Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kutumia Python kuunda seva rahisi ya HTTP ambayo inaweza kutumikia faili za HTML. Hii ni njia bora ya kujifunza jinsi Python inavyoweza kuwasiliana na vivinjari vya wavuti kwa kutumia zana zilizojengwa ndani (built-in modules).
Tutatumia moduli mbili kuu za Python:
http.server: Hutumika kuunda seva za HTTP kwa maombi ya wavuti.socketserver: Inasaidia kushughulikia mawasiliano ya soketi kwa seva.Hapa kuna msimbo wa seva rahisi ya Python:
import http.server
import socketserver
PORT = 8000 # Port ambapo seva itapatikana
class MyHandler(http.server.SimpleHTTPRequestHandler):
pass
# Kuanza seva
with socketserver.TCPServer(("", PORT), MyHandler) as httpd:
print(f"Serving at http://localhost:{PORT}")
httpd.serve_forever()
import http.serverSimpleHTTPRequestHandler, ambayo husaidia kushughulikia maombi ya msingi kama kutumikia faili za HTML.import socketserverhttp.server kuhakikisha maombi ya HTTP yanashughulikiwa kwa usahihi.PORT = 8000class MyHandler(http.server.SimpleHTTPRequestHandler)Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya hashing na encryption Jinsi ya kufunga packages muhimu Jinsi ya kufanya hashing kwa maneno ya kawaida (mfano βbongoclassβ) Jinsi ya kufanya encryption na decrypt kutumia Fernet Jinsi Django inahash password kupitia User model Mazoezi ya vitendo
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...