Maswali yanayohusu quran
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 6.
- (a) Ainisha idadi ya sura za Makkah na za Madinah.
(b) Tofautisha kati ya sura za Makkah na zile za Madinah.
- Onesha jinsi ambavyo Qur’an iliwekwa katika msahafu moja wakati wa Mtume (s.a.w) na umuhimu wa kunakiliwa upya wakati wa Uthman bin Affan (r.a).
- Bainisha hoja za Makafiri dhidi ya Qur’an na udhaifu wa hoja hizo.
- (a) Kwa kurejea Suratul-Fiyl, andika tafsiri yake na kisha toa mafunzo matano yatokanayo na sura hiyo.
(b) “Adhabu kali itamthubutikia kila mwenye kuramba kisogo, asengenyaye, msengenyaji” (104:1).
Kwa mujibu wa aya hii, dhihirisha ubaya wa kusengenya.
- “Kisha mtaulizwa juu ya (kila) neema mlizoneemeshwa” (102:8).
Kwa mujibu wa aya hii, bainisha baadhi ya neema alizopewa mwanaadamu na Mola wake.
- Eleza hatua alizochukua Mtume (s.a.w) katika kuihifadhi na kuilinda Qur’an.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π2 web hosting π3 Madrasa kiganjani π4 Kitau cha Fiqh π5 Kitabu cha Afya π6 Bongolite - Game zone - Play free game
π1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π2 web hosting π3 Madrasa kiganjani π4 Kitau cha Fiqh π5 Kitabu cha Afya π6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
HUKUMU ZA MIIM YENYE SAKINA
SURA YA NNE HUKUMU ZA MIYM YENYE SAKNA HUKUMU ZA MIYM SAKINA: Mym sakina ni miym ambayo haina iβrab ( Ω Ω).
Soma Zaidi...Sababu za kushuka Surat al Kafirun
Sura hii imekuja kukata rai ya Makafiri wa Makka kuhusu ibada ya ushirika. Hivi leo tungesema kuhusu dini mseto.
Soma Zaidi...Viraa saba na herufi saba katika usomaji wa quran
Ni zipi hizo herufi saba, na ni vipi viraa saba katika usomaji wa Quran
Soma Zaidi...