picha

Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Kutumia MySQL Kwenye Python

Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).


Moduli ya mysql

Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run  pip install mysql-connector-python

 


Hatua kwa Hatua

1. Kuunganishwa na MySQL

Msimbo wa Kuunganisha
import mysql.connector

# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
    host="localhost",  # Seva ya MySQL
    user="root",       # Jina la mtumiaji wa MySQL
    password="",       # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
    database="my_database"  # Jina la hifadhidata
)

if conn.is_connected():
    print("Connection successful!")
Maelezo ya Kipengele

2. Kuunda Jedwali

Msimbo wa Kuunda Jedwali
cursor = conn.cursor()  # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
    id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
    name VARCHAR(100),
    age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
Maelezo ya Kipengele

3. Kuingiza Data

Msimbo wa Kuingiza Data
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)

cursor.execute(query, data)
conn.commit()  # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
Maelezo ya Kipengele
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-21 19:27:59 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 804

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 web hosting     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 23: Library kwenye python

Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

Soma Zaidi...
Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu

Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...