Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Kujifunza jinsi ya:
Kutengeneza fomu ya HTML katika template ya Django.
Kuituma fomu hiyo kwa njia salama kwa kutumia POST
.
Kuandaa sehemu ya views.py
itakayopokea ombi (lakini bila kuchakata data bado).
<form method="post" action="">
{% csrf_token %}
<label for="jina">Jina:</label>
<input type="text" name="jina" id="jina" required>
<br><br>
<label for="barua">Barua Pepe:</label>
<input type="email" name="barua" id="barua" required>
<br><br>
<input type="submit" value="Tuma Taarifa">
</form>
Kipengele | Maelezo |
---|---|
<form method="post"> |
Hutuma data kwa njia salama ya POST . |
action="" |
Hurejea ukurasa huo huo baada ya kutuma fomu. |
{% csrf_token %} |
Hulinda fomu dhidi ya mashambulizi ya CSRF kwa kutumia token ya Django. |
<input> |
Hutumika kuchukua taarifa za mtumiaji (mfano: text, email). |
required |
Huhakikisha mtumiaji hajazi bila kujaza field muhimu. |
Fai">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi. Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu. Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django. Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
help_outlineZoezi la Maswali
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python
Python somo la 38: Kubadilisha landing page ya Django Framework
Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu
Python somo la 21: Module katika python
Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Pthon somo la 41: Template Inheritance katika Django
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class