Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.
Uthibitisho kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.w)
Baada ya kuona madai mbali mbali yaliyotolewa kupinga kuwa Qur-an si kitabu cha Allah (s.w) na baada ya kuona udhaifu wa madai hayo, ni vyema sasa kuonesha hoja madhubuti zinazothibitisha kuwa Qur-an ni kitabu cha Allah (s.w). Katika kuthibitisha kuwa Qur-an ni kitabu cha Allah (s.w), tuna vigezo viwili
(a) Qur-an yenyewe na
(b) Historia ya kushuka kwake.
(a)Uthibitisho Kutokana na Qur-an Yenyewe:
Vipengele vinavyothibitisha kuwa Qur-an ni Kitabu cha Allah (s.w) kutokana na Qur-an yenyewe ni hivi vifuatavyo:
(i)Kutojua kusoma na kuandika kwa Mtume Muhammad (s.a.w).
(ii)Qur-an yenyewe inajieleza kuwa ni Kitabu cha Allah (s.w)
(iii)Hali aliyokuwa nayo Mtume katika kupokea wahyi.
(iv)Qur-an kushushwa kidogo kidogo kwa kipindi cha miaka ishirini na tatu (23).
(v)Kukosolewa kwa Mtume katika Qur-an.
(vi)Kutokea kweli yale yaliyotabiriwa katika Qur-an.
(vii)Mpangilio wa Qur-an.
(viii)Maudhui ya Qur-an na mvuto wa ujumbe wake.
(ix) Wanaadamu kushindwa kuandika kitabu mithili ya Qur-an.
Hebu tuangalie jinsi kila kipengele kinavyothibitisha kuwa Qur-an ni neno la Allah (s.w).
Umeionaje Makala hii.. ?
Tarqiq ni kuisoma herufi kwa kuipa wepesi na tqfkhim ni kuisoma herufi kwa kuipa uzito.
Soma Zaidi...(ii)Dai kuwa Qur-an ni zao la njozi za Mtume (s.
Soma Zaidi...DARSA ZA TAJWID YALIYOMOSURA YA 01 .
Soma Zaidi...Al fiyl ni neno la Kiarabu lenye maana ya tembo. Sura hii inazungumziakisa cha jeshi lenye tembo. Jeshi hili lilikuwa na nia ya kuvunja al qaaba
Soma Zaidi...(i)Mtume Muhammad (s.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya Tajwid kilugha na kisheria. Pia nitakujuza jukumu ya kusoma tajwid.
Soma Zaidi...