Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.
Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.w)
Baada ya kuona madai mbali mbali yaliyotolewa kupinga kuwa Qur-an si kitabu cha Allah (s.w) na baada ya kuona udhaifu wa madai hayo, ni vyema sasa kuonesha hoja madhubuti zinazothibitisha kuwa Qur-an ni kitabu cha Allah (s.w). Katika kuthibitisha kuwa Qur-an ni kitabu cha Allah (s.w), tuna vigezo viwili
(a) Qur-an yenyewe na
(b) Historia ya kushuka kwake.
(a)Uthibitisho Kutokana na Qur-an Yenyewe:
Vipengele vinavyothibitisha kuwa Qur-an ni Kitabu cha Allah (s.w) kutokana na Qur-an yenyewe ni hivi vifuatavyo:
(i)Kutojua kusoma na kuandika kwa Mtume Muhammad (s.a.w).
(ii)Qur-an yenyewe inajieleza kuwa ni Kitabu cha Allah (s.w)
(iii)Hali aliyokuwa nayo Mtume katika kupokea wahyi.
(iv)Qur-an kushushwa kidogo kidogo kwa kipindi cha miaka ishirini na tatu (23).
(v)Kukosolewa kwa Mtume katika Qur-an.
(vi)Kutokea kweli yale yaliyotabiriwa katika Qur-an.
(vii)Mpangilio wa Qur-an.
(viii)Maudhui ya Qur-an na mvuto wa ujumbe wake.
(ix) Wanaadamu kushindwa kuandika kitabu mithili ya Qur-an.
Hebu tuangalie jinsi kila kipengele kinavyothibitisha kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.w).
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Surat al Baqarah ni katika sura ambazo tunapaswa tuwe tunasoma mara kwa mara. Post hii itakufundisha kuhusu fadhila za sura hii.
Soma Zaidi...Je unajuwa ni kwa nini unatakiwa usikose kusoma surat al Kahaf siku ya ijumaa. Makala hii itakujibu swali hili
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Al fiyl ni neno la Kiarabu lenye maana ya tembo. Sura hii inazungumziakisa cha jeshi lenye tembo. Jeshi hili lilikuwa na nia ya kuvunja al qaaba
Soma Zaidi...Surat Ikhlas ni katika sura za kitawhid ambazo zilishuka miaka siku za mwanzoni mwa utume. Sura hii imekuja kujibu maswali mengi kuhusu Allah ikiwemo, Allah ni nani?
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...