Katika somo hili utakwend
JSON (JavaScript Object Notation) ni muundo wa kubadilishana data ambao ni rahisi kusoma na kuandika kwa wanadamu na mashine. Python inatoa msaada wa ndani kupitia moduli ya json.
Kufahamu jinsi ya kusoma (decode/deserialization) na kuandika (encode/serialization) data ya JSON kwenye Python.
Kuelewa jinsi ya kufanya kazi na faili za JSON.
Kujifunza matumizi ya kawaida kwenye moduli ya json.
import json
# Data ya Python
data = {
"name": "Amina",
"age": 25,
"skills": ["Python", "SQL", "Machine Learning"]
}
# Kubadilisha data ya Python kuwa JSON
json_data = json.dumps(data, indent=4)
print(json_data)
json.dumps(data): Huchukua data ya Python (kamusi, orodha, n.k.) na kuibadilisha kuwa JSON.
indent=4:Inapanga JSON kwa muundo rahisi kusomeka.
import json
# JSON kama kamba
json_string = '''
{
"name": "Amina",
"age": 25,
"skills": ["Python", "SQL", "Machine Learning"]
}
'''
# Kubadilisha JSON kuwa data ya Python
data = json.loads(json_string)
print(data)
print(f"Name: {data['name']}, Age: {data['age']}")
json.loads(json_string): Huchukua string ya JSON na kuibadilisha kuwa data ya Python (mfano: kamusi au orodha).
Import json
# Data ya Python
data = {
"name": "Amina",
"age": 25,
"skills": ["Python", "SQL", "Machine Learning"]
}
# Kuandika JSON kwenye faili
with open("data.json", "w") as file:
json.dump(data, file, indent=4)
print("JSON imeandikwa kwenye faili 'data.json'")
json.dump(data, file): Huandika data ya Python moja kwa moja kwenye faili kama JSON.
indent=4: Inapanga data kwa mpangilio rahisi kusomeka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...