Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunganisha Python na MySQL kwa kutumia moduli ya mysql.connector
. Tutaangazia jinsi ya kuingiza, kusoma, na kuhariri data kwenye hifadhidata (database).
Moduli ya mysql.connector ndio hutumika katika kuunganisha database ya mysql na python. Hivyo kabl aya kuanza somo itahitajika ku install module hii kw aku run pip install mysql-connector-python
import mysql.connector
# Kuweka muunganisho
conn = mysql.connector.connect(
host="localhost", # Seva ya MySQL
user="root", # Jina la mtumiaji wa MySQL
password="", # Nenosiri la mtumiaji wa MySQL
database="my_database" # Jina la hifadhidata
)
if conn.is_connected():
print("Connection successful!")
mysql.connector.connect
:
host
: Anwani ya seva ya MySQL. Kwa kompyuta ya ndani ni localhost
.user
: Mtumiaji wa MySQL. (Mfano: root
).password
: Nenosiri la mtumiaji wa MySQL.database
: Jina la hifadhidata inayotumika.conn.is_connected()
:
cursor = conn.cursor() # Hutekeleza commdan
cursor.execute("""
CREATE TABLE IF NOT EXISTS students (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
name VARCHAR(100),
age INT
)
""")
print("Table created successfully!")
conn.cursor()
:
cursor.execute()
:
students
.IF NOT EXISTS
:
query = "INSERT INTO students (name, age) VALUES (%s, %s)"
data = ("Amina", 20)
cursor.execute(query, data)
conn.commit() # Hifadhi mabadiliko kwenye hifadhidata
print("Data inserted successfully!")
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...