picha

Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Jinsi ya Kusoma Faili Lenye Data kwa Python

Katika mfano huu, tutajifunza jinsi ya kusoma faili lenye data, kama faili la CSV lililotengenezwa hapo awali. Faili hili lina majina ya wanafunzi na namba zao za simu. Tutafuata hatua zifuatazo:

 


 

1. Kuelewa Faili Tunayotaka Kusoma

Faili tunalotaka kusoma lina muundo huu baada ya kuundwa:

 

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

2. Fungua Faili kwa Mode ya Kusoma

Tunatumia open() na mode ya r (read mode) ili kufungua faili kwa kusoma data.

3. Soma Yaliyomo

 


 

Mfano wa Hatua kwa Hatua

Hatua ya 1: Kusoma Yaliyomo Yote (Method read())

Hii ni njia rahisi ya kusoma data yote kwa wakati mmoja.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    data = file.read()  # Soma faili lote kama mnyororo wa maandishi

    print("Yaliyomo kwenye faili ni:")

    print(data)

 

Output:

Yaliyomo kwenye faili ni:

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

 


 

Hatua ya 2: Kusoma Mistari Moja Moja (Method readlines())

Method readlines() inarudisha orodha ya mistari.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    lines = file.readlines()  # Soma mistari yote kama orodha

    print("Mistari ya faili ni:")

    print(lines)

 

Output:

 

Mistari ya faili ni:

['Jina,Namba ya Simu\n', 'Musa,0712345678\n', 'Rehema,0789...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-04 11:59:07 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 1203

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 53: Kutengeneza HTML Form na Django View kwa ajili ya kuingiza data

Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.

Soma Zaidi...
Python somo la 61: Jinsi ya kutuma email kwenye django

Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.

Soma Zaidi...
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
Python somo la 52: Kutengeneza table na kufanya Migrations Katika Django

Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).

Soma Zaidi...