Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
os.makedirs().
os.makedirs('data', exist_ok=True)
print("Folda 'data' imetengenezwa.")
os.makedirs('data')
: Inatengeneza folda inayoitwa data.exist_ok=True
: Inazuia error kama folda tayari ipo.# Kutengeneza faili na kuandika data
with open('data/tile.txt', 'w') as file:
file.write("Karibu Bongoclass\n")
file.write("Upate kujifunza mengi\n")
file.write("Bila malipo\n")
print("Faili limeundwa na data zimeingizwa.")
open('data/tile.txt', 'w'):
Inafungua faili kwa mode ya kuandika. Faili jipya litatengenezwa kama halipo.file.write()
: Inaandika data kwenye faili.
Writing mode
Unaweza kujiuliza hiyo ( w) kwenye open() na write() ni nini hasa. Hapo imetumika kama writing mode, inaonyesha kwa namna gani hiyo function ifanye kazi. Kazi ya mode ya w ni kufunguwa faili a kuandika. Hata hivyo haipo peke yake zipo mode nyingine kama a, a+, b, w, w+, r, r+ angalia kazi za kila mode kwenye jedwali hapo chini
input()
kwa kuingiza data kutoka kwa mtumiaji na kuiandika kwenye faili.# Kufungua faili kwa mode ya kuandika
with open('wanafunzi.csv', 'w') as file:
file.write("Jina,Namba ya Simu\n") # Kichwa cha faili (header)
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...