Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Indexing:
Unapopewa string yeyote, katika python unaweza ku access yaani kufanyia kazi sehemu tu ya string hiyo na kuacha sehemu nyingine. Huko nyuma tulijifunza kuhusu habari hii ya indexing na nikakueleza kuwa string index inaanzia na 0. Sasa katika somo hili tutainga ndani zaidi katika kuijuwa indexing.
Katika somo letu hili tutakwenda kuifanyia kazi string hii ‘Jifunze python na Bongoclass”
Mfano 1:
Katika mfano huu tutaona jinsi ya kufanya index kwa character ya mwanzo tu. yaani tunataka ku dislay haerufi ya mwanzo tu ambayo ni j. Kama nilivyokueleza kuwa indexing inaanzia na 0. Kwa hiyo character ya mwanzo itakuwa na index ya 0.
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[0])
Hii itatupa jibu j
Mfano 2:
Kwa kupitia mfano huo unaweza ku display character yeyote unayotaka kwenye string yetu. Sasa kwa mfano tunataka ku display character ya 12 kwenye string.
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[12])
Hii itakupa jibu o
Mfano 3:
Saa kwa mfano tunataka kudisplay character ya mwisho to, hapa unaweza kuhesabu ilikujuwa ipo index ya ngapi kisha utatumia mfano uliotangulia. Njia nyingine ni kutumia negative number yaani namba hasi.
Index inapokuwa na namba hasi maana yake imeanza kuhesabiwa kutoka mwisho. Sasa ukihesabu kutoka mwisho index haianzi na -0 ila inaanza na -1 kwa kuwa -0 itakuwa ni ile character ya kwanza kwenye index. Hivyo basi kupata character ya mwisho tutaandika hivi
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[-1])
Hii itatupa jibu s
Mfano 4:
Kwa mfano kama huo ukitaka ku display character ya 4 kutoka mwisho tutatumai -4
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[-4])
Hii itakupa jibu l
Mfano 5:
Pia unaweza ku display character zilizobaki kuanzia index ulioitaka. Mfano ninataka ku display kutoka character ya 8 hadi mwisho. Kufanya hivi utaandika index ya 8 ikifuatiwa na nukta pacha.
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[8:])
Hii itatupa jibu pyth">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Je umeipenda post hii ? Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing. Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python. Download App Yetu
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class
PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili
Python somo la 19: Aina za Function