Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Katika maendeleo ya tovuti kwa kutumia Django, navigation menu ni kipengele muhimu kinachowezesha watumiaji kuvinjari kurasa mbalimbali kwa urahisi. Katika somo hili, tutajifunza jinsi ya kuunda menu rahisi ya kurasa kama Home, About, Contact, na Blog, tukitumia pure HTML templates bila kuongeza CSS wala JavaScript.
Tutaendelea na app yetu ya menu ndani ya project ya PyBongo, ambapo tayari views na URL patterns zimeandaliwa. Lengo kuu ni kujenga msingi imara wa muonekano wa tovuti kabla ya kuongeza vipengele vya juu zaidi kama template inheritance na styling.
Hakikisha yafuatayo yako tayari katika mradi wako wa Django:
Project: PyBongo
App: menu
Templates folder ikiwa ndani ya menu/
Faili zifuatazo zipo: views.py, urls.py, na templates base.html, home.html, about.html, contact.html, blog.html.
Faili ya views.py ina functions zinazohusiana na kila ukurasa wa tovuti. Kila moja inarejesha template husika kwa kutumia render():
from django.http import HttpResponse
from django.shortcuts import render
# Create your views here.
def index(request):
return render(request, 'menu/base.html')
def home(request):
return render(request, 'menu/home.html')
def about(request):
return render(request, 'menu/about.html')
def blog(request):
return render(request, 'menu/blog.html')
def contact(request):
return render(request, 'menu/contact.html')
Kila function ni view ya Django inayopokea ombi (
request) na kurudisha template ya HTML kupitiarender().
Hizi ndizo njia zinazowezesha kurasa kupatikana kupitia anwani tofauti:
from django.urls import path
from .import views
urlpatterns = [
path('', views.index, name='index'),
path('home/', views.home, name='home'),
path('contact/', views.contact, name='contact'),
path('blog/', views.blog, name='blog'),
path('about/', views.about, name='about'),
]
Anwani kama
127.0.0.1:8000/contact/itafungua ukurasa wa mawasiliano.
Faili ya base.html ndiyo msingi wa tovuti yetu. Tumeweka viungo (links) vya moja kwa moja kwa kila ukurasa:
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza โdifferenceโ kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuunda dashboard rahisi ndani ya Django ambayo itaruhusu mtumiaji kuongeza, kusoma, kuhariri na kufuta taarifa za MenuItem bila kutumia Django built-in admin, bali kwa kutumia HTML templates na views tulizotengeneza sisi wenyewe.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya hashing na encryption Jinsi ya kufunga packages muhimu Jinsi ya kufanya hashing kwa maneno ya kawaida (mfano โbongoclassโ) Jinsi ya kufanya encryption na decrypt kutumia Fernet Jinsi Django inahash password kupitia User model Mazoezi ya vitendo
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...