picha

Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Kutumia MySQL Kwenye Python

Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).


Moduli ya mysql

Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run  pip install mysql-connector-python

 


Hatua kwa Hatua

1. Kuunganishwa na MySQL

Msimbo wa Kuunganisha
import mysql.connector

# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
    host="localhost",  # Seva ya MySQL
    user="root",       # Jina la mtumiaji wa MySQL
    password="",       # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
    database="my_database"  # Jina la hifadhidata
)

if conn.is_connected():
    print("Connection successful!")
Maelezo ya Kipengele

2. Kuunda Jedwali

Msimbo wa Kuunda Jedwali
cursor = conn.cursor()  # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
    id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
    name VARCHAR(100),
    age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
Maelezo ya Kipengele

3. Kuingiza Data

Msimbo wa Kuingiza Data
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)

cursor.execute(query, data)
conn.commit()  # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
Maelezo ya Kipengele
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-21 19:27:59 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 783

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 web hosting     👉4 ai web app     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Python somo la 38: Kubadilisha landing page ya Django Framework

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.

Soma Zaidi...
Python somo la 28: inheritance kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.

Soma Zaidi...
Python seomo la 55: Kutengeneza Simple Admin Dashboard ya CRUD

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuunda dashboard rahisi ndani ya Django ambayo itaruhusu mtumiaji kuongeza, kusoma, kuhariri na kufuta taarifa za MenuItem bila kutumia Django built-in admin, bali kwa kutumia HTML templates na views tulizotengeneza sisi wenyewe.

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...
Python somo la 61: Jinsi ya kutuma email kwenye django

Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.

Soma Zaidi...
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

Soma Zaidi...