Asbab nuzul surat al qadi. Hii ni sura ya 97 katika mpangilio wa mashaf. Surat al qadir imeteremshwa Madina na ina aya 5.
Kwa kauli ya Jamhuri sura hii imeshuka Madina. Zipo baadhi ya kauli kuwa ni ya Madina.
وَذَكَرَ الْوَاقÙدَيّ٠أَنَّهَا أَوَّل٠سÙورَة٠نَزَلَتْ بÙالْمَدÙينَةÙ. ÙˆÙŽÙ‡ÙÙŠÙŽ خَمْس٠آيَاتÙ.
Na katika kauli nyingine ni kuwa hii ndio sura ya kwanza kushuka Madina. Angalia tafsir al qurtub.
Asbab nuzuli - sababu zakushuka
عَنْ Ù…ÙجَاهÙد٠قَالَ : ذَكَرَ النَّبÙيّ٠صَلَّى اللَّه٠عَلَيْه٠وَسَلَّمَ رَجÙلًا Ù…Ùنْ بَنÙÙŠ Ø¥ÙسْرَائÙيلَ لَبÙسَ السّÙلَاØÙŽ ÙÙÙŠ سَبÙيل٠اللَّه٠أَلْÙÙŽ شَهْر٠، Ùَتَعَجَّبَ الْمÙسْلÙÙ…Ùونَ Ù…Ùنْ Ø°ÙŽÙ„ÙÙƒÙŽ ØŒ Ùَأَنْزَلَ اللَّه٠تَعَالَى : ï´¿Ø¥Ùنَّا أَنزَلْنَاه٠ÙÙÙŠ لَيْلَة٠الْقَدْر٠[1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَة٠الْقَدْر٠[2] لَيْلَة٠الْقَدْر٠خَيْرٌ مّÙنْ أَلْÙ٠شَهْرÙï´¾ . قَالَ : " خَيْرٌ Ù…ÙÙ†ÙŽ الَّتÙÙŠ لَبÙسَ ÙÙيهَا السّÙلَاØÙŽ Ø°ÙŽÙ„ÙÙƒÙŽ الرَّجÙÙ„Ù " .
Amesema Mujahid kuwa Mtume s.a.w alimtaja Mtu mmoja katika wana wa Israel kuwa alivaa silaha za vita kwa ajili ya njia ya Allah (kupigana jihadi) kwa muda wa miaka elfu moja. Basi Waislamu (Masahaba) walistaajabu sana na habari hii basi hapo Allah akishika sura hii ï´¿Ø¥Ùنَّا أَنزَلْنَاه٠ÙÙÙŠ لَيْلَة٠الْقَدْر٠[1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَة٠الْقَدْر٠[2] لَيْلَة٠الْقَدْر٠خَيْرٌ مّÙنْ أَلْÙ٠شَهْرÙ
Akasema Mtume "Ni bora kuliko yule mtu aliyevaa vazivla vita (kwa miaka elfu).
Usiku wa laylat al qadir
Usiku wa heshima. Katika sura 2:186 imesemwa ya kuwa Qur'an ilishuka katika mwezi wa Ramadhani. na katika sura hii inasemwa ya kuwa iliposhuka ilishuka katika usiku unaoitwa Lailat al-Qadir, yaani usiku wenye heshima. Sio mradi wake kuwa Qur'an yote ilishuka katika mwezi mmoja au usiku ule mmoja, bali mwanzo wa kushuka ilikuwa ni katika usiku wa Qadr wa mwezi wa Ramadhani na ikaendelea kushuka kwa miaka 23.
Siku moja Mtume aliambiwa na Mwenyezi Mungu usiku huu ni tarehe gani ya mwezi wa
Ramadhani. Alipokuwa akitoka ili kuwapa watu habari akakuta watu wanagombana na akaingia
kuwaamua. Katika kuamua, tarehe ile akaisahau, lakini akasema watu wanaweza kuitafuta Lailat
al-Qadr katika tarehe 21 au 23 au 25 au 27 au 29 ya mwezi wa Ramadhani (Bukhari). Lailat
al-Qadir huendelea mpaka alfajiri, ndiyo mwisho
Soma zaidi kuhusu usiku huu Bofya hapa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Quran Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 2053
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Tofauti kat ya sura za Maka na Madina
Sura za Makka na Madina Kutokana na historia ya kushuka kwake sura za Qur-an zimegawanywa katika makundi mawili - sura za Makka na sura za Madina. Soma Zaidi...
Sababu za kushuka kwa surat al-Fiil
SURAT AL-FIILSura hii imeteremshwa Makkah na ina Aya Sita pamoja na Basmallah. Soma Zaidi...
Sababu za kushuka surat an-Nas na surat al Falaq
Sura mbili hizi pia hujulikana kwa jina la al muawidhatain ambazo ni surat an Nas na surat al falaq. Soma Zaidi...
Sababu za kushuka kwa surat An-Nasr (idhaa jaa)
SURATUN-NASR Sura hii imeteremka wakati Mtume (s. Soma Zaidi...
quran na sayansi
Soma Zaidi...
Wanaadamu kushindwa Kuandika Kitabu Mithili ya Qur-an:
Soma Zaidi...
Maana ya Idgham na aina zake katika usomaji wa Quran tajwid
Aina za idgham ni idgham al mutamathilain, na idgham al mutajanisain Soma Zaidi...
Ni zipi hukumu za nuni yenye sakina au tanwin?
Hapa utajifunza usomaji wa Quran pindi utakapokuta nuni yenyebsakina au tanwin Soma Zaidi...
Maana ya Quran na Majina ya quran n amaana zao
Soma Zaidi...
Sifa za wanafiki katika quran
Soma Zaidi...