Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Jinsi ya Kusoma Faili Lenye Data kwa Python

Katika mfano huu, tutajifunza jinsi ya kusoma faili lenye data, kama faili la CSV lililotengenezwa hapo awali. Faili hili lina majina ya wanafunzi na namba zao za simu. Tutafuata hatua zifuatazo:

 


 

1. Kuelewa Faili Tunayotaka Kusoma

Faili tunalotaka kusoma lina muundo huu baada ya kuundwa:

 

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

2. Fungua Faili kwa Mode ya Kusoma

Tunatumia open() na mode ya r (read mode) ili kufungua faili kwa kusoma data.

3. Soma Yaliyomo

 


 

Mfano wa Hatua kwa Hatua

Hatua ya 1: Kusoma Yaliyomo Yote (Method read())

Hii ni njia rahisi ya kusoma data yote kwa wakati mmoja.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    data = file.read()  # Soma faili lote kama mnyororo wa maandishi

    print("Yaliyomo kwenye faili ni:")

    print(data)

 

Output:

Yaliyomo kwenye faili ni:

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

 


 

Hatua ya 2: Kusoma Mistari Moja Moja (Method readlines())

Method readlines() inarudisha orodha ya mistari.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    lines = file.readlines()  # Soma mistari yote kama orodha

    print("Mistari ya faili ni:")

    print(lines)

 

Output:

 

Mistari ya faili ni:

['Jina,Namba ya Simu\n', 'Musa,0712345678\n', 'Rehema,0789...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu Rajabu
Tarehe: 2024-12-04 11:59:07 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views: 1232

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 ai web app     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input

Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python

Soma Zaidi...