Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector
. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).
Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run pip install mysql-connector-python
import mysql.connector
# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
host="localhost", # Seva ya MySQL
user="root", # Jina la mtumiaji wa MySQL
password="", # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
database="my_database" # Jina la hifadhidata
)
if conn.is_connected():
print("Connection successful!")
mysql.connector.connect
:
host
: Anwani ya seva ya MySQL. Kwa kompyuta ya ndani ni localhost
.user
: Mtumiaji wa MySQL. (Mfano: root
).password
: Nenosiri la mtumiaji wa MySQL.database
: Jina la hifadhidata inayotumika.conn.is_connected()
:
cursor = conn.cursor() # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
name VARCHAR(100),
age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
conn.cursor()
:
cursor.execute()
:
students
.IF NOT EXISTS
:
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)
cursor.execute(query, data)
conn.commit() # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
query
:
%s
ni nafasi ya thamani inayokuja baadaye.Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...