Menu



PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

Huu ni muendelezo wa somo la operator ambapo tulisha jifunza aina moja wapo ya iperator ambazo ni arthmetic operator. Hizi tuliziona wakati tunafanya mahesabu kama kujumlisha, kutoa, kugawanya na kuzdisha. Sasa katika somo hili tutakwenda kuona aina nyingine ya operator ambayo ni comparison operator.

 

Comparison eperator hizi ni operator ambazo hulinganisha na huleta majibu ya kweli ama si kweli yaani True au False. Kwa mfano nikisema 1 == 1 hii ni kweli yaani moja ni sawa na moja. Kwa hiyo hapo comparison eperator ni ==

 

Comperative objective inaweza kutumika kwa ajili ya kulinganisha namba, object, boolean ama string. Na katika python operator hizi zimegawanyika kama:-

  1. == Sawa sawa
  2. !=  si sawa sawa
  3. > kubwa kuliko
  4. < ndogo kuliko
  5. >= kubwa kuliko au sawasawa
  6. <= ndogo kuliko au sawasawa.

 

 

.

Kwa kuwa tulishajifunza baadhi ya izo alama kwenye masomo yaliopita hap nitatuma mifano micache ili kujazia maarifa.

 

  1. Alama ya (==)

Hii hutumika pale unapolinganisha vitu ili kujuwa kama ni sawa sawa. Kwa mfano 5 na 6. Sio sawa hivyo tukitumia alama hiyo ya == jibu litakuwa false yaani sio kweli.

print(5==6)

 

  1. Alama ya (!= )

Hii hutumika  pale unapolingalisha vitu kwa kutafuta kama sio sawa. Kama tutatumia mfano wa hapo juu jibu litakuwa true yaani kweli kuwa 6 na 5 sio sawa.

print(5!=6)

...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 397

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop

Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
Python somo la 27: polymorphism kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.

Soma Zaidi...