picha

Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Kutumia MySQL Kwenye Python

Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).


Moduli ya mysql

Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run  pip install mysql-connector-python

 


Hatua kwa Hatua

1. Kuunganishwa na MySQL

Msimbo wa Kuunganisha
import mysql.connector

# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
    host="localhost",  # Seva ya MySQL
    user="root",       # Jina la mtumiaji wa MySQL
    password="",       # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
    database="my_database"  # Jina la hifadhidata
)

if conn.is_connected():
    print("Connection successful!")
Maelezo ya Kipengele

2. Kuunda Jedwali

Msimbo wa Kuunda Jedwali
cursor = conn.cursor()  # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
    id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
    name VARCHAR(100),
    age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
Maelezo ya Kipengele

3. Kuingiza Data

Msimbo wa Kuingiza Data
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)

cursor.execute(query, data)
conn.commit()  # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
Maelezo ya Kipengele
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-21 19:27:59 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 711

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.

Soma Zaidi...
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi

Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani

Soma Zaidi...
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Soma Zaidi...