Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Django Admin ni moja ya vipengele vinavyopendwa sana kwenye Django kwa sababu inakuja tayari ikiwa imejengwa. Lakini ili iwe na mwonekano mzuri na iwe rahisi kutumia, mara nyingi tunahitaji kuiboresha kidogo. Somo hili litakuonyesha hatua muhimu unazohitaji ili kufanya admin yako iwe ya kitaalamu zaidi.
Faili unayohariri ni:
pybongo/pybongo/admin.py
(au menu/admin.py kulingana na mahali unapenda kuandika configuration)
Huu ndio msimbo unaobadili maandishi ya juu (header), title ya browser, na title ya dashboard:
from django.contrib import admin
admin.site.site_header = "Bongoclass Admin Panel"
admin.site.site_title = "Bongoclass Control"
admin.site.index_title = "Karibu kwenye Dashboard la Bongoclass"
Maelezo muhimu:
site_header — maandishi ya juu kabisa kwenye admin.
site_title — jina linaloonekana kwenye tab ya browser.
index_title — jina linaloonekana juu ya ukurasa mkuu wa admin.
Wakati unapoingia kwenye model kama MenuIt">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuunda dashboard rahisi ndani ya Django ambayo itaruhusu mtumiaji kuongeza, kusoma, kuhariri na kufuta taarifa za MenuItem bila kutumia Django built-in admin, bali kwa kutumia HTML templates na views tulizotengeneza sisi wenyewe.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...