Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Katika ujenzi wa tovuti kwa kutumia Django, ni muhimu kuhakikisha kuwa kurasa zako zina muundo thabiti unaojirudia kama vile menyu ya urambazaji (navigation menu), kichwa cha ukurasa, na maelezo ya ukurasa (metadata). Hii inafanya tovuti iwe rahisi kudhibiti, kupendeza, na kuwa na athari chanya katika mitambo ya utafutaji (SEO).
Katika somo hili, tutajifunza:
Jinsi ya kutumia template inheritance kwa kutumia faili base.html
Kuunda navigation menu inayotumika kwenye kurasa zote
Kuweka CSS ya nje kwa kutumia {% load static %}
Kuongeza metadata ya description kwa kutumia {% block description %}
Tuendelee na app yetu iitwayo menu ndani ya project Pybongo. Tunayo views mbalimbali kama home, about, contact, na blog.
Template tags katika Django.
Zinatumika ndani ya mafaili ya HTML (template files) kwa ajili ya kuendesha logic ndogo ndogo kwenye upande wa frontend. Django ana mfumo wake wa template language ambao una tags nyingi zaidi.
{% extends "base.html" %}
➤ Inatumiwa kurithi template nyingine (template inheritance).
➤ Mfano: Kurasa zote za ndani zinarithi kutoka base.html.
{% block content %}{% endblock %}
➤ Inatumiwa kufafanua sehemu ambayo template za ndani zinaweza kujaza maudhui.
➤ Kila block hupewa jina kama content, title, description, nk.
{% load static %}
➤ Inaruhusu kutumia mafaili kutoka kwenye folder la static, kama vile CSS, JS, picha, n.k.
{% include "file.html" %}
➤ Inatumika kuingiza sehemu ndogo ya template (fragment) ndani ya template nyingine.
➤ Mfano: {% include "menu/navbar.html" %}
Katika folder templates/menu/, tengeneza au badilisha base.html kama ifuatavyo:
{% load static %}
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<title>{% block title %}Pybongo{% endblock %}</title>
<meta name="description" content="{% block de">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...