Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
os.makedirs().
os.makedirs('data', exist_ok=True)
print("Folda 'data' imetengenezwa.")
os.makedirs('data')
: Inatengeneza folda inayoitwa data.exist_ok=True
: Inazuia error kama folda tayari ipo.# Kutengeneza faili na kuandika data
with open('data/tile.txt', 'w') as file:
file.write("Karibu Bongoclass\n")
file.write("Upate kujifunza mengi\n")
file.write("Bila malipo\n")
print("Faili limeundwa na data zimeingizwa.")
open('data/tile.txt', 'w'):
Inafungua faili kwa mode ya kuandika. Faili jipya litatengenezwa kama halipo.file.write()
: Inaandika data kwenye faili.
Writing mode
Unaweza kujiuliza hiyo ( w) kwenye open() na write() ni nini hasa. Hapo imetumika kama writing mode, inaonyesha kwa namna gani hiyo function ifanye kazi. Kazi ya mode ya w ni kufunguwa faili a kuandika. Hata hivyo haipo peke yake zipo mode nyingine kama a, a+, b, w, w+, r, r+ angalia kazi za kila mode kwenye jedwali hapo chini
input()
kwa kuingiza data kutoka kwa mtumiaji na kuiandika kwenye faili.# Kufungua faili kwa mode ya kuandika
with open('wanafunzi.csv', 'w') as file:
file.write("Jina,Namba ya Simu\n") # Kichwa cha faili (header)
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...