Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Data Abstraction ni mchakato wa kuficha maelezo ya utekelezaji wa data huku ukitoa interface rahisi kwa mtumiaji. Hii inaruhusu kuangazia kile ambacho object inafanya badala ya jinsi inavyofanya kazi.
Abstraction inalenga kuhifadhi maelezo ya ndani ya code yasionekane moja kwa moja kwa mtumiaji.
Hii hufanikishwa kwa kutumia abstract classes na methods ambazo hazina utekelezaji kamili katika class ya msingi (base class).
Abstract Class:
Hii ni class inayojumuisha angalau abstract method moja.
Abstract class haiwezi kuanzishwa moja kwa moja, yaani huwezi kuunda object ya abstract class.
Abstract Method:
Hii ni method isiyo na utekelezaji katika class ya msingi.
Inapaswa kufafanuliwa kwenye class zinazorithi (subclasses).
Module abc:
Python hutumia module ya abc (Abstract Base Classes) kuunda classes za abstract na methods zake.
Kabla ya kuziona hatuwa hizo kwanz anakuletea mfano ambao tutakwenda kuufanyia kazi
from abc import ABC, abstractmethod
# Abstract Class
class Shape(ABC):
@abstractmethod
def area(self):
pass
@abstractmethod
def perimeter(self):
pass
# Concrete Class
class Rectangle(Shape):
def __init__(self, length, width):
self.length = length
self.width = width
def area(self):
return self.length * self.width
def perimeter(self):
return 2 * (self.length + self.width)
# Object creation
rect = Rectangle(5, 3)
print(f"Area: {rect.area()}") # Output: Area: 15
print(f"Perimeter: {rect.perimeter()}") # Output: Perimeter: 16
class Shape(ABC):
@abstractmethod
def area(self):
pass
@abstractmethod
def perimeter(self):
pass
class Rectangle(Shape):
def __init__(self, length, width):
self.length = length
self.width = width
def area(self):
return self.length * self.width
def perimeter(self):
return 2 * (self.length + self.width)
(__init__)
ili kuweka thamani za length na width.rect = Rectangle(5, 3)
print(f"Area: {rect.area()}") # Output: Area: 15
print(f"Perimeter: {rect.perimeter()}") # Output: Perimeter: 16
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-12-04 09:43:46 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 89
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Kitau cha Fiqh
👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4 Simulizi za Hadithi Audio
👉5 Madrasa kiganjani
👉6 Kitabu cha Afya
Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili
Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data Soma Zaidi...
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop
Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python. Soma Zaidi...
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python
Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder
Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili Soma Zaidi...
PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor. Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif
Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function Soma Zaidi...
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python
Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python Soma Zaidi...