Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Jinsi ya Kutengeneza Folda, Faili, na Kuingiza Data kwa Python

Katika somo hili, utajifunza hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza folda (directory), faili, kuingiza data kwenye faili, na hata kufuta faili kwa kutumia Python.


1. Kutengeneza Folda

Katika Python, tunaweza kutumia moduli ya os kutengeneza folda. Ili kutengeneza directory, tunatumia method ya os.makedirs().

Mfano wa Kutengeneza Folda:

import os

# Kutengeneza folda mpya

os.makedirs('data', exist_ok=True)

print("Folda 'data' imetengenezwa.")

 

Ufafanuzi:


2. Kutengeneza Faili na Kuingiza Data

Baada ya kutengeneza folda, tunaweza kutengeneza faili na kuingiza data kwa kutumia mode ya write (w). Kwanza tutafunguwa hilo faili kwa kutumia open() baada ya kulifunguwa ndipo tutaandika data kwa kutumia write() 

Mfano:

# Kutengeneza faili na kuandika data

with open('data/tile.txt', 'w') as file:

    file.write("Karibu Bongoclass\n")

    file.write("Upate kujifunza mengi\n")

    file.write("Bila malipo\n")

 

print("Faili limeundwa na data zimeingizwa.")

 

 

Ufafanuzi:

 

Writing mode

Unaweza kujiuliza hiyo ( w) kwenye open() na write() ni nini hasa. Hapo imetumika kama writing mode, inaonyesha kwa namna gani hiyo function ifanye kazi. Kazi ya mode ya w ni kufunguwa faili a kuandika. Hata hivyo haipo peke yake zipo mode nyingine kama a, a+, b, w, w+, r, r+ angalia kazi za kila mode kwenye jedwali hapo chini

 


3. Kuingiza Data kutoka kwa Mtumiaji

Tunaweza kutumia input() kwa kuingiza data kutoka kwa mtumiaji na kuiandika kwenye faili.

Mfano:

# Kufungua faili kwa mode ya kuandika

with open('wanafunzi.csv', 'w') as file:

    file.write("Jina,Namba ya Simu\n")  # Kichwa cha faili (header)

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 686

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop

Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 39: Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Soma Zaidi...
Python somo la 42: Template tag

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.

Soma Zaidi...
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi

Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Soma Zaidi...