. Quran pia huja kutet
Swali
Je, mtu anaweza kusoma quran akiwa amelala?
Jibu:
âœï¸Ndio inaruhusiwa kusoma quran katika hali zote zile, ukiwa umelala, umekaaa ama umesimama. Pia unaruhusiwa kusoma quran hata kamahuna udhu.
âœï¸Kuna hutilafu za wanazuini kuhusu kuushika msajafu kwa ambaye hana udhu. Pia ukiwanajanaba hairuhusiwi kusoma Quran.
âœï¸Kuna hitilafu pia kusoma Quran kwa ambaye ana hedhi. Wapo wengine wameruhusu na wengine wamekataa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Qalqala imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Qalqalatul qubra yaani qalqala kubwa na qalqalat as shughura yaani qalqala ndogo.
Soma Zaidi...Je Qur-an ilikusanywa na kuandikwa katika msahafu wakati wa uongozi wa Abu-Bakr(r.
Soma Zaidi...Sura mbili hizi pia hujulikana kwa jina la al muawidhatain ambazo ni surat an Nas na surat al falaq.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya Tajwid kilugha na kisheria. Pia nitakujuza jukumu ya kusoma tajwid.
Soma Zaidi...QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.
Soma Zaidi...