PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Huu ni muendelezo wa somo la operator ambapo tulisha jifunza aina moja wapo ya iperator ambazo ni arthmetic operator. Hizi tuliziona wakati tunafanya mahesabu kama kujumlisha, kutoa, kugawanya na kuzdisha. Sasa katika somo hili tutakwenda kuona aina nyingine ya operator ambayo ni comparison operator.
Comparison eperator hizi ni operator ambazo hulinganisha na huleta majibu ya kweli ama si kweli yaani True au False. Kwa mfano nikisema 1 == 1 hii ni kweli yaani moja ni sawa na moja. Kwa hiyo hapo comparison eperator ni ==
Comperative objective inaweza kutumika kwa ajili ya kulinganisha namba, object, boolean ama string. Na katika python operator hizi zimegawanyika kama:-
- == Sawa sawa
- != si sawa sawa
- > kubwa kuliko
- < ndogo kuliko
- >= kubwa kuliko au sawasawa
- <= ndogo kuliko au sawasawa.
.
Kwa kuwa tulishajifunza baadhi ya izo alama kwenye masomo yaliopita hap nitatuma mifano micache ili kujazia maarifa.
- Alama ya (==)
Hii hutumika pale unapolinganisha vitu ili kujuwa kama ni sawa sawa. Kwa mfano 5 na 6. Sio sawa hivyo tukitumia alama hiyo ya == jibu litakuwa false yaani sio kweli.
print(5==6)
- Alama ya (!= )
Hii hutumika pale unapolinga...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 web hosting 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Python somo la 47: Jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Python somo 57: Matumizi ya Python shell
Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python
Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...Python somo la 34: Kutumia html kwneye python
Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili
Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...