Sababu za Quran kuwa mwongozo sahihi wa maisha ya mwanadamu
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Sababu za Qur’an kuwa mwongozo sahihi pekee wa maisha ya mwanaadamu.
- Qur’an yote ni maneno ya Mwenyezi Mungu (s.w) peke yake, hivyo ni mwongozo wa uhakika.
- Ujumbe wa Qur’an umeelekezwa kwa walimwengu wote na zama zote zilizobakia hadi siku ya Qiyama.
- Maana ya Kuiamini Qur’an katika maisha ya kila siku.
Maana halisi ya kuiamini Qur’an kama Kitabu pekee cha mwongozo sahihi wa maisha ya mwanaadamu (muumini) ni kufanya yafuatayo;
- Kuwa na yakini pasina shaka yeyote kuwa Qur’an yote ni maneno ya Mwenyezi Mungu (s.w) peke yake.
Rejea Qur’an (2:2).
- Kuufahamu vyema ujumbe wa Qur’an na kuuheshimu inavyostahiki kwa kujizatiti katika kujifunza kuisoma na kuijua ipasavyo.
Rejea Qur’an (73:4) na (7:204-205).
- Kulifahamu vyema lengo la Qur’an na kuiendea kwa lengo lake tu.
Rejea Qur’an (14:1), (2:185) na (16:64).
- Kuitekeleza Qur’an katika kukiendea kila kipengele cha maisha yetu ya kila siku kwa mujibu wa lengo lake tu.
Rejea Qur’an (5:44, 46-47).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 ai web app 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 ai web app 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Sababu za kushuka surat at Takaathur
Kuwa na tamaa huhitaji vitu vya watu si jambo jema. Ila kama tamaa hii itakuhamasisha na wewe kutafuta kitu hicho, kwa uwezo ambao Allah amekupa bila ha kuvuka mipaka yake, hili sio tatizo. Sura hii itakufundisha mengi
Soma Zaidi...mafunzo ya TAJWID na imani ya dini ya kiislamu
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...