Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).
Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run pip install mysql-connector-python
import mysql.connector
# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
host="localhost", # Seva ya MySQL
user="root", # Jina la mtumiaji wa MySQL
password="", # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
database="my_database" # Jina la hifadhidata
)
if conn.is_connected():
print("Connection successful!")
mysql.connector.connect:
host: Anwani ya seva ya MySQL. Kwa kompyuta ya ndani ni localhost.user: Mtumiaji wa MySQL. (Mfano: root).password: Nenosiri la mtumiaji wa MySQL.database: Jina la hifadhidata inayotumika.conn.is_connected():
cursor = conn.cursor() # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
name VARCHAR(100),
age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
conn.cursor():
cursor.execute():
students.IF NOT EXISTS:
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)
cursor.execute(query, data)
conn.commit() # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
query:
%s ni nafasi ya thamani inayokuja baadaye.Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...