MAGONJWA

picha
DALILI NA SABABU ZA MAWE KWENYE IN YAANI LIVER STONE AU INTRAHEPATIC STONES

Katika post hii utakwend akujifunza kuhusu tatizo la kuwa na vijiwe kwenye ini vijiwe hivi hufahamika kama intrahepatic stones.
picha
DALILI ZA HOMA YA INI

Kaika post hii utakwenda kujifunz akuhusu dalili za homa ya ini. Dalili hizi sio lazima zitokee zote. Zinaweza zikatokea baadhi tu na ikatosha kuonjesha kuw auna homa ya ini.
picha
ZIJUWE KAZI ZA INI MWILINI

Katika somo hili na yanayofuata utajifunz akuhusu ini. Post hii ina muendelezo wa post zinazofuat. Katika mfululizo huuutajifunz akuhusu ini na maradhi yake na kujiking nayo.
picha
JINSI YA KUJILINDA NA MARADHI YA INI

Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini.
picha
YAJUWE MARADHI MBALMBALI YA INI NA CHANO CHAKE

Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo.
picha
HOMA YA INI NINI NINI, NA HUSABABISHWA NA NINI

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.
picha
UGONJWA WA MALARIA DALILI ZAKE NA CHANZO CHAKE.

Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
picha
UJUWE UGONJWA WA GOUT NA ATHARI ZAKE MWILINI

Post hii itakwenda kuzungumzia ugonjwa wa gout unaosababishwa na ongezeko la asidi mwilini.
picha
DALILI, CHANZO, SABABU NA VMAMBO HATARI KUHUSU KIFUA KIKUU

Katika makala hii utajifunza kuhusu kifua kikuu, dalili zake, sababu zake, chanzo chake na mambo hatari kwa mgonjwa.
picha
UGONJWA WA VITILIGO, CHANZO, DALILI NA MATIBABU YAKE

Katika post hii utajifunza kuhusu ugonjwa wa vitiligo, chanzo chake, dalili zake na matibabu yaje
picha
SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO

hapa utajifunza maradhi mbalimbali yanatopelekea kuwepo kwa maumivu ya tumbo
picha
DALILI ZA MKOJO MCHAFU NA RANGI ZA MKOJO NA MKOJO MCHAFU

Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake
picha
UFAHAMU UGONJWA WA UTI NA DALILI ZAKE HASA KWA WAJAWAZITO

Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI
picha
SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO KWA CHINI UAPANDE WA KUSHOTO

Zijuwe sababu kuu zinazokufanya ukahisi maumivu makali ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
picha
MAUMIVU YA TUMBO KITOMVUNI, SABABU ZAKE NA DALILI ZAKE

Hapa utajifunza sababu za kuwepo na maumovu ya tumbe kitomvuni.
picha
UGONJWA WA MALARIA NA TAKWIMU ZA ATHARI YAKE KIDUNIA

Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.
picha
MJUE MBU, NA YAJUWE MARADHI MAKUU MATANO (5) HATARI YANAYOAMBUKIZWA NA MBU, MALARIA KUKAMATA NAMBA MOJA KWENYE MARADHI HAYO)

Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu.
picha
MATIBABU YA FANGASI

Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.
picha
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO

MWISHO Vidonda vya tumbo vinatibika bila ya shaka.
picha
KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI

KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.
picha
FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO

FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
picha
NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupata nafuu kutoka kwa maumivu ya kidonda cha tumbo ikiwa utafata taratibu za kiafya kama:- 1.
picha
MTAMBUE MDUDU MBU ILI UWEZE KUJIKINGA NA UGONJWA WA MALARIA (YAJUWE MAAJABU MAKUBWA YA MDUDU MBU)

Mbu ni katika wadudu wanaopatikana maeneo yenye joto hususan maeneo ynye hali ya hewa ya kitropik.
picha
DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO

DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO Dawa za kukabiliana na zaidi ambazo zina calcium carbonate (Tums, Rolaids), zinaweza kusaidia kutibu vidonda vya tumbo lakini hazipaswi kutumiwa kama matibabu ya msingi.
picha
FANGASI WANAOJULIKANA KAMA BLASTOMYCES

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
picha
VIDONDA VYA TUMBO SUGU

VIDONDA VYA TUMBO SUGU Matibabu ya vidonda vya tumbo mara nyingi hufanikiwa, na kusababisha uponyaji wa vidonda.
picha
WATU WALIO HATARINI KWA UGONJWA WA MALARIA (WAZEE, WATOTO, WAJAWAZITO, WAGENI N.K)

Malaria inaweza kumpata mtu yeyote bila ya kujali mri.
picha
ATHARI ZA KIAFYA ZA KUTOTIBU MALARIA AU KUCHELEWA KUTIBU MALARIA

Pindi malaria isipotibiwa inaweza kufanya dalili ziendelee na hatimaye kusababisha kifo.
picha
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO

MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO Matibabu ya vidonda vya tumbo inategemea sababu.
picha
FANGASI WATAMBULIKAO KAMA INVASIVE CANDIDIASIS

Hawa huweza kuingia kwenye mfumo wa damu na kuenda maeneo mengine nyeti sana ya mwili.
picha
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO: KUPUNGUZA ALEJI, KUCHOCHEA UTUNGAJI WA MIMBA, KUPONA KWA VIDONDA VYA NDANI

FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO Wakati mwingine kuwa na aina flani ya minyoo kunaweza kuwa na faida katika afya.
picha
NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO: KUOSHA MIKONO, KUWA MSAFI, KUVAA VIATU, MAJI SAFI, KUIVISHA NYAMA VYEMA

NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.
picha
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO

ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha: Kutokwa na damu kwa ndani.
picha
FANGASI WA KWENYE UKE.

Fangasi hawa kitaalamu wanafahamika kama vagina yeast infection na majina mengine ya kitaalamu ni kama vagina candidiasis, u vulvovaginal candidiasis au candidal vaginitis.
picha
MAMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO

MAMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO Tukiachia mbali kuchukua dawa aina ya NSAIDs, unaweza kuwa na hatari ya kuongezeka kwa vidonda vya tumbo ikiwa: Utakuwa ni mvutaji wa sigara.
picha
TIBA YA MINYOO AU DAWA YA MINYOO: PRAZIQUANTEL (BILTRICIDE) MEBENDAZOLE (VERMOX, EMVERM) NA ALBENDAZOLE (ALBENZA).

TIBA YA MINYOO Moja katika sifa za minyoo ni kuwa wanatibika kwa urahisi pindi mgonjwa akipewa dawa husika.
picha
MALARIA INATOKEAJE? (NAMNA AMBAVYO MALARIA INATOKEA, INAANZA NA INAVYOATHIRI AFYA)

Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.
picha
VIPIMO VYA MINYOO (UTAJUAJE KAMA UNA MINYOO)? FECAL TEST, BLOOD TEST, COLONOSCOPY TAPE TEST X-RAY, MRI NA CT SCAN.

VIPIMO VYA MINYOO Haitoshelezi kuwa na dalili pekee ukathibitisha kuwa una minyoo.
picha
HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO

HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda.
picha
FANGASI AINA YA CANDIDA

Huu ni ugonjwa wa fangasi wanaosababishwa na mashambulizi ya fangani aia ya yeast waitwao candida.
picha
VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA

VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA 1.
picha
ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO: MAUMIVU YA TUMBO, KICHWA, KUTAPIKA DAMU, KICHEFUCHEFU, MIWASHO

ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumeng’enya chakula.
picha
FANGASI WANAOSABABISHA MAPUNYE DALILI ZAO NA JINSI YA KUPAMBANA NAO

Fangasi hawa ni maarufu sana kwa mapunye ya kichwani ama kwenye ngozi mikononi ama miguuni.
picha
NINI CHANZO CHA UGONJWA WA MALARIA? NI YUPI MBU ANAYESAMBAZA MALARIA

Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles.
picha
SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO

SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H.
picha
DALILI ZA MINYOO: MAUMIVU YA TUMBO, KICHWA, KUWASHWA, KUTAPIKA DAMU, MOYO KUUMWA, UKUAJI HAFIFU, UDHAIFU NA KUCHOKA

DALILI ZA MINYOO Wakati mwingine ni vigumu sana kujua kama una minyoo, kwani minyoo wanaweza kukaa ndani ya mwili kwa muda mrefu bila ya kuonesha dalili yeyote, ama madhara yeyote.
picha
FANGASI WA KWENYE KUCHA: DALILI ZAKE, NA KUMBAMBANA NAO

Hawa ni fangasi ambao wanashambulia sana kwenye kucha za vidole vya mikonobna miguu.
picha
VYANZO VYA MINYOO: NYAMA ISIYOWIVA, MAJI MACHAFU, KINYESI, UCHAFU WA MAZINGIRA, UDONGO

VYNZO VYA MINYOO Kama tulivyoona hapo mwanzo kuusu aina za minyoo, pia tumeona vyanzo vya minyoo hao kulingana na aina zao.
picha
NINI SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO

NENO LA AWALI Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo.
picha
WAJUE FANGASI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE

Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.
picha
AINA ZA MINYOO: TAPEWORM, LIVEFLUKE, ROUNDWORM, HOOKWORM, FLATWORM

AINA ZA MINYOO Minyoo ambao wanaweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu wapo aina nying, lakini hapa nitakueleza aina kuu tatu za minyoo hawa.
picha
JE..! NAWEZA KUAMBUKIZWA FANGASI KWA KUJAMIIANA NA MTU MWENYE FANGASI?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.
picha
MAUMIVU MAKALI SANA JUU YA TUMBO YN KAMA KUNA MOTO HIVI NA MGONGON KAMA UNADUNGWA SINDANO HIVI JE HIZO NI DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO?

Dr huwa nasikia maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi je hizo ni dalili za vidonda vya tumbo?
picha
JE MTU ANAWEZA KUSHIRIKI MAPENZI NA MTU MWENYE MAAMBUKIZI YA UKIMWI PASIPO KUAMBUKIZWA?

Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?
picha
MAPIGO YA MOYO KWENDA MBIO, MWILI KUCHOKA,KICHEFUCHEFU, KIZUNGUNGU, JOTO KIASI.

Je, mtu mwenye dalili zifuatazo Kama, Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi.
picha
NINA MAAMBUKIZI YA ZINAHA MAUMIVU WAKATI WA KUKOJOA NA USAHA

Mimi nilifanya ngono isiyo salama Tar 14/07 mwaka huu, nilikutana tu na mwanamke ambae sikuwa hata na background yake yoyote hivyo baada ya siku tatu nilijikuta nina maambukizi ya zinaha (maumivu wakati wa kukojoa na usaha), hivyo nilienda hospital na kup
picha
NAHIS MIGUU PAMOJA NA MIKONO KUISHIWA NGUVU NI MGONGO KUUMA NI DALILI ZA UGONJWA GAN ?

mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?
picha
FANGASI WANAOJULIKANA KAMA BLASTOMYCES

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
picha
FANGASI WANAOJULIKANA KAMA BLASTOMYCES

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
picha
UKIWA NA ALEJI , AFU KUPATA MUWASHO KORODANI UNAPO JIKUNA UNGA KUTOKA NAYO FANGASI?

Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
picha
TATIZO LA KUJAA MATE MDOMONI NIMEAMBIWA NINA MINYOO

Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.
picha
NINASUMBULIWA SANA NA MAPUNYE YA KICHWANI NIMETUMIA DAWA TAKRIBANI MIAKA 3

Habari, samahani ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3 ila yanapona Tena baada ya Muda flani yanatokea.
picha
MALARIA NI NINI? NI WATU WANGAPI WANAKUFA KWA MALARIA DUNIANI

Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani.
picha
DONDOO 100

Basi tambua haya;- 1.
picha
UGNJWA WA UTI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
KISUKARI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
KISUKARI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
MARADHI YA MOYO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
AFYA NA MAGONJWA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
MARADHI YA MOYO: KUPALALAIZI, PRESHA, SHAMBULIZI LA MOYO, ATHEROSCLEROSIS;

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
MARADHI MENGINE 10 YANAYOTOKANA NA MBU ( MATENDE, NGIRIMAJI, HOMA YA MANJANO, N.K

Tofauti na maradhi yaliyotajwa hapo juu pia tafiti za kisayansi zimethibitisha kuwepo kwa maradhi mengine hatari yanayosambazwa na mbu, kama vile ngirimaji pamoja na matende.
picha
SABABU ZA MDOMO KUWA MCHUNGU

Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.
picha
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO, MATIBABU NA DAWA ZAKE, SABABU ZA KUTOKEA KWAKE

Utajifunza chanzo cha vidonda vya tumbo, dalili zake, dawa na matibabu yake pamoja na njia za kujilinda na vidonda vya tumbo
picha
SABABU KUU ZA MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOMVU, TUMBO LA NGIRI NA CHANGO

Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, na tumbo la ngiri kwa wanaume, na tumbo la chango kwa wanawake
picha
DALILI ZA UKIMWI HUCHUKUA MUDA GANI?

Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya maradhi haya ya ukimwi, dalili zake, tiba na kinga zake na mengineyo zaidi.
picha
NI NINI HUSABABISHA MATE KUJAA MDOMONI, NA NI YAPI MATIBABU YAKE

Hapa tutaangalia baadhi ya sababu zinazopelekea mdomo kujaa mate na namna ya kutibu tatizo la kujaa kwa mate mdomoni
picha
FIGO NI NINI, NI YAPI MARADHI YAKE NA NITAJIEPUSHA VIPI NA MARADHI YA FIGO

Makala hii itakwenda kukueleza ni nini hasa hizi figo, na ni yapi maradhi yake na ni kwa namna ggani utaweza kujilinda na maradhi ya figo.
picha
DALILI ZA UKIMWI SIKU ZA MWANZO

Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna
picha
YAMINYOO NA ATHARI ZAO KIAF

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
picha
VIDONDA VYA TUMBO

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
picha
DALILI ZA UKIMWI HUONEKANA BAADA YA MUDA GANI

Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV
picha
DALILI KUU 7 ZA MALARIA NA DAWA YA KUTIBU MALARIA

Makala hii itazungumzia dalili za Malaria, athari za kuchelewa kutibu malaria, na matibabu ya malaria
picha
DALILI ZA GONORRHEA - GONORIA

Jifunze dalili za gonorrhea na namna inavyoambukiza, zipi athari za gonori kwa wanawae na wanaume