Katika somo hili utakwend
JSON (JavaScript Object Notation) ni muundo wa kubadilishana data ambao ni rahisi kusoma na kuandika kwa wanadamu na mashine. Python inatoa msaada wa ndani kupitia moduli ya json.
Kufahamu jinsi ya kusoma (decode/deserialization) na kuandika (encode/serialization) data ya JSON kwenye Python.
Kuelewa jinsi ya kufanya kazi na faili za JSON.
Kujifunza matumizi ya kawaida kwenye moduli ya json.
import json
# Data ya Python
data = {
"name": "Amina",
"age": 25,
"skills": ["Python", "SQL", "Machine Learning"]
}
# Kubadilisha data ya Python kuwa JSON
json_data = json.dumps(data, indent=4)
print(json_data)
json.dumps(data): Huchukua data ya Python (kamusi, orodha, n.k.) na kuibadilisha kuwa JSON.
indent=4:Inapanga JSON kwa muundo rahisi kusomeka.
import json
# JSON kama kamba
json_string = '''
{
"name": "Amina",
"age": 25,
"skills": ["Python", "SQL", "Machine Learning"]
}
'''
# Kubadilisha JSON kuwa data ya Python
data = json.loads(json_string)
print(data)
print(f"Name: {data['name']}, Age: {data['age']}")
json.loads(json_string): Huchukua string ya JSON na kuibadilisha kuwa data ya Python (mfano: kamusi au orodha).
Import json
# Data ya Python
data = {
"name": "Amina",
"age": 25,
"skills": ["Python", "SQL", "Machine Learning"]
}
# Kuandika JSON kwenye faili
with open("data.json", "w") as file:
json.dump(data, file, indent=4)
print("JSON imeandikwa kwenye faili 'data.json'")
json.dump(data, file): Huandika data ya Python moja kwa moja kwenye faili kama JSON.
indent=4: Inapanga data kwa mpangilio rahisi kusomeka.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Soma Zaidi...