Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Jinsi ya Kupata Taarifa za Faili Husika kwa Python

Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu kuhusu faili kwa kutumia Python. Tutatumia modules zinazohusiana na os na os.path kwa taarifa za ukubwa, location, na pia tutaongeza ujuzi wa kusoma idadi ya mistari kwa kutumia mbinu tofauti.

 


 

1. Hatua za Kwanza

 


 

2. Kutambua Ukubwa wa Faili

Ili kujua ukubwa wa faili katika bytes, tunatumia method ya os.path.getsize().

import os

 

# Jina la faili

file_path = 'wanafunzi.csv'

 

# Pata ukubwa wa faili

file_size = os.path.getsize(file_path)

print(f"Ukubwa wa faili ni: {file_size} bytes")

 

Output (mfano):

Ukubwa wa faili ni: 68 bytes

 

 


 

 

3. Kupata Mahali (Location) ya Faili

Ili kupata absolute path ya faili, tumia os.path.abspath().

 

import os

 

# Jina la faili

file_path = 'wanafunzi.csv'

 

# Pata ukubwa wa faili

file_location = os.path.abspath(file_path)

print(f"Faili lipo katika: {file_location}")



Output (mfano):

Faili lipo katika: /home/user/projects/wanafunzi.csv

 

 


 

 

4. Muda Faili Lilipopata Sasisho (modification)

Tumia os.path.getmtime() kupata muda wa mwisho faili liliposasishwa (editing). Taarifa hii itarudiwa kama timestamp ya UNIX ambayo inaweza kubadilishwa kuwa fomati inayosomeka.

import os

import time

# Jina la faili

file_path = 'wanafunzi.csv'

 

# Muda wa mwisho wa kusasisha

last_modified = os.path.getmtime(file_path)

print(f"Faili lilisasishwa mwisho: {time.ctime(last_modified)}")

 

Output (mfano):

Faili lilisasishwa mwisho: Tue Dec 3 12:45:00 2024

 

 


 

5. Muda wa Mwisho wa Kutumika

Tumia os.path.getatime() kupata muda wa mwisho faili lilipotumika.

 

import os

import time

 

# Jina la faili

file_path = 'wanafunzi.csv'

last_accessed = os.path.getatime(file_path)

print(f"Mara ya mwisho faili lilipotumika: {time.ctime(last_accessed)}")



Output (mfano):

Mara ya mwisho faili lilipotumika: Tue Dec 3 13:00:00 2024...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 219

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Python somo la 39: Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Soma Zaidi...
Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...
Python somo la 38: Kubadilisha landing page ya Django Framework

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
Python somo la 23: Library kwenye python

Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...