Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
os.makedirs().
os.makedirs('data', exist_ok=True)
print("Folda 'data' imetengenezwa.")
os.makedirs('data')
: Inatengeneza folda inayoitwa data.exist_ok=True
: Inazuia error kama folda tayari ipo.# Kutengeneza faili na kuandika data
with open('data/tile.txt', 'w') as file:
file.write("Karibu Bongoclass\n")
file.write("Upate kujifunza mengi\n")
file.write("Bila malipo\n")
print("Faili limeundwa na data zimeingizwa.")
open('data/tile.txt', 'w'):
Inafungua faili kwa mode ya kuandika. Faili jipya litatengenezwa kama halipo.file.write()
: Inaandika data kwenye faili.
Writing mode
Unaweza kujiuliza hiyo ( w) kwenye open() na write() ni nini hasa. Hapo imetumika kama writing mode, inaonyesha kwa namna gani hiyo function ifanye kazi. Kazi ya mode ya w ni kufunguwa faili a kuandika. Hata hivyo haipo peke yake zipo mode nyingine kama a, a+, b, w, w+, r, r+ angalia kazi za kila mode kwenye jedwali hapo chini
input()
kwa kuingiza data kutoka kwa mtumiaji na kuiandika kwenye faili.# Kufungua faili kwa mode ya kuandika
with open('wanafunzi.csv', 'w') as file:
file.write("Jina,Namba ya Simu\n") # Kichwa cha faili (header)
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...