Maulamaa katika elimu ya Quran wametofautiana juu ya aya ya mwisho kushuka. Hata hivyo hapa nitakutajia ambayo imependekezwa zaidi
Aya ya mwisho kushuka katika Qur'an inapatikana katika Surat Al-Baqarah (Sura ya Pili), Aya ya 281. Aya hii inasomeka kama ifuatavyo:
[Surah Al-Baqarah: 281]
Tafsiri yake ni:
Na iogopeni Siku ambayo mtarudishwa kwa Mwenyezi Mungu, kisha kila nafsi italipwa ilicho chuma. Nao hawatadhulumiwa.
Aya hii ina ujumbe muhimu wa kumkumbusha mtu juu ya Siku ya Kiyama ambapo kila nafsi itahesabiwa kwa matendo yake na itawajibishwa kwa yale iliyojifanyia. Ni aya inayotukumbusha umuhimu wa kuwa na takua na kufanya mema katika maisha yetu ili tufaidike katika Akhera.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kama tulivyoona kuwa id-ghamu ipo katika aina kuu mbili ambazo ni id-ghamu bighunnah na id-ghamu bighair ghumnah. Sasa hapa tutajifunza makundi mengine ya idhgamu.
Soma Zaidi...Unazijua faida za kusoma Quran, na je ni faida gani utapata ukisoma Quran?
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kanuni za tajwid katika kusoma bismillah au basmalah.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu srat al fatiha, faida zake na maudhui zake
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Aina za idgham ni idgham al mutamathilain, na idgham al mutajanisain
Soma Zaidi...Has utakwenda kujifunza utofauti was Hadithi Al Quds na Quran
Soma Zaidi...