Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Django Admin ni moja ya vipengele vinavyopendwa sana kwenye Django kwa sababu inakuja tayari ikiwa imejengwa. Lakini ili iwe na mwonekano mzuri na iwe rahisi kutumia, mara nyingi tunahitaji kuiboresha kidogo. Somo hili litakuonyesha hatua muhimu unazohitaji ili kufanya admin yako iwe ya kitaalamu zaidi.
Faili unayohariri ni:
pybongo/pybongo/admin.py
(au menu/admin.py kulingana na mahali unapenda kuandika configuration)
Huu ndio msimbo unaobadili maandishi ya juu (header), title ya browser, na title ya dashboard:
from django.contrib import admin
admin.site.site_header = "Bongoclass Admin Panel"
admin.site.site_title = "Bongoclass Control"
admin.site.index_title = "Karibu kwenye Dashboard la Bongoclass"
Maelezo muhimu:
site_header — maandishi ya juu kabisa kwenye admin.
site_title — jina linaloonekana kwenye tab ya browser.
index_title — jina linaloonekana juu ya ukurasa mkuu wa admin.
Wakati unapoingia kwenye model kama MenuIt">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya hashing na encryption Jinsi ya kufunga packages muhimu Jinsi ya kufanya hashing kwa maneno ya kawaida (mfano βbongoclassβ) Jinsi ya kufanya encryption na decrypt kutumia Fernet Jinsi Django inahash password kupitia User model Mazoezi ya vitendo
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...