Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kutumia Python kuunda seva rahisi ya HTTP ambayo inaweza kutumikia faili za HTML. Hii ni njia bora ya kujifunza jinsi Python inavyoweza kuwasiliana na vivinjari vya wavuti kwa kutumia zana zilizojengwa ndani (built-in modules).
Tutatumia moduli mbili kuu za Python:
http.server: Hutumika kuunda seva za HTTP kwa maombi ya wavuti.socketserver: Inasaidia kushughulikia mawasiliano ya soketi kwa seva.Hapa kuna msimbo wa seva rahisi ya Python:
import http.server
import socketserver
PORT = 8000 # Port ambapo seva itapatikana
class MyHandler(http.server.SimpleHTTPRequestHandler):
pass
# Kuanza seva
with socketserver.TCPServer(("", PORT), MyHandler) as httpd:
print(f"Serving at http://localhost:{PORT}")
httpd.serve_forever()
import http.serverSimpleHTTPRequestHandler, ambayo husaidia kushughulikia maombi ya msingi kama kutumikia faili za HTML.import socketserverhttp.server kuhakikisha maombi ya HTTP yanashughulikiwa kwa usahihi.PORT = 8000class MyHandler(http.server.SimpleHTTPRequestHandler)Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya hashing na encryption Jinsi ya kufunga packages muhimu Jinsi ya kufanya hashing kwa maneno ya kawaida (mfano βbongoclassβ) Jinsi ya kufanya encryption na decrypt kutumia Fernet Jinsi Django inahash password kupitia User model Mazoezi ya vitendo
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...