Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).
Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run pip install mysql-connector-python
import mysql.connector
# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
host="localhost", # Seva ya MySQL
user="root", # Jina la mtumiaji wa MySQL
password="", # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
database="my_database" # Jina la hifadhidata
)
if conn.is_connected():
print("Connection successful!")
mysql.connector.connect:
host: Anwani ya seva ya MySQL. Kwa kompyuta ya ndani ni localhost.user: Mtumiaji wa MySQL. (Mfano: root).password: Nenosiri la mtumiaji wa MySQL.database: Jina la hifadhidata inayotumika.conn.is_connected():
cursor = conn.cursor() # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
name VARCHAR(100),
age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
conn.cursor():
cursor.execute():
students.IF NOT EXISTS:
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)
cursor.execute(query, data)
conn.commit() # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
query:
%s ni nafasi ya thamani inayokuja baadaye.Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...