Kusoma Qur'an kuna faida kubwa kwa Muislamu, kwanza kunampatia thawabu, kunatoa nuru maisha yake, mwili wake na kumlinda na mashetani na watu wabaya. Quran ni dawa na pozo kwa magonjwa. Thawabu za Qur-an hulipwa kwa kila herufi. Quran pia huja kutet
Swali
Je, mtu anaweza kusoma quran akiwa amelala?
Jibu:
âœï¸Ndio inaruhusiwa kusoma quran katika hali zote zile, ukiwa umelala, umekaaa ama umesimama. Pia unaruhusiwa kusoma quran hata kamahuna udhu.
âœï¸Kuna hutilafu za wanazuini kuhusu kuushika msajafu kwa ambaye hana udhu. Pia ukiwanajanaba hairuhusiwi kusoma Quran.
âœï¸Kuna hitilafu pia kusoma Quran kwa ambaye ana hedhi. Wapo wengine wameruhusu na wengine wamekataa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Quran (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Surat Ikhlas ni katika sura za kitawhid ambazo zilishuka miaka siku za mwanzoni mwa utume. Sura hii imekuja kujibu maswali mengi kuhusu Allah ikiwemo, Allah ni nani?
Soma Zaidi...SURATUL-KAFIRUN Imeteremshwa maka na inaelezwa katika sababu za kushuka kwake ni kuwa Kundi la makafiri lilimfuata mtume (s.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu srat al fatiha, faida zake na maudhui zake
Soma Zaidi...Surat Al-Asri imeteremshwa Makka, na hapa utazujuwa sababu za kushuka kwa sura hii
Soma Zaidi...Al fiyl ni neno la Kiarabu lenye maana ya tembo. Sura hii inazungumziakisa cha jeshi lenye tembo. Jeshi hili lilikuwa na nia ya kuvunja al qaaba
Soma Zaidi...