Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Jinsi ya Kutengeneza Folda, Faili, na Kuingiza Data kwa Python

Katika somo hili, utajifunza hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza folda (directory), faili, kuingiza data kwenye faili, na hata kufuta faili kwa kutumia Python.


1. Kutengeneza Folda

Katika Python, tunaweza kutumia moduli ya os kutengeneza folda. Ili kutengeneza directory, tunatumia method ya os.makedirs().

Mfano wa Kutengeneza Folda:

import os

# Kutengeneza folda mpya

os.makedirs('data', exist_ok=True)

print("Folda 'data' imetengenezwa.")

 

Ufafanuzi:


2. Kutengeneza Faili na Kuingiza Data

Baada ya kutengeneza folda, tunaweza kutengeneza faili na kuingiza data kwa kutumia mode ya write (w). Kwanza tutafunguwa hilo faili kwa kutumia open() baada ya kulifunguwa ndipo tutaandika data kwa kutumia write() 

Mfano:

# Kutengeneza faili na kuandika data

with open('data/tile.txt', 'w') as file:

    file.write("Karibu Bongoclass\n")

    file.write("Upate kujifunza mengi\n")

    file.write("Bila malipo\n")

 

print("Faili limeundwa na data zimeingizwa.")

 

 

Ufafanuzi:

 

Writing mode

Unaweza kujiuliza hiyo ( w) kwenye open() na write() ni nini hasa. Hapo imetumika kama writing mode, inaonyesha kwa namna gani hiyo function ifanye kazi. Kazi ya mode ya w ni kufunguwa faili a kuandika. Hata hivyo haipo peke yake zipo mode nyingine kama a, a+, b, w, w+, r, r+ angalia kazi za kila mode kwenye jedwali hapo chini

 


3. Kuingiza Data kutoka kwa Mtumiaji

Tunaweza kutumia input() kwa kuingiza data kutoka kwa mtumiaji na kuiandika kwenye faili.

Mfano:

# Kufungua faili kwa mode ya kuandika

with open('wanafunzi.csv', 'w') as file:

    file.write("Jina,Namba ya Simu\n")  # Kichwa cha faili (header)

...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 340

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Python somo la 22: Package kwenye Python
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django

Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python

Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

Soma Zaidi...
PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator
PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
Python somo la 50: database kwneye django
Python somo la 50: database kwneye django

Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...