Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Jinsi ya Kusoma Faili Lenye Data kwa Python

Katika mfano huu, tutajifunza jinsi ya kusoma faili lenye data, kama faili la CSV lililotengenezwa hapo awali. Faili hili lina majina ya wanafunzi na namba zao za simu. Tutafuata hatua zifuatazo:

 


 

1. Kuelewa Faili Tunayotaka Kusoma

Faili tunalotaka kusoma lina muundo huu baada ya kuundwa:

 

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

2. Fungua Faili kwa Mode ya Kusoma

Tunatumia open() na mode ya r (read mode) ili kufungua faili kwa kusoma data.

3. Soma Yaliyomo

 


 

Mfano wa Hatua kwa Hatua

Hatua ya 1: Kusoma Yaliyomo Yote (Method read())

Hii ni njia rahisi ya kusoma data yote kwa wakati mmoja.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    data = file.read()  # Soma faili lote kama mnyororo wa maandishi

    print("Yaliyomo kwenye faili ni:")

    print(data)

 

Output:

Yaliyomo kwenye faili ni:

Jina,Namba ya Simu

Musa,0712345678

Rehema,0789123456

Upendo,0756789123

 

 


 

Hatua ya 2: Kusoma Mistari Moja Moja (Method readlines())

Method readlines() inarudisha orodha ya mistari.

with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:

    lines = file.readlines()  # Soma mistari yote kama orodha

    print("Mistari ya faili ni:")

    print(lines)

 

Output:

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 642

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
Python somo la 30: Data abstraction

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input

Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop

Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 48: Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

Soma Zaidi...
Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.

Soma Zaidi...