Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Django Admin ni moja ya vipengele vinavyopendwa sana kwenye Django kwa sababu inakuja tayari ikiwa imejengwa. Lakini ili iwe na mwonekano mzuri na iwe rahisi kutumia, mara nyingi tunahitaji kuiboresha kidogo. Somo hili litakuonyesha hatua muhimu unazohitaji ili kufanya admin yako iwe ya kitaalamu zaidi.
Faili unayohariri ni:
pybongo/pybongo/admin.py
(au menu/admin.py kulingana na mahali unapenda kuandika configuration)
Huu ndio msimbo unaobadili maandishi ya juu (header), title ya browser, na title ya dashboard:
from django.contrib import admin
admin.site.site_header = "Bongoclass Admin Panel"
admin.site.site_title = "Bongoclass Control"
admin.site.index_title = "Karibu kwenye Dashboard la Bongoclass"
Maelezo muhimu:
site_header — maandishi ya juu kabisa kwenye admin.
site_title — jina linaloonekana kwenye tab ya browser.
index_title — jina linaloonekana juu ya ukurasa mkuu wa admin.
Wakati unapoingia kwenye model kama MenuIt">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...