Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Data Abstraction ni mchakato wa kuficha maelezo ya utekelezaji wa data huku ukitoa interface rahisi kwa mtumiaji. Hii inaruhusu kuangazia kile ambacho object inafanya badala ya jinsi inavyofanya kazi.
Abstraction inalenga kuhifadhi maelezo ya ndani ya code yasionekane moja kwa moja kwa mtumiaji.
Hii hufanikishwa kwa kutumia abstract classes na methods ambazo hazina utekelezaji kamili katika class ya msingi (base class).
Abstract Class:
Hii ni class inayojumuisha angalau abstract method moja.
Abstract class haiwezi kuanzishwa moja kwa moja, yaani huwezi kuunda object ya abstract class.
Abstract Method:
Hii ni method isiyo na utekelezaji katika class ya msingi.
Inapaswa kufafanuliwa kwenye class zinazorithi (subclasses).
Module abc:
Python hutumia module ya abc (Abstract Base Classes) kuunda classes za abstract na methods zake.
Kabla ya kuziona hatuwa hizo kwanz anakuletea mfano ambao tutakwenda kuufanyia kazi
from abc import ABC, abstractmethod
# Abstract Class
class Shape(ABC):
@abstractmethod
def area(self):
pass
@abstractmethod
def perimeter(self):
pass
# Concrete Class
class Rectangle(Shape):
def __init__(self, length, width):
self.length = length
self.width = width
def area(self):
return self.length * self.width
def perimeter(self):
return 2 * (self.length + self.width)
# Object creation
rect = Rectangle(5, 3)
print(f"Area: {rect.area()}") # Output: Area: 15
print(f"Perimeter: {rect.perimeter()}") # Output: Perimeter: 16
class Shape(ABC):
@abstractmethod
def area(self):
pass
@abstractmethod
def perimeter(self):
pass
class Rectangle(Shape):
def __init__(self, length, width):
self.length = length
self.width = width
def area(self):
return self.length * self.width
def perimeter(self):
return 2 * (self.length + self.width)
(__init__)
ili kuweka thamani za length na width.rect = Rectangle(5, 3)
print(f"Area: {rect.area()}") # Output: Area: 15
print(f"Perimeter: {rect.perimeter()}") # Output: Perimeter: 16
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...