picha

Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Jinsi ya Kusoma Faili Lenye Data kwa Python

Katika mfano huu, tutajifunza jinsi ya kusoma faili lenye data, kama faili la CSV lililotengenezwa hapo awali. Faili hili lina majina ya wanafunzi na namba zao za simu. Tutafuata hatua zifuatazo:

 


 

1. Kuelewa Faili Tunayotaka Kusoma

Faili tunalotaka kusoma lina muundo huu baada ya kuundwa:

 

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

2. Fungua Faili kwa Mode ya Kusoma

Tunatumia open() na mode ya r (read mode) ili kufungua faili kwa kusoma data.

3. Soma Yaliyomo

 


 

Mfano wa Hatua kwa Hatua

Hatua ya 1: Kusoma Yaliyomo Yote (Method read())

Hii ni njia rahisi ya kusoma data yote kwa wakati mmoja.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    data = file.read()  # Soma faili lote kama mnyororo wa maandishi

    print("Yaliyomo kwenye faili ni:")

    print(data)

 

Output:

Yaliyomo kwenye faili ni:

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

 


 

Hatua ya 2: Kusoma Mistari Moja Moja (Method readlines())

Method readlines() inarudisha orodha ya mistari.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    lines = file.readlines()  # Soma mistari yote kama orodha

    print("Mistari ya faili ni:")

    print(lines)

 

Output:

 

Mistari ya faili ni:

['Jina,Namba ya Simu\n', 'Musa,0712345678\n', 'Rehema,0789...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-04 11:59:07 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 1044

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 web hosting     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
Python somo la 56: Kuongeza Data Katika Database kwa Kutumia Django Admin na Django Shell

Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python

Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

Soma Zaidi...
Python somo la 27: polymorphism kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...