picha

Python somo la 58: Jinsi ya Kuboresha Django Admin

Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)

Utangulizi

Django Admin ni moja ya vipengele vinavyopendwa sana kwenye Django kwa sababu inakuja tayari ikiwa imejengwa. Lakini ili iwe na mwonekano mzuri na iwe rahisi kutumia, mara nyingi tunahitaji kuiboresha kidogo. Somo hili litakuonyesha hatua muhimu unazohitaji ili kufanya admin yako iwe ya kitaalamu zaidi.

 


1. Jinsi ya kubadili header ya Django Admin

Faili unayohariri ni:
pybongo/pybongo/admin.py
(au menu/admin.py kulingana na mahali unapenda kuandika configuration)

Huu ndio msimbo unaobadili maandishi ya juu (header), title ya browser, na title ya dashboard:

from django.contrib import admin

admin.site.site_header = "Bongoclass Admin Panel"
admin.site.site_title = "Bongoclass Control"
admin.site.index_title = "Karibu kwenye Dashboard la Bongoclass"

Maelezo muhimu:


2. Jinsi ya kuongeza columns kwenye admin list

Wakati unapoingia kwenye model kama MenuItem, Django huonyesha baadhi ya columns za default.
Lakini unaweza kuongeza zak...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-11-25 10:38:06 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 1007

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 53: Kutengeneza HTML Form na Django View kwa ajili ya kuingiza data

Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.

Soma Zaidi...
Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...