Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Huu ni muendelezo wa somo la operator ambapo tulisha jifunza aina moja wapo ya iperator ambazo ni arthmetic operator. Hizi tuliziona wakati tunafanya mahesabu kama kujumlisha, kutoa, kugawanya na kuzdisha. Sasa katika somo hili tutakwenda kuona aina nyingine ya operator ambayo ni comparison operator.
Comparison eperator hizi ni operator ambazo hulinganisha na huleta majibu ya kweli ama si kweli yaani True au False. Kwa mfano nikisema 1 == 1 hii ni kweli yaani moja ni sawa na moja. Kwa hiyo hapo comparison eperator ni ==
Comperative objective inaweza kutumika kwa ajili ya kulinganisha namba, object, boolean ama string. Na katika python operator hizi zimegawanyika kama:-
.
Kwa kuwa tulishajifunza baadhi ya izo alama kwenye masomo yaliopita hap nitatuma mifano micache ili kujazia maarifa.
Hii hutumika pale unapolinganisha vitu ili kujuwa kama ni sawa sawa. Kwa mfano 5 na 6. Sio sawa hivyo tukitumia alama hiyo ya == jibu litakuwa false yaani sio kweli.
print(5==6)
Hii hutumika pale unapolingalisha vitu kwa kutafuta kama sio sawa. Kama tutatumia mfano wa hapo juu jibu litakuwa true yaani kweli kuwa 6 na 5 sio sawa.
print(5!=6)
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...