Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Indexing:
Unapopewa string yeyote, katika python unaweza ku access yaani kufanyia kazi sehemu tu ya string hiyo na kuacha sehemu nyingine. Huko nyuma tulijifunza kuhusu habari hii ya indexing na nikakueleza kuwa string index inaanzia na 0. Sasa katika somo hili tutainga ndani zaidi katika kuijuwa indexing.
Katika somo letu hili tutakwenda kuifanyia kazi string hii ‘Jifunze python na Bongoclass”
Mfano 1:
Katika mfano huu tutaona jinsi ya kufanya index kwa character ya mwanzo tu. yaani tunataka ku dislay haerufi ya mwanzo tu ambayo ni j. Kama nilivyokueleza kuwa indexing inaanzia na 0. Kwa hiyo character ya mwanzo itakuwa na index ya 0.
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[0])
Hii itatupa jibu j
Mfano 2:
Kwa kupitia mfano huo unaweza ku display character yeyote unayotaka kwenye string yetu. Sasa kwa mfano tunataka ku display character ya 12 kwenye string.
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[12])
Hii itakupa jibu o
Mfano 3:
Saa kwa mfano tunataka kudisplay character ya mwisho to, hapa unaweza kuhesabu ilikujuwa ipo index ya ngapi kisha utatumia mfano uliotangulia. Njia nyingine ni kutumia negative number yaani namba hasi.
Index inapokuwa na namba hasi maana yake imeanza kuhesabiwa kutoka mwisho. Sasa ukihesabu kutoka mwisho index haianzi na -0 ila inaanza na -1 kwa kuwa -0 itakuwa ni ile character ya kwanza kwenye index. Hivyo basi kupata character ya mwisho tutaandika hivi
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[-1])
Hii itatupa jibu s
Mfano 4:
Kwa mfano kama huo ukitaka ku display character ya 4 kutoka mwisho tutatumai -4
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[-4])
Hii itakupa jibu l
Mfano 5:
Pia unaweza ku display character zilizobaki kuanzia index ulioitaka. Mfano ninataka ku display kutoka character ya 8 hadi mwisho. Kufanya hivi utaandika index ya 8 ikifuatiwa na nukta pacha.
string = 'Jifunze python na Bongoclass'
print(string[8:])
Hii itatupa jibu pyth">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Python
Main: Masomo
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Views 473
Sponsored links
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
Python somo la 36: Kutumia json kwenye python
Python somo la 23: Library kwenye python
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
Python somo la 19: Aina za Function
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye functionDownload app yetu
Ndio Hapana Save post
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
kitabu cha Simulizi
Post zifazofanana:-
Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba. Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend Soma Zaidi...
Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python. Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions Soma Zaidi...