Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Kujifunza jinsi ya:
Kutengeneza fomu ya HTML katika template ya Django.
Kuituma fomu hiyo kwa njia salama kwa kutumia POST
.
Kuandaa sehemu ya views.py
itakayopokea ombi (lakini bila kuchakata data bado).
<form method="post" action="">
{% csrf_token %}
<label for="jina">Jina:</label>
<input type="text" name="jina" id="jina" required>
<br><br>
<label for="barua">Barua Pepe:</label>
<input type="email" name="barua" id="barua" required>
<br><br>
<input type="submit" value="Tuma Taarifa">
</form>
Kipengele | Maelezo |
---|---|
<form method="post"> |
Hutuma data kwa njia salama ya POST . |
action="" |
Hurejea ukurasa huo huo baada ya kutuma fomu. |
{% csrf_token %} |
Hulinda fomu dhidi ya mashambulizi ya CSRF kwa kutumia token ya Django. |
<input> |
Hutumika kuchukua taarifa za mtumiaji (mfano: text, email). |
required |
Huhakikisha mtumiaji hajazi bila kujaza field muhimu. |
Fai">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package. Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string. Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
help_outlineZoezi la Maswali
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Bongolite - Game zone - Play free game
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Python somo la 37: Jinsi ya ku install Django na kutengeneza project na app
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming
Python somo la 30: Data abstraction
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
Python somo la 22: Package kwenye Python
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg
Python somo la 50: database kwneye django