Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
os.makedirs().os.makedirs('data', exist_ok=True)print("Folda 'data' imetengenezwa.")
os.makedirs('data'): Inatengeneza folda inayoitwa data.exist_ok=True: Inazuia error kama folda tayari ipo.# Kutengeneza faili na kuandika datawith open('data/tile.txt', 'w') as file: file.write("Karibu Bongoclass\n") file.write("Upate kujifunza mengi\n") file.write("Bila malipo\n")
print("Faili limeundwa na data zimeingizwa.")
open('data/tile.txt', 'w'): Inafungua faili kwa mode ya kuandika. Faili jipya litatengenezwa kama halipo.file.write(): Inaandika data kwenye faili.
Writing mode
Unaweza kujiuliza hiyo ( w) kwenye open() na write() ni nini hasa. Hapo imetumika kama writing mode, inaonyesha kwa namna gani hiyo function ifanye kazi. Kazi ya mode ya w ni kufunguwa faili a kuandika. Hata hivyo haipo peke yake zipo mode nyingine kama a, a+, b, w, w+, r, r+ angalia kazi za kila mode kwenye jedwali hapo chini
input() kwa kuingiza data kutoka kwa mtumiaji na kuiandika kwenye faili.# Kufungua faili kwa mode ya kuandikawith open('wanafunzi.csv', 'w') as file: file.write("Jina,Namba ya Simu\n") # Kichwa cha faili (header)...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...