picha

Sababu za kushuka surat al qadir

Asbab nuzul surat al qadi. Hii ni sura ya 97 katika mpangilio wa mashaf. Surat al qadir imeteremshwa Madina na ina aya 5.

Kwa kauli ya Jamhuri sura hii imeshuka Madina. Zipo baadhi ya kauli kuwa ni ya Madina. 

 

وَذَكَرَ الْوَاقِدَيُّ أَنَّهَا أَوَّلُ سُورَةٍ نَزَلَتْ بِالْمَدِينَةِ. وَهِيَ خَمْسُ آيَاتٍ.

Na katika kauli nyingine ni kuwa hii ndio sura ya kwanza kushuka Madina. Angalia tafsir al qurtub. 

 

Asbab nuzuli - sababu zakushuka

عَنْ مُجَاهِدٍ قَالَ : ذَكَرَ النَّبِيُّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ رَجُلًا مِنْ بَنِي إِسْرَائِيلَ لَبِسَ السِّلَاحَ فِي سَبِيلِ اللَّهِ أَلْفَ شَهْرٍ ، فَتَعَجَّبَ الْمُسْلِمُونَ مِنْ ذَلِكَ ، فَأَنْزَلَ اللَّهُ تَعَالَى : ﴿إِنَّا أَنزَلْنَاهُ فِي لَيْلَةِ الْقَدْرِ [1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَةُ الْقَدْرِ [2] لَيْلَةُ الْقَدْرِ خَيْرٌ مِّنْ أَلْفِ شَهْرٍ﴾ . قَالَ : " خَيْرٌ مِنَ الَّتِي لَبِسَ فِيهَا السِّلَاحَ ذَلِكَ الرَّجُلُ " .

Amesema Mujahid kuwa Mtume s.a.w alimtaja Mtu mmoja katika wana wa Israel kuwa alivaa silaha za vita kwa ajili ya njia ya Allah (kupigana jihadi) kwa muda wa miaka elfu moja. Basi Waislamu (Masahaba) walistaajabu sana na habari hii basi hapo Allah akishika sura hii ﴿إِنَّا أَنزَلْنَاهُ فِي لَيْلَةِ الْقَدْرِ [1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَةُ الْقَدْرِ [2] لَيْلَةُ الْقَدْرِ خَيْرٌ مِّنْ أَلْفِ شَهْرٍ 

 

Akasema Mtume "Ni bora kuliko yule mtu aliyevaa vazivla vita (kwa miaka elfu). 

 

Usiku wa laylat al qadir

Usiku wa heshima. Katika sura 2:186 imesemwa ya kuwa Qur'an ilishuka katika mwezi wa Ramadhani. na katika sura hii inasemwa ya kuwa iliposhuka ilishuka katika usiku  unaoitwa Lailat al-Qadir, yaani usiku wenye heshima. Sio mradi wake kuwa Qur'an yote ilishuka  katika mwezi mmoja au usiku ule mmoja, bali mwanzo wa kushuka ilikuwa ni katika usiku wa Qadr wa mwezi wa Ramadhani na ikaendelea kushuka kwa miaka 23.

 

Siku moja Mtume aliambiwa na Mwenyezi Mungu usiku huu ni tarehe gani ya mwezi wa 
Ramadhani. Alipokuwa akitoka ili kuwapa watu habari akakuta watu wanagombana na akaingia 
kuwaamua. Katika kuamua, tarehe ile akaisahau, lakini akasema watu wanaweza kuitafuta Lailat 
al-Qadr katika tarehe 21 au 23 au 25 au 27 au 29 ya mwezi wa Ramadhani (Bukhari). Lailat 
al-Qadir huendelea mpaka alfajiri, ndiyo mwisho

Soma zaidi kuhusu usiku huu Bofya hapa

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Quran Main: Post File: Download PDF Views 2819

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 web hosting     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Ni nini maana ya id-gham katika hukumu za tajwid

Hapa utajifunza kuhusu maana ya id-ghamu na aina zake.

Soma Zaidi...
sura ya 11

Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa

Soma Zaidi...
Sababu za kshuka surat al Asr

Sura hii ni katika sura za kitawhidi sana. Maulamaa wanasema inatosha sura hii kuwa ni mawaidha. Imamu sharifu anasema kuwa sura hii inatosha kuwa muongozo…

Soma Zaidi...
Makundi ya Id-ghamu katika usomaji wa Quran Tajwid

Kama tulivyoona kuwa id-ghamu ipo katika aina kuu mbili ambazo ni id-ghamu bighunnah na id-ghamu bighair ghumnah. Sasa hapa tutajifunza makundi mengine ya idhgamu.

Soma Zaidi...
surat al mauun

SURATUL-MAM’UUN Imeteremshwa Maka, anasimulia Ibn Jurayj kuwa Abuu Sufyan ibn Harb alikuwa na kawaida ya kuchinja ngamia wawili kila wiki, hivyo siku moja yatima mmoja alikuja kwake na kumlilia shida, na hakumsaidia kwa chochote na hatimaye akampiga yat..

Soma Zaidi...
Quran si njozi za mvurugano alizoota Mtume Muhammad

(ii)Dai kuwa Qur-an ni zao la njozi za Mtume (s.

Soma Zaidi...