Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 6.
(b) Tofautisha kati ya sura za Makkah na zile za Madinah.
(b) “Adhabu kali itamthubutikia kila mwenye kuramba kisogo, asengenyaye, msengenyaji” (104:1).
Kwa mujibu wa aya hii, dhihirisha ubaya wa kusengenya.
Kwa mujibu wa aya hii, bainisha baadhi ya neema alizopewa mwanaadamu na Mola wake.
Umeionaje Makala hii.. ?
Kujifunza tajwid ni katika mambo muhimu wakati wa kusoma Quran
Soma Zaidi...Qur-an inavyogawa MirathiMgawanyo wa mirathi umebainishwa katika Qur-an kama ifuatavyo:Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Mwanamume apate sawa na sehemu ya wanawake wawili.
Soma Zaidi...Asbab nuzul surat al bayyinh. Sura hii imeteremka Madina na ina aya nane.
Soma Zaidi...