picha

Python somo 57: Matumizi ya Python shell

Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.

Utangulizi

Python shell ni interactive environment ya Python inayokuwezesha kuingiza na kuendesha code moja kwa moja, kupata matokeo mara moja, na kufanya majaribio bila kuandika script nzima.

Kwa nini shell ni muhimu kwa Django:


Maana ya shell


Utofauti kati ya Python shell na Terminal

Kipengele Python Shell Terminal
Lengo Kuandika na kujaribu code za Python Kuendesha commands za system (Linux/Windows)
Interaction Immediate feedback ya Python Executes system commands, scripts, au programs
Django support Inaruhusu interaction na Django models Haina context ya Django bila manage.py shell
Syntax Python syntax Shell syntax (bash, cmd)

Kwa ufupi: Terminal ni kwa system commands, Python shell ni kwa Python na Django commands.


Matumizi ya Python shell kwenye Django

  1. Ku-access models kama MenuItem.

  2. Kuingiza data bila kwenda kwenye forms.

  3. Kujaribu logic ya views kama add_item, edit_item, delete_item.

  4. Debugging ya functions, querysets, na validations.

  5. Testing haraka bila ku-run server.


Amri muhimu 25+ za Python shell (mfano kutoka pybongo)

Kuanzisha shell

python manage.py shell
# au shell_plus
python manage.py shell_plus

1. Import model

from menu.models import MenuItem

2. Kuona data zote

MenuItem.objects.all()

3. Kuangalia idadi ya items

MenuItem.objects.count()

4. Ku-create item mpya

item = MenuItem(jina="Wali Nyama", maelezo="Wali mweupe na mchuzi wa nyama", muda_upatikana">
...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-11-24 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 394

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 53: Kutengeneza HTML Form na Django View kwa ajili ya kuingiza data

Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 46: Kutengeneza Fomu na Kuituma kwa Django Template

Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.

Soma Zaidi...
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 61: Jinsi ya kutuma email kwenye django

Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.

Soma Zaidi...
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 47: Jinsi ya kupokea na kuchakata fomu

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu

Soma Zaidi...
Python somo la 30: Data abstraction

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

Soma Zaidi...