Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kutumia Python kuunda seva rahisi ya HTTP ambayo inaweza kutumikia faili za HTML. Hii ni njia bora ya kujifunza jinsi Python inavyoweza kuwasiliana na vivinjari vya wavuti kwa kutumia zana zilizojengwa ndani (built-in modules).
Tutatumia moduli mbili kuu za Python:
http.server: Hutumika kuunda seva za HTTP kwa maombi ya wavuti.socketserver: Inasaidia kushughulikia mawasiliano ya soketi kwa seva.Hapa kuna msimbo wa seva rahisi ya Python:
import http.server
import socketserver
PORT = 8000 # Port ambapo seva itapatikana
class MyHandler(http.server.SimpleHTTPRequestHandler):
pass
# Kuanza seva
with socketserver.TCPServer(("", PORT), MyHandler) as httpd:
print(f"Serving at http://localhost:{PORT}")
httpd.serve_forever()
import http.serverSimpleHTTPRequestHandler, ambayo husaidia kushughulikia maombi ya msingi kama kutumikia faili za HTML.import socketserverhttp.server kuhakikisha maombi ya HTTP yanashughulikiwa kwa usahihi.PORT = 8000class MyHandler(http.server.SimpleHTTPRequestHandler)Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza βdifferenceβ kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...