Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Katika mfano huu, tutajifunza jinsi ya kusoma faili lenye data, kama faili la CSV lililotengenezwa hapo awali. Faili hili lina majina ya wanafunzi na namba zao za simu. Tutafuata hatua zifuatazo:
Faili tunalotaka kusoma lina muundo huu baada ya kuundwa:
Jina,Namba ya Simu
Musa,0712345678
Rehema,0789123456
Upendo,0756789123
Tunatumia open() na mode ya r (read mode) ili kufungua faili kwa kusoma data.
read(): Husoma data yote kama mnyororo wa maandishi.
readlines(): Husoma data yote kama orodha ya mistari.
for loop: Inatumika kusoma mstari mmoja mmoja kutoka faili.
Hii ni njia rahisi ya kusoma data yote kwa wakati mmoja.
with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:
data = file.read() # Soma faili lote kama mnyororo wa maandishi
print("Yaliyomo kwenye faili ni:")
print(data)
Output:
Yaliyomo kwenye faili ni:
Jina,Namba ya Simu
Musa,0712345678
Rehema,0789123456
Upendo,0756789123
Method readlines()
inarudisha orodha ya mistari.
with open('wanafunzi.csv', 'r') as file:
lines = file.readlines() # Soma mistari yote kama orodha
print("Mistari ya faili ni:")
print(lines)
Output:
">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int. Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string. Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python. Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake. Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Bongolite - Game zone - Play free game
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg
Python somo la 19: Aina za Function
Python somo la 39: Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django
Python somo la 42: Template tag
Python somo la 23: Library kwenye python
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
Python somo la 47: Jinsi ya kupokea na kuchakata fomu