Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Katika mfano huu, tutajifunza jinsi ya kusoma faili lenye data, kama faili la CSV lililotengenezwa hapo awali. Faili hili lina majina ya wanafunzi na namba zao za simu. Tutafuata hatua zifuatazo:
Faili tunalotaka kusoma lina muundo huu baada ya kuundwa:
Jina,Namba ya Simu
Musa,0712345678
Rehema,0789123456
Upendo,0756789123
Tunatumia open() na mode ya r (read mode) ili kufungua faili kwa kusoma data.
read(): Husoma data yote kama mnyororo wa maandishi.
readlines(): Husoma data yote kama orodha ya mistari.
for loop: Inatumika kusoma mstari mmoja mmoja kutoka faili.
Hii ni njia rahisi ya kusoma data yote kwa wakati mmoja.
with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:
data = file.read() # Soma faili lote kama mnyororo wa maandishi
print("Yaliyomo kwenye faili ni:")
print(data)
Output:
Yaliyomo kwenye faili ni:
Jina,Namba ya Simu
Musa,0712345678
Rehema,0789123456
Upendo,0756789123
Method readlines()
inarudisha orodha ya mistari.
with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:
lines = file.readlines() # Soma mistari yote kama orodha
print("Mistari ya faili ni:")
print(lines)
Output:
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...