Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector
. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).
Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run pip install mysql-connector-python
import mysql.connector
# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
host="localhost", # Seva ya MySQL
user="root", # Jina la mtumiaji wa MySQL
password="", # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
database="my_database" # Jina la hifadhidata
)
if conn.is_connected():
print("Connection successful!")
mysql.connector.connect
:
host
: Anwani ya seva ya MySQL. Kwa kompyuta ya ndani ni localhost
.user
: Mtumiaji wa MySQL. (Mfano: root
).password
: Nenosiri la mtumiaji wa MySQL.database
: Jina la hifadhidata inayotumika.conn.is_connected()
:
cursor = conn.cursor() # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
name VARCHAR(100),
age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
conn.cursor()
:
cursor.execute()
:
students
.IF NOT EXISTS
:
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)
cursor.execute(query, data)
conn.commit() # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
query
:
%s
ni nafasi ya thamani inayokuja baadaye.cur">...
Nicheki WhatsApp kwa maswali
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-12-21 19:27:59 Topic: Python
Main: Masomo
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 83
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 Kitau cha Fiqh
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 kitabu cha Simulizi
👉5 Simulizi za Hadithi Audio
👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zifazofanana:-
Python somo la 30: Data abstraction
Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python. Soma Zaidi...
PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator
Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator. Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili
Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba. Soma Zaidi...
Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object. Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop
Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop Soma Zaidi...
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python
Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data
Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int. Soma Zaidi...
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming
Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code Soma Zaidi...
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function
Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions Soma Zaidi...