Katika somo hili utakwend
Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.