Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Leo tutaendelea na mchakato wa kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem kwa kutengeneza HTML form pamoja na view ya kushughulikia data kutoka kwenye fomu hiyo.
Badala ya kuandika HTML form manually, Django hutupatia “Form class” ambayo ni salama, rahisi, na ina-validations.
➡️ Unda faili forms.py ndani ya app yako:
forms.py
from django import forms
from .models import MenuItem
class MenuItemForm(forms.ModelForm):
class Meta:
model = MenuItem
fields = ['jina', 'maelezo', 'muda_upatikanaji', 'bei']
Hii Form class ndiyo itatusaidia kutengeneza HTML form moja kwa moja.
Unda view ambayo itaonyesha form na pia kupokea data kutoka kwa user.
views.py
from django.shortcuts import render, redirect
from .forms import MenuItemForm
def ongeza_menu_item(request):
if request.method == 'POST':
form = MenuItemForm(request.POST)
if form.is_valid():
form.save()
return redirect('menu_success')
else:
form = MenuItemForm()
return render(request, 'ongeza_menu.html', {'form': form})
Maelezo muhimu:
GET → onyesha form
POST → ipokee, ithibitishe, ihifadhi kwa database
form.save() → huingiza data moja kwa moja
Fungua urls.py ya app yako:
from django.urls import path
from . import views
urlpatterns = [
path('ongeza/', views.ongeza_menu_item, name='ongeza_menu'),
path('success/', views.menu_success, name='menu_success'),
]
Kisha tengeneza success view:
def menu_success(request):
return render(request, 'success.html')
Unda faili ongeza_menu.html ndani ya folder templates/:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Ongeza Menu Item</title>
</head>
<body>
<h2>Ongeza Bidhaa Mpya</h2>
<form method="POST">
{% csrf_token %}
{{ form.as_p }}
<button type="submit">Hifadhi</button>
</form>
</body>
</html>
{{ form.as_p }} ina-generate HTML form full kwa kutumia Django Form class tuliyotenge">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuunda dashboard rahisi ndani ya Django ambayo itaruhusu mtumiaji kuongeza, kusoma, kuhariri na kufuta taarifa za MenuItem bila kutumia Django built-in admin, bali kwa kutumia HTML templates na views tulizotengeneza sisi wenyewe.
Soma Zaidi...