picha

Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Jinsi ya Kusoma Faili Lenye Data kwa Python

Katika mfano huu, tutajifunza jinsi ya kusoma faili lenye data, kama faili la CSV lililotengenezwa hapo awali. Faili hili lina majina ya wanafunzi na namba zao za simu. Tutafuata hatua zifuatazo:

 


 

1. Kuelewa Faili Tunayotaka Kusoma

Faili tunalotaka kusoma lina muundo huu baada ya kuundwa:

 

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

2. Fungua Faili kwa Mode ya Kusoma

Tunatumia open() na mode ya r (read mode) ili kufungua faili kwa kusoma data.

3. Soma Yaliyomo

 


 

Mfano wa Hatua kwa Hatua

Hatua ya 1: Kusoma Yaliyomo Yote (Method read())

Hii ni njia rahisi ya kusoma data yote kwa wakati mmoja.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    data = file.read()  # Soma faili lote kama mnyororo wa maandishi

    print("Yaliyomo kwenye faili ni:")

    print(data)

 

Output:

Yaliyomo kwenye faili ni:

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

 


 

Hatua ya 2: Kusoma Mistari Moja Moja (Method readlines())

Method readlines() inarudisha orodha ya mistari.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    lines = file.readlines()  # Soma mistari yote kama orodha

    print("Mistari ya faili ni:")

    print(lines)

 

Output:

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-04 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 939

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰3 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰4 ai web app    ๐Ÿ‘‰5 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰6 web hosting   

Post zinazofanana:

Python somo la 56: Kuongeza Data Katika Database kwa Kutumia Django Admin na Django Shell

Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.

Soma Zaidi...
Python somo la 21: Module katika python

Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile

Soma Zaidi...
Python somo la 60: Hashing na Encryption kwenye Django

Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya hashing na encryption Jinsi ya kufunga packages muhimu Jinsi ya kufanya hashing kwa maneno ya kawaida (mfano โ€œbongoclassโ€) Jinsi ya kufanya encryption na decrypt kutumia Fernet Jinsi Django inahash password kupitia User model Mazoezi ya vitendo

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data

Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.

Soma Zaidi...
Python somo la 23: Library kwenye python

Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

Soma Zaidi...
Python somo la 59: Kufanya Mahesabu (Aggregations) Katika Django

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza โ€œdifferenceโ€ kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika.

Soma Zaidi...
Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Soma Zaidi...
Python somo la 30: Data abstraction

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...