Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Leo tutaendelea na mchakato wa kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem kwa kutengeneza HTML form pamoja na view ya kushughulikia data kutoka kwenye fomu hiyo.
Badala ya kuandika HTML form manually, Django hutupatia “Form class” ambayo ni salama, rahisi, na ina-validations.
➡️ Unda faili forms.py ndani ya app yako:
forms.py
from django import forms
from .models import MenuItem
class MenuItemForm(forms.ModelForm):
class Meta:
model = MenuItem
fields = ['jina', 'maelezo', 'muda_upatikanaji', 'bei']
Hii Form class ndiyo itatusaidia kutengeneza HTML form moja kwa moja.
Unda view ambayo itaonyesha form na pia kupokea data kutoka kwa user.
views.py
from django.shortcuts import render, redirect
from .forms import MenuItemForm
def ongeza_menu_item(request):
if request.method == 'POST':
form = MenuItemForm(request.POST)
if form.is_valid():
form.save()
return redirect('menu_success')
else:
form = MenuItemForm()
return render(request, 'ongeza_menu.html', {'form': form})
Maelezo muhimu:
GET → onyesha form
POST → ipokee, ithibitishe, ihifadhi kwa database
form.save() → huingiza data moja kwa moja
Fungua urls.py ya app yako:
from django.urls import path
from . import views
urlpatterns = [
path('ongeza/', views.ongeza_menu_item, name='ongeza_menu'),
path('success/', views.menu_success, name='menu_success'),
]
Kisha tengeneza success view:
def menu_success(request):
return render(request, 'success.html')
Unda faili ongeza_menu.html ndani ya folder templates/:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Ongeza Menu Item</title>
</head>
<body>
<h2>Ongeza Bidhaa Mpya</h2>
<form method="POST">
{% csrf_token %}
{{ form.as_p }}
<button type="submit">Hifadhi</button>
</form>
</body>
</html>
{{ form.as_p }} ina-generate HTML form full kwa kutumia Django Form class tuliyotenge">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...