Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kutumia Python kuunda seva rahisi ya HTTP ambayo inaweza kutumikia faili za HTML. Hii ni njia bora ya kujifunza jinsi Python inavyoweza kuwasiliana na vivinjari vya wavuti kwa kutumia zana zilizojengwa ndani (built-in modules).
Tutatumia moduli mbili kuu za Python:
http.server
: Hutumika kuunda seva za HTTP kwa maombi ya wavuti.socketserver
: Inasaidia kushughulikia mawasiliano ya soketi kwa seva.Hapa kuna msimbo wa seva rahisi ya Python:
import http.server
import socketserver
PORT = 8000 # Port ambapo seva itapatikana
class MyHandler(http.server.SimpleHTTPRequestHandler):
pass
# Kuanza seva
with socketserver.TCPServer(("", PORT), MyHandler) as httpd:
print(f"Serving at http://localhost:{PORT}")
httpd.serve_forever()
import http.server
SimpleHTTPRequestHandler
, ambayo husaidia kushughulikia maombi ya msingi kama kutumikia faili za HTML.import socketserver
http.server
kuhakikisha maombi ya HTTP yanashughulikiwa kwa usahihi.PORT = 8000
class MyHandler(http.server.SimpleHTTPRequestHandler)
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Soma Zaidi...