Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
os.makedirs().
os.makedirs('data', exist_ok=True)
print("Folda 'data' imetengenezwa.")
os.makedirs('data')
: Inatengeneza folda inayoitwa data.exist_ok=True
: Inazuia error kama folda tayari ipo.# Kutengeneza faili na kuandika data
with open('data/tile.txt', 'w') as file:
file.write("Karibu Bongoclass\n")
file.write("Upate kujifunza mengi\n")
file.write("Bila malipo\n")
print("Faili limeundwa na data zimeingizwa.")
open('data/tile.txt', 'w'):
Inafungua faili kwa mode ya kuandika. Faili jipya litatengenezwa kama halipo.file.write()
: Inaandika data kwenye faili.
Writing mode
Unaweza kujiuliza hiyo ( w) kwenye open() na write() ni nini hasa. Hapo imetumika kama writing mode, inaonyesha kwa namna gani hiyo function ifanye kazi. Kazi ya mode ya w ni kufunguwa faili a kuandika. Hata hivyo haipo peke yake zipo mode nyingine kama a, a+, b, w, w+, r, r+ angalia kazi za kila mode kwenye jedwali hapo chini
input()
kwa kuingiza data kutoka kwa mtumiaji na kuiandika kwenye faili.# Kufungua faili kwa mode ya kuandika
with open('wanafunzi.csv', 'w') as file:
file.write("Jina,Namba ya Simu\n") # Kichwa cha faili (header)
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...