Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.
Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.w)
Baada ya kuona madai mbali mbali yaliyotolewa kupinga kuwa Qur-an si kitabu cha Allah (s.w) na baada ya kuona udhaifu wa madai hayo, ni vyema sasa kuonesha hoja madhubuti zinazothibitisha kuwa Qur-an ni kitabu cha Allah (s.w). Katika kuthibitisha kuwa Qur-an ni kitabu cha Allah (s.w), tuna vigezo viwili
(a) Qur-an yenyewe na
(b) Historia ya kushuka kwake.
(a)Uthibitisho Kutokana na Qur-an Yenyewe:
Vipengele vinavyothibitisha kuwa Qur-an ni Kitabu cha Allah (s.w) kutokana na Qur-an yenyewe ni hivi vifuatavyo:
(i)Kutojua kusoma na kuandika kwa Mtume Muhammad (s.a.w).
(ii)Qur-an yenyewe inajieleza kuwa ni Kitabu cha Allah (s.w)
(iii)Hali aliyokuwa nayo Mtume katika kupokea wahyi.
(iv)Qur-an kushushwa kidogo kidogo kwa kipindi cha miaka ishirini na tatu (23).
(v)Kukosolewa kwa Mtume katika Qur-an.
(vi)Kutokea kweli yale yaliyotabiriwa katika Qur-an.
(vii)Mpangilio wa Qur-an.
(viii)Maudhui ya Qur-an na mvuto wa ujumbe wake.
(ix) Wanaadamu kushindwa kuandika kitabu mithili ya Qur-an.
Hebu tuangalie jinsi kila kipengele kinavyothibitisha kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.w).
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kutokana na kuishi kwao Misr kwa muda mrefu, Mayahudi waliathiriwa na ibada za kishirikina za Wamisr.
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha sababu za kushuka kwa alam nasharah yaani Surat Ash sharh.
Soma Zaidi...Unazijua faida za kusoma Quran, na je ni faida gani utapata ukisoma Quran?
Soma Zaidi...surat Zalzalah ni sura ya 99 katika mpangilio wa Quran, na ina aya 8. Sura hii imeteremshwa Madina ila pia kuna kauli zinathibitisha kuwa ni ya Makkah. Katika hadithi iliyopewa daraja la hassan na Imam Tirmidh Mtume S.A.W amesema kuwa kusoa surat Zilzalah
Soma Zaidi...Sura hii imekuja kukata rai ya Makafiri wa Makka kuhusu ibada ya ushirika. Hivi leo tungesema kuhusu dini mseto.
Soma Zaidi...Mada zipo katika makundi mawili ambayo ni madda far-iy na mdada twab-iy.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza usomaji wa Quran pindi utakapokuta nuni yenyebsakina au tanwin
Soma Zaidi...