Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili
Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Jinsi ya Kusoma Faili Lenye Data kwa Python
Katika mfano huu, tutajifunza jinsi ya kusoma faili lenye data, kama faili la CSV lililotengenezwa hapo awali. Faili hili lina majina ya wanafunzi na namba zao za simu. Tutafuata hatua zifuatazo:
1. Kuelewa Faili Tunayotaka Kusoma
Faili tunalotaka kusoma lina muundo huu baada ya kuundwa:
Jina,Namba ya Simu
Musa,0712345678
Rehema,0789123456
Upendo,0756789123
2. Fungua Faili kwa Mode ya Kusoma
Tunatumia open() na mode ya r (read mode) ili kufungua faili kwa kusoma data.
3. Soma Yaliyomo
-
read(): Husoma data yote kama mnyororo wa maandishi.
-
readlines(): Husoma data yote kama orodha ya mistari.
-
for loop: Inatumika kusoma mstari mmoja mmoja kutoka faili.
Mfano wa Hatua kwa Hatua
Hatua ya 1: Kusoma Yaliyomo Yote (Method read())
Hii ni njia rahisi ya kusoma data yote kwa wakati mmoja.
with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:
data = file.read() # Soma faili lote kama mnyororo wa maandishi
print("Yaliyomo kwenye faili ni:")
print(data)
Output:
Yaliyomo kwenye faili ni:
Jina,Namba ya Simu
Musa,0712345678
Rehema,0789123456
Upendo,0756789123
Hatua ya 2: Kusoma Mistari Moja Moja (Method readlines())
Method readlines() inarudisha orodha ya mistari.
with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:
lines = file.readlines() # Soma mistari yote kama orodha
print("Mistari ya faili ni:")
print(lines)
Output:
Mistari ya faili ni:
['Jina,Namba ya Simu\n', 'Musa,0712345678\n', 'Rehema,0789...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Python somo la 53: Kutengeneza HTML Form na Django View kwa ajili ya kuingiza data
Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Python somo la 61: Jinsi ya kutuma email kwenye django
Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.
Soma Zaidi...Python somo la 29: Encaosulation kwneye python
Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Python somo la 52: Kutengeneza table na kufanya Migrations Katika Django
Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...