picha

Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Kutumia MySQL Kwenye Python

Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).


Moduli ya mysql

Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run  pip install mysql-connector-python

 


Hatua kwa Hatua

1. Kuunganishwa na MySQL

Msimbo wa Kuunganisha
import mysql.connector

# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
    host="localhost",  # Seva ya MySQL
    user="root",       # Jina la mtumiaji wa MySQL
    password="",       # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
    database="my_database"  # Jina la hifadhidata
)

if conn.is_connected():
    print("Connection successful!")
Maelezo ya Kipengele

2. Kuunda Jedwali

Msimbo wa Kuunda Jedwali
cursor = conn.cursor()  # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
    id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
    name VARCHAR(100),
    age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
Maelezo ya Kipengele

3. Kuingiza Data

Msimbo wa Kuingiza Data
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)

cursor.execute(query, data)
conn.commit()  # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
Maelezo ya Kipengele
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-21 19:27:59 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 745

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰3 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰4 web hosting     πŸ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰6 ai web app    

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
Python somo la 59: Kufanya Mahesabu (Aggregations) Katika Django

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza β€œdifference” kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika.

Soma Zaidi...
Python somo la 42: Template tag

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.

Soma Zaidi...
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input

Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system

Soma Zaidi...
PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.

Soma Zaidi...
Python somo la 21: Module katika python

Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile

Soma Zaidi...