Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).
Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run pip install mysql-connector-python
import mysql.connector
# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
host="localhost", # Seva ya MySQL
user="root", # Jina la mtumiaji wa MySQL
password="", # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
database="my_database" # Jina la hifadhidata
)
if conn.is_connected():
print("Connection successful!")
mysql.connector.connect:
host: Anwani ya seva ya MySQL. Kwa kompyuta ya ndani ni localhost.user: Mtumiaji wa MySQL. (Mfano: root).password: Nenosiri la mtumiaji wa MySQL.database: Jina la hifadhidata inayotumika.conn.is_connected():
cursor = conn.cursor() # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
name VARCHAR(100),
age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
conn.cursor():
cursor.execute():
students.IF NOT EXISTS:
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)
cursor.execute(query, data)
conn.commit() # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
query:
%s ni nafasi ya thamani inayokuja baadaye.Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...