PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

Huu ni muendelezo wa somo la operator ambapo tulisha jifunza aina moja wapo ya iperator ambazo ni arthmetic operator. Hizi tuliziona wakati tunafanya mahesabu kama kujumlisha, kutoa, kugawanya na kuzdisha. Sasa katika somo hili tutakwenda kuona aina nyingine ya operator ambayo ni comparison operator.

 

Comparison eperator hizi ni operator ambazo hulinganisha na huleta majibu ya kweli ama si kweli yaani True au False. Kwa mfano nikisema 1 == 1 hii ni kweli yaani moja ni sawa na moja. Kwa hiyo hapo comparison eperator ni ==

 

Comperative objective inaweza kutumika kwa ajili ya kulinganisha namba, object, boolean ama string. Na katika python operator hizi zimegawanyika kama:-

  1. == Sawa sawa
  2. !=  si sawa sawa
  3. > kubwa kuliko
  4. < ndogo kuliko
  5. >= kubwa kuliko au sawasawa
  6. <= ndogo kuliko au sawasawa.

 

 

.

Kwa kuwa tulishajifunza baadhi ya izo alama kwenye masomo yaliopita hap nitatuma mifano micache ili kujazia maarifa.

 

  1. Alama ya (==)

Hii hutumika pale unapolinganisha vitu ili kujuwa kama ni sawa sawa. Kwa mfano 5 na 6. Sio sawa hivyo tukitumia alama hiyo ya == jibu litakuwa false yaani sio kweli.

print(5==6)

 

  1. Alama ya (!= )

Hii hutumika  pale unapolingalisha vitu kwa kutafuta kama sio sawa. Kama tutatumia mfano wa hapo juu jibu litakuwa true yaani kweli kuwa 6 na 5 sio sawa.

print(5!=6)

...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 431

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input

Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop

Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...