Navigation Menu



image

Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Jinsi ya Kutengeneza Folda, Faili, na Kuingiza Data kwa Python

Katika somo hili, utajifunza hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza folda (directory), faili, kuingiza data kwenye faili, na hata kufuta faili kwa kutumia Python.


1. Kutengeneza Folda

Katika Python, tunaweza kutumia moduli ya os kutengeneza folda. Ili kutengeneza directory, tunatumia method ya os.makedirs().

Mfano wa Kutengeneza Folda:

import os

# Kutengeneza folda mpya

os.makedirs('data', exist_ok=True)

print("Folda 'data' imetengenezwa.")

 

Ufafanuzi:


2. Kutengeneza Faili na Kuingiza Data

Baada ya kutengeneza folda, tunaweza kutengeneza faili na kuingiza data kwa kutumia mode ya write (w). Kwanza tutafunguwa hilo faili kwa kutumia open() baada ya kulifunguwa ndipo tutaandika data kwa kutumia write() 

Mfano:

# Kutengeneza faili na kuandika data

with open('data/tile.txt', 'w') as file:

    file.write("Karibu Bongoclass\n")

    file.write("Upate kujifunza mengi\n")

    file.write("Bila malipo\n")

 

print("Faili limeundwa na data zimeingizwa.")

 

 

Ufafanuzi:

 

Writing mode

Unaweza kujiuliza hiyo ( w) kwenye open() na write() ni nini hasa. Hapo imetumika kama writing mode, inaonyesha kwa namna gani hiyo function ifanye kazi. Kazi ya mode ya w ni kufunguwa faili a kuandika. Hata hivyo haipo peke yake zipo mode nyingine kama a, a+, b, w, w+, r, r+ angalia kazi za kila mode kwenye jedwali hapo chini

 


3. Kuingiza Data kutoka kwa Mtumiaji

Tunaweza kutumia input() kwa kuingiza data kutoka kwa mtumiaji na kuiandika kwenye faili.

Mfano:

# Kufungua faili kwa mode ya kuandika

with open('wanafunzi.csv', 'w') as file:

    file.write("Jina,Namba ya Simu\n")  # Kichwa cha faili (header)

...



Nicheki WhatsApp kwa maswali





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-12-04 11:01:20 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 106


Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Python somo la 29: Encaosulation kwneye python
Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake Soma Zaidi...

Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming
Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code Soma Zaidi...

PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Soma Zaidi...

Python somo la 28: inheritance kwenye OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance. Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string. Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python Soma Zaidi...

Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system Soma Zaidi...

Python somo la 21: Module katika python
Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile Soma Zaidi...

Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function
Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions Soma Zaidi...

Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop
Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python Soma Zaidi...

Python somo la 19: Aina za Function
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python. Soma Zaidi...

Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi Soma Zaidi...