Asbab nuzul surat al qadi. Hii ni sura ya 97 katika mpangilio wa mashaf. Surat al qadir imeteremshwa Madina na ina aya 5.
Kwa kauli ya Jamhuri sura hii imeshuka Madina. Zipo baadhi ya kauli kuwa ni ya Madina.
وَذَكَرَ الْوَاقÙدَيّ٠أَنَّهَا أَوَّل٠سÙورَة٠نَزَلَتْ بÙالْمَدÙينَةÙ. ÙˆÙŽÙ‡ÙÙŠÙŽ خَمْس٠آيَاتÙ.
Na katika kauli nyingine ni kuwa hii ndio sura ya kwanza kushuka Madina. Angalia tafsir al qurtub.
Asbab nuzuli - sababu zakushuka
عَنْ Ù…ÙجَاهÙد٠قَالَ : ذَكَرَ النَّبÙيّ٠صَلَّى اللَّه٠عَلَيْه٠وَسَلَّمَ رَجÙلًا Ù…Ùنْ بَنÙÙŠ Ø¥ÙسْرَائÙيلَ لَبÙسَ السّÙلَاØÙŽ ÙÙÙŠ سَبÙيل٠اللَّه٠أَلْÙÙŽ شَهْر٠، Ùَتَعَجَّبَ الْمÙسْلÙÙ…Ùونَ Ù…Ùنْ Ø°ÙŽÙ„ÙÙƒÙŽ ØŒ Ùَأَنْزَلَ اللَّه٠تَعَالَى : ï´¿Ø¥Ùنَّا أَنزَلْنَاه٠ÙÙÙŠ لَيْلَة٠الْقَدْر٠[1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَة٠الْقَدْر٠[2] لَيْلَة٠الْقَدْر٠خَيْرٌ مّÙنْ أَلْÙ٠شَهْرÙï´¾ . قَالَ : " خَيْرٌ Ù…ÙÙ†ÙŽ الَّتÙÙŠ لَبÙسَ ÙÙيهَا السّÙلَاØÙŽ Ø°ÙŽÙ„ÙÙƒÙŽ الرَّجÙÙ„Ù " .
Amesema Mujahid kuwa Mtume s.a.w alimtaja Mtu mmoja katika wana wa Israel kuwa alivaa silaha za vita kwa ajili ya njia ya Allah (kupigana jihadi) kwa muda wa miaka elfu moja. Basi Waislamu (Masahaba) walistaajabu sana na habari hii basi hapo Allah akishika sura hii ï´¿Ø¥Ùنَّا أَنزَلْنَاه٠ÙÙÙŠ لَيْلَة٠الْقَدْر٠[1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَة٠الْقَدْر٠[2] لَيْلَة٠الْقَدْر٠خَيْرٌ مّÙنْ أَلْÙ٠شَهْرÙ
Akasema Mtume "Ni bora kuliko yule mtu aliyevaa vazivla vita (kwa miaka elfu).
Usiku wa laylat al qadir
Usiku wa heshima. Katika sura 2:186 imesemwa ya kuwa Qur'an ilishuka katika mwezi wa Ramadhani. na katika sura hii inasemwa ya kuwa iliposhuka ilishuka katika usiku unaoitwa Lailat al-Qadir, yaani usiku wenye heshima. Sio mradi wake kuwa Qur'an yote ilishuka katika mwezi mmoja au usiku ule mmoja, bali mwanzo wa kushuka ilikuwa ni katika usiku wa Qadr wa mwezi wa Ramadhani na ikaendelea kushuka kwa miaka 23.
Siku moja Mtume aliambiwa na Mwenyezi Mungu usiku huu ni tarehe gani ya mwezi wa
Ramadhani. Alipokuwa akitoka ili kuwapa watu habari akakuta watu wanagombana na akaingia
kuwaamua. Katika kuamua, tarehe ile akaisahau, lakini akasema watu wanaweza kuitafuta Lailat
al-Qadr katika tarehe 21 au 23 au 25 au 27 au 29 ya mwezi wa Ramadhani (Bukhari). Lailat
al-Qadir huendelea mpaka alfajiri, ndiyo mwisho
Soma zaidi kuhusu usiku huu Bofya hapa
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1851
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 kitabu cha Simulizi
Sababu za kushuka kwa Surat At-Takaathur
Wanazuoni wengi zaidi wanakubaliana ya kuwa sura hii surat At-Takaathur ilishuka Makka, na hizi ndio sababu za kushuka kwa sura hii Soma Zaidi...
Aina za Madd far-iy
Mada zipo katika makundi mawili ambayo ni madda far-iy na mdada twab-iy. Soma Zaidi...
Hoja juu ya kukubalika hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Sura za makkah na madinah
Quran (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Wanaoongozwa na wasioongozwa na quran
Soma Zaidi...
Sababu za kushukasurat an Nasr
Sura hii ni katika sura za mwisho kushuka, huwendakuwa ndio ya mwisho kabisa. Masahaba waliamini kuwa sura hii imetabiri kifo cha Mtume S.A.W Soma Zaidi...
Dai kuwa Muhammad Alitunga Qur-an ili Ajinufaishe Kiuchumi
Soma Zaidi...
Sababu za kushuka kwa surat al qariah
Surat Al qariah, ni moja katika sura zilizochuka miaka ya mwanzoni mwa utume. Soma Zaidi...
yaliyomo: HUKUMU YA MIM SAKINA, NUN SAKINA, MADA, WAQFU, QALAQALA, TAFKHIM NA TARQIQ, USOMAJI WA QURAN
DARSA ZA TAJWID YALIYOMOSURA YA 01 . Soma Zaidi...
Ni ipi aya ya mwisho kushuka katika Quran?
Maulamaa katika elimu ya Quran wametofautiana juu ya aya ya mwisho kushuka. Hata hivyo hapa nitakutajia ambayo imependekezwa zaidi Soma Zaidi...
Saratul-humaza
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
HUKUMU ZA QALQALA
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa Soma Zaidi...