Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Kujifunza jinsi ya:
Kutengeneza fomu ya HTML katika template ya Django.
Kuituma fomu hiyo kwa njia salama kwa kutumia POST
.
Kuandaa sehemu ya views.py
itakayopokea ombi (lakini bila kuchakata data bado).
<form method="post" action="">
{% csrf_token %}
<label for="jina">Jina:</label>
<input type="text" name="jina" id="jina" required>
<br><br>
<label for="barua">Barua Pepe:</label>
<input type="email" name="barua" id="barua" required>
<br><br>
<input type="submit" value="Tuma Taarifa">
</form>
Kipengele | Maelezo |
---|---|
<form method="post"> |
Hutuma data kwa njia salama ya POST . |
action="" |
Hurejea ukurasa huo huo baada ya kutuma fomu. |
{% csrf_token %} |
Hulinda fomu dhidi ya mashambulizi ya CSRF kwa kutumia token ya Django. |
<input> |
Hutumika kuchukua taarifa za mtumiaji (mfano: text, email). |
required |
Huhakikisha mtumiaji hajazi bila kujaza field muhimu. |
Fai">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing. Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator. Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string. Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu. Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani Download App Yetu
help_outlineZoezi la Maswali
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function
Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates
PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator
Python somo la 23: Library kwenye python
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg
Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi