Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 6.
(b) Tofautisha kati ya sura za Makkah na zile za Madinah.
(b) “Adhabu kali itamthubutikia kila mwenye kuramba kisogo, asengenyaye, msengenyaji” (104:1).
Kwa mujibu wa aya hii, dhihirisha ubaya wa kusengenya.
Kwa mujibu wa aya hii, bainisha baadhi ya neema alizopewa mwanaadamu na Mola wake.
Umeionaje Makala hii.. ?
3; Mchujo wa maji dhaliliKatika aya nyingine tunakuja kupata funzo kuwa maji aliyoumbiwa mwanadamu licha yakuwa na sifa zilizotajwa katika kurasa zilizopita ila pia maji haya yanasifa kuwa ni madhalilina pia na yamechujwa kama tunavyoelezwa katika quran??
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...Wanazuoni wengi zaidi wanakubaliana ya kuwa sura hii surat At-Takaathur ilishuka Makka, na hizi ndio sababu za kushuka kwa sura hii
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu srat al fatiha, faida zake na maudhui zake
Soma Zaidi...