Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Data Abstraction ni mchakato wa kuficha maelezo ya utekelezaji wa data huku ukitoa interface rahisi kwa mtumiaji. Hii inaruhusu kuangazia kile ambacho object inafanya badala ya jinsi inavyofanya kazi.
Abstraction inalenga kuhifadhi maelezo ya ndani ya code yasionekane moja kwa moja kwa mtumiaji.
Hii hufanikishwa kwa kutumia abstract classes na methods ambazo hazina utekelezaji kamili katika class ya msingi (base class).
Abstract Class:
Hii ni class inayojumuisha angalau abstract method moja.
Abstract class haiwezi kuanzishwa moja kwa moja, yaani huwezi kuunda object ya abstract class.
Abstract Method:
Hii ni method isiyo na utekelezaji katika class ya msingi.
Inapaswa kufafanuliwa kwenye class zinazorithi (subclasses).
Module abc:
Python hutumia module ya abc (Abstract Base Classes) kuunda classes za abstract na methods zake.
Kabla ya kuziona hatuwa hizo kwanz anakuletea mfano ambao tutakwenda kuufanyia kazi
from abc import ABC, abstractmethod
# Abstract Class
class Shape(ABC):
@abstractmethod
def area(self):
pass
@abstractmethod
def perimeter(self):
pass
# Concrete Class
class Rectangle(Shape):
def __init__(self, length, width):
self.length = length
self.width = width
def area(self):
return self.length * self.width
def perimeter(self):
return 2 * (self.length + self.width)
# Object creation
rect = Rectangle(5, 3)
print(f"Area: {rect.area()}") # Output: Area: 15
print(f"Perimeter: {rect.perimeter()}") # Output: Perimeter: 16
class Shape(ABC): @abstractmethod def area(self): pass
@abstractmethod def perimeter(self): pass
class Rectangle(Shape): def __init__(self, length, width): self.length = length self.width = width
def area(self): return self.length * self.width
def perimeter(self): return 2 * (self.length + self.width)
(__init__) ili kuweka thamani za length na width.rect = Rectangle(5, 3)print(f"Area: {rect.area()}") # Output: Area: 15print(f"Perimeter: {rect.perimeter()}") # Output: Perimeter: 16
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuunda dashboard rahisi ndani ya Django ambayo itaruhusu mtumiaji kuongeza, kusoma, kuhariri na kufuta taarifa za MenuItem bila kutumia Django built-in admin, bali kwa kutumia HTML templates na views tulizotengeneza sisi wenyewe.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...