Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili
Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Jinsi ya Kupata Taarifa za Faili Husika kwa Python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu kuhusu faili kwa kutumia Python. Tutatumia modules zinazohusiana na os na os.path kwa taarifa za ukubwa, location, na pia tutaongeza ujuzi wa kusoma idadi ya mistari kwa kutumia mbinu tofauti.
1. Hatua za Kwanza
-
Hakikisha faili lako lipo, na unajua jina na path yake.
-
Tunaweza kutumia Python standard library kufanya kazi hizi bila haja ya programu za ziada.
2. Kutambua Ukubwa wa Faili
Ili kujua ukubwa wa faili katika bytes, tunatumia method ya os.path.getsize().
import os
# Jina la faili
file_path = 'wanafunzi.csv'
# Pata ukubwa wa faili
file_size = os.path.getsize(file_path)
print(f"Ukubwa wa faili ni: {file_size} bytes")
Output (mfano):
Ukubwa wa faili ni: 68 bytes
3. Kupata Mahali (Location) ya Faili
Ili kupata absolute path ya faili, tumia os.path.abspath().
import os
# Jina la faili
file_path = 'wanafunzi.csv'
# Pata ukubwa wa faili
file_location = os.path.abspath(file_path)
print(f"Faili lipo katika: {file_location}")
Output (mfano):
Faili lipo katika: /home/user/projects/wanafunzi.csv
4. Muda Faili Lilipopata Sasisho (modification)
Tumia os.path.getmtime() kupata muda wa mwisho faili liliposasishwa (editing). Taarifa hii itarudiwa kama timestamp ya UNIX ambayo inaweza kubadilishwa kuwa fomati inayosomeka.
import os
import time
# Jina la faili
file_path = 'wanafunzi.csv'
# Muda wa mwisho wa kusasisha
last_modified = os.path.getmtime(file_path)
print(f"Faili lilisasishwa mwisho: {time.ctime(last_modified)}")
Output (mfano):
Faili lilisasishwa mwisho: Tue Dec 3 12:45:00 2024
5. Muda wa Mwisho wa Kutumika
Tumia os.path.getatime() kupata muda wa mwisho faili lilipotumika.
import os
import time
# Jina la faili
file_path = 'wanafunzi.csv'
last_accessed = os.path.getatime(file_path)
print(f"Mara ya mwisho faili lilipotumika: {time.ctime(last_acces...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili
Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...Python somo la 23: Library kwenye python
Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...Python somo 57: Matumizi ya Python shell
Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...