Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu kuhusu faili kwa kutumia Python. Tutatumia modules zinazohusiana na os na os.path kwa taarifa za ukubwa, location, na pia tutaongeza ujuzi wa kusoma idadi ya mistari kwa kutumia mbinu tofauti.
Hakikisha faili lako lipo, na unajua jina na path yake.
Tunaweza kutumia Python standard library kufanya kazi hizi bila haja ya programu za ziada.
Ili kujua ukubwa wa faili katika bytes, tunatumia method ya os.path.getsize().
import os
# Jina la faili
file_path = 'wanafunzi.csv'
# Pata ukubwa wa faili
file_size = os.path.getsize(file_path)
print(f"Ukubwa wa faili ni: {file_size} bytes")
Output (mfano):
Ukubwa wa faili ni: 68 bytes
Ili kupata absolute path ya faili, tumia os.path.abspath().
import os
# Jina la faili
file_path = 'wanafunzi.csv'
# Pata ukubwa wa faili
file_location = os.path.abspath(file_path)
print(f"Faili lipo katika: {file_location}")
Output (mfano):
Faili lipo katika: /home/user/projects/wanafunzi.csv
Tumia os.path.getmtime() kupata muda wa mwisho faili liliposasishwa (editing). Taarifa hii itarudiwa kama timestamp ya UNIX ambayo inaweza kubadilishwa kuwa fomati inayosomeka.
import os
import time
# Jina la faili
file_path = 'wanafunzi.csv'
# Muda wa mwisho wa kusasisha
last_modified = os.path.getmtime(file_path)
print(f"Faili lilisasishwa mwisho: {time.ctime(last_modified)}")
Output (mfano):
Faili lilisasishwa mwisho: Tue Dec 3 12:45:00 2024
Tumia os.path.getatime() kupata muda wa mwisho faili lilipotumika.
import os
import time
# Jina la faili
file_path = 'wanafunzi.csv'
last_accessed = os.path.getatime(file_path)
print(f"Mara ya mwisho faili lilipotumika: {time.ctime(last_accessed)}")
Output (mfano):
Mara ya mwisho faili lilipotumika: Tue Dec 3 13:00:00 2024...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...