Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Katika mfano huu, tutajifunza jinsi ya kusoma faili lenye data, kama faili la CSV lililotengenezwa hapo awali. Faili hili lina majina ya wanafunzi na namba zao za simu. Tutafuata hatua zifuatazo:
Faili tunalotaka kusoma lina muundo huu baada ya kuundwa:
Jina,Namba ya Simu
Musa,0712345678
Rehema,0789123456
Upendo,0756789123
Tunatumia open() na mode ya r (read mode) ili kufungua faili kwa kusoma data.
read(): Husoma data yote kama mnyororo wa maandishi.
readlines(): Husoma data yote kama orodha ya mistari.
for loop: Inatumika kusoma mstari mmoja mmoja kutoka faili.
Hii ni njia rahisi ya kusoma data yote kwa wakati mmoja.
with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:
data = file.read() # Soma faili lote kama mnyororo wa maandishi
print("Yaliyomo kwenye faili ni:")
print(data)
Output:
Yaliyomo kwenye faili ni:
Jina,Namba ya Simu
Musa,0712345678
Rehema,0789123456
Upendo,0756789123
Method readlines() inarudisha orodha ya mistari.
with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:
lines = file.readlines() # Soma mistari yote kama orodha
print("Mistari ya faili ni:")
print(lines)
Output:
">...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...