Asbab nuzul surat al qadi. Hii ni sura ya 97 katika mpangilio wa mashaf. Surat al qadir imeteremshwa Madina na ina aya 5.
Kwa kauli ya Jamhuri sura hii imeshuka Madina. Zipo baadhi ya kauli kuwa ni ya Madina.
وَذَكَرَ الْوَاقÙدَيّ٠أَنَّهَا أَوَّل٠سÙورَة٠نَزَلَتْ بÙالْمَدÙينَةÙ. ÙˆÙŽÙ‡ÙÙŠÙŽ خَمْس٠آيَاتÙ.
Na katika kauli nyingine ni kuwa hii ndio sura ya kwanza kushuka Madina. Angalia tafsir al qurtub.
Asbab nuzuli - sababu zakushuka
عَنْ Ù…ÙجَاهÙد٠قَالَ : ذَكَرَ النَّبÙيّ٠صَلَّى اللَّه٠عَلَيْه٠وَسَلَّمَ رَجÙلًا Ù…Ùنْ بَنÙÙŠ Ø¥ÙسْرَائÙيلَ لَبÙسَ السّÙلَاØÙŽ ÙÙÙŠ سَبÙيل٠اللَّه٠أَلْÙÙŽ شَهْر٠، Ùَتَعَجَّبَ الْمÙسْلÙÙ…Ùونَ Ù…Ùنْ Ø°ÙŽÙ„ÙÙƒÙŽ ØŒ Ùَأَنْزَلَ اللَّه٠تَعَالَى : ï´¿Ø¥Ùنَّا أَنزَلْنَاه٠ÙÙÙŠ لَيْلَة٠الْقَدْر٠[1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَة٠الْقَدْر٠[2] لَيْلَة٠الْقَدْر٠خَيْرٌ مّÙنْ أَلْÙ٠شَهْرÙï´¾ . قَالَ : " خَيْرٌ Ù…ÙÙ†ÙŽ الَّتÙÙŠ لَبÙسَ ÙÙيهَا السّÙلَاØÙŽ Ø°ÙŽÙ„ÙÙƒÙŽ الرَّجÙÙ„Ù " .
Amesema Mujahid kuwa Mtume s.a.w alimtaja Mtu mmoja katika wana wa Israel kuwa alivaa silaha za vita kwa ajili ya njia ya Allah (kupigana jihadi) kwa muda wa miaka elfu moja. Basi Waislamu (Masahaba) walistaajabu sana na habari hii basi hapo Allah akishika sura hii ï´¿Ø¥Ùنَّا أَنزَلْنَاه٠ÙÙÙŠ لَيْلَة٠الْقَدْر٠[1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَة٠الْقَدْر٠[2] لَيْلَة٠الْقَدْر٠خَيْرٌ مّÙنْ أَلْÙ٠شَهْرÙ
Akasema Mtume "Ni bora kuliko yule mtu aliyevaa vazivla vita (kwa miaka elfu).
Usiku wa laylat al qadir
Usiku wa heshima. Katika sura 2:186 imesemwa ya kuwa Qur'an ilishuka katika mwezi wa Ramadhani. na katika sura hii inasemwa ya kuwa iliposhuka ilishuka katika usiku unaoitwa Lailat al-Qadir, yaani usiku wenye heshima. Sio mradi wake kuwa Qur'an yote ilishuka katika mwezi mmoja au usiku ule mmoja, bali mwanzo wa kushuka ilikuwa ni katika usiku wa Qadr wa mwezi wa Ramadhani na ikaendelea kushuka kwa miaka 23.
Siku moja Mtume aliambiwa na Mwenyezi Mungu usiku huu ni tarehe gani ya mwezi wa
Ramadhani. Alipokuwa akitoka ili kuwapa watu habari akakuta watu wanagombana na akaingia
kuwaamua. Katika kuamua, tarehe ile akaisahau, lakini akasema watu wanaweza kuitafuta Lailat
al-Qadr katika tarehe 21 au 23 au 25 au 27 au 29 ya mwezi wa Ramadhani (Bukhari). Lailat
al-Qadir huendelea mpaka alfajiri, ndiyo mwisho
Soma zaidi kuhusu usiku huu Bofya hapa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Sura hii imekuja kukata rai ya Makafiri wa Makka kuhusu ibada ya ushirika. Hivi leo tungesema kuhusu dini mseto.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuhusu maana ya id-ghamu na aina zake.
Soma Zaidi...TAHADHARI KWA WASOMAJI WA QURAN Wasomaji wa qurani wawe na tahadhari katika usomaji wao.
Soma Zaidi...Al fiyl ni neno la Kiarabu lenye maana ya tembo. Sura hii inazungumziakisa cha jeshi lenye tembo. Jeshi hili lilikuwa na nia ya kuvunja al qaaba
Soma Zaidi...Surat Ikhlas ni katika sura za kitawhid ambazo zilishuka miaka siku za mwanzoni mwa utume. Sura hii imekuja kujibu maswali mengi kuhusu Allah ikiwemo, Allah ni nani?
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha fadhila na faida za kusoma surat al Imran
Soma Zaidi...