Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
os.makedirs().
os.makedirs('data', exist_ok=True)
print("Folda 'data' imetengenezwa.")
os.makedirs('data')
: Inatengeneza folda inayoitwa data.exist_ok=True
: Inazuia error kama folda tayari ipo.# Kutengeneza faili na kuandika data
with open('data/tile.txt', 'w') as file:
file.write("Karibu Bongoclass\n")
file.write("Upate kujifunza mengi\n")
file.write("Bila malipo\n")
print("Faili limeundwa na data zimeingizwa.")
open('data/tile.txt', 'w'):
Inafungua faili kwa mode ya kuandika. Faili jipya litatengenezwa kama halipo.file.write()
: Inaandika data kwenye faili.
Writing mode
Unaweza kujiuliza hiyo ( w) kwenye open() na write() ni nini hasa. Hapo imetumika kama writing mode, inaonyesha kwa namna gani hiyo function ifanye kazi. Kazi ya mode ya w ni kufunguwa faili a kuandika. Hata hivyo haipo peke yake zipo mode nyingine kama a, a+, b, w, w+, r, r+ angalia kazi za kila mode kwenye jedwali hapo chini
input()
kwa kuingiza data kutoka kwa mtumiaji na kuiandika kwenye faili.# Kufungua faili kwa mode ya kuandika
with open('wanafunzi.csv', 'w') as file:
file.write("Jina,Namba ya Simu\n") # Kichwa cha faili (header)
Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Tarehe 2024-12-04 11:01:20 Topic: Python
Main: Masomo
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 106
Sponsored links
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
Python somo la 28: inheritance kwenye OOP
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
Python somo la 21: Module katika python
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function
Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop
Python somo la 19: Aina za Function
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class...
Nicheki WhatsApp kwa maswali
Ndio Hapana Save post
👉1 Simulizi za Hadithi Audio
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Madrasa kiganjani
👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6 Kitau cha Fiqh
Post zifazofanana:-
Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake Soma Zaidi...
Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code Soma Zaidi...
Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance. Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string. Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python Soma Zaidi...
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python. Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi Soma Zaidi...