Maswali yanayohusu quran


image


Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)


Zoezi la 6.

  1. (a)  Ainisha idadi ya sura za Makkah na za Madinah.

(b)  Tofautisha kati ya sura za Makkah na zile za Madinah.

  1. Onesha jinsi ambavyo Qur’an iliwekwa katika msahafu moja wakati wa Mtume (s.a.w) na umuhimu wa kunakiliwa upya wakati wa Uthman bin Affan (r.a).

 

  1. Bainisha hoja za Makafiri dhidi ya Qur’an na udhaifu wa hoja hizo.
  2. (a) Kwa kurejea Suratul-Fiyl, andika tafsiri yake na kisha toa mafunzo matano yatokanayo na sura hiyo.

(b) “Adhabu kali itamthubutikia kila mwenye kuramba kisogo, asengenyaye, msengenyaji” (104:1).

Kwa mujibu wa aya hii, dhihirisha ubaya wa kusengenya.

  1. “Kisha mtaulizwa juu ya (kila) neema mlizoneemeshwa” (102:8).

Kwa mujibu wa aya hii, bainisha baadhi ya neema alizopewa mwanaadamu na Mola wake.

  1. Eleza hatua alizochukua Mtume (s.a.w) katika kuihifadhi na kuilinda Qur’an.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Vita vya badri
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mafunzo kutokana na vita vya badri
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Msimamo wa uislamu juu ya utumwa
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mbinu na njia walizotumia maadui wa uislamu dhidi ya waislamu na dola ya kiislamu madinah
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Faida za funga
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Dhana ya haki na uadilifu katika uislamu
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Sanda ya mtoto
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Dhana ya ibada kwa mtazamo wa uislamu..
Mtazamo wa uislamu juu ya ibada (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Vita vya uhudi
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Lengo la kuumbwa Mwanadamu ni lipi?
Kwenye kipengele hichi tutajifunza lengo la kuumbwa mwaanadamuengo la kuumbwa ulimwengu na viumbe vilivyomo. Soma Zaidi...