picha

HIKUMU YA BASMALLAH YAANI KUSOMA BISMILLAH

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

HIKUMU YA BASMALLAH YAANI KUSOMA BISMILLAH

SURA YA PILI
Hukumu ya Basmallah na isti'adha
KUSOMA BISMILLAH A AUDHUBILLAH:
bismilahir-rahmanir-rahiym tamko hili hujulikana kama basmalah na a’udhubillahi minas-shaytwaanir-rajiym hujlikana kma isti’adha matamo yote haa yana huumu zake za usomaji mble ya maulamaa wa ajwid pa ikumbukwe kuwa llah amesema kwa “..pindi unposoma urani asi taka hifadha ka Allah (akuline) kutoana na sheani aliembali narehma za Allah” yaani anza klea istiadha
Hukum ya isti’adha:
basi pindi utakapoaka kusoma quran na ukatak kuanza na isti’adha mwanzoi mwa sura a hapa utaakiwa kuleta basmala abla ya kianza sur. Hivyobasi kutauwa kumekutana isti’adha, asmala na sra unayotakakusoma. Hapa kaika kusma kwake kuna hukumu nne kama ifuatavyo;-
1.kukata zote; yaani kusoma kila mja kivake kwa kusimama kati a vitau hivi.yaani utasoma isti’adha isha utasiama, halafu utasomabasmalah kisha uasimama n baaday utaanza sra.
2.Kuunga zote yaani utunganisha isti’adha, basmalahna surah bila ya kusmama
3.Kuungabasmalah na sra; yani utasoma isti’adhakisha utasimama halafu utaoma basmalah na sura kwa kuunganisha vbila ya kuimama.
4.Kuuga isti’adha a basmala; yaani tasoma isi’aha na basala kwa pamoja kisha unasimama kishunasoma sura.
Bofya kitufe cha MFANO 01, MFANO02,na MFANO 03 kusikiliza mfano

Hukumu ya basmalah kati a sura mbii;
Iktokea umemaliza sura moja na untaka kuigia sura ingine basi hapa kua huku zifuatazo;-
1.uzikata zte; yani utasomamwisho wa sura, kiha unasoma basmalah kisha unaoma sura inyofata.
2.Kuiunga zote; hapautaunga mwshoni mwasura kisha unsoma basalah kisa unaanza usoma sura mpy bila ya kupunzika
3.Kuung basmala na mwanzni mwa sura; yaani uaaliza sura kish utasimama, kisha utasoma asmalah pamoja nakuanza sua mpya bila ya kusimama.
Kanunuzinazofungamana a elim ya tajweed;
1.ujuzi wakujuwa matamshi ya erufi n yaapotamkiwa na yanavyotamka.
2.Ujuzi wa kjuwa taia na sif za herufi
3.Ujuzi w kujuwa amna ambavyo erufi zinabadilika kulingan na mpangilio wa manen
4.Kuufania mazoeziulimi pmoja na kuudia ruda


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Quran Main: Dini File: Download PDF Views 2732

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

HUKUMU YA NUN SAKINA NA TNWIN

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

Soma Zaidi...
HUKUMU ZA MIIM YENYE SAKINA

SURA YA NNE HUKUMU ZA MIYM YENYE SAKNA HUKUMU ZA MIYM SAKINA: Mym sakina ni miym ambayo haina i’rab ( مْ).

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al-Falaq na surat an-Nas na fadhila za kusoma sura hizi

SURAT AL-MUAWIDHATAYN (SURAT AL-FALAQ NA SURATUN-NAS) Inaelezwa kuwa sura mbili hizi zilishuka pamoja, na maulamaa wanaelezea kuwa Mtume (s.

Soma Zaidi...
Je Qur-an ilikusanywa na kuandikwa katika msahafu wakati wa uongozi wa Abu-Bakr(r.a)

Je Qur-an ilikusanywa na kuandikwa katika msahafu wakati wa uongozi wa Abu-Bakr(r.

Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat al-Fiyl

Al fiyl ni neno la Kiarabu lenye maana ya tembo. Sura hii inazungumziakisa cha jeshi lenye tembo. Jeshi hili lilikuwa na nia ya kuvunja al qaaba

Soma Zaidi...
Quran Tafsiri kwa Kiswahili

Tafsiri ya quran kw akiswahili, imeandikw ana Shekh Ali Muhsin al-Barwani

Soma Zaidi...
Makundi ya Id-ghamu katika usomaji wa Quran Tajwid

Kama tulivyoona kuwa id-ghamu ipo katika aina kuu mbili ambazo ni id-ghamu bighunnah na id-ghamu bighair ghumnah. Sasa hapa tutajifunza makundi mengine ya idhgamu.

Soma Zaidi...