Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Kujifunza jinsi ya:
Kutengeneza fomu ya HTML katika template ya Django.
Kuituma fomu hiyo kwa njia salama kwa kutumia POST
.
Kuandaa sehemu ya views.py
itakayopokea ombi (lakini bila kuchakata data bado).
<form method="post" action="">
{% csrf_token %}
<label for="jina">Jina:</label>
<input type="text" name="jina" id="jina" required>
<br><br>
<label for="barua">Barua Pepe:</label>
<input type="email" name="barua" id="barua" required>
<br><br>
<input type="submit" value="Tuma Taarifa">
</form>
Kipengele | Maelezo |
---|---|
<form method="post"> |
Hutuma data kwa njia salama ya POST . |
action="" |
Hurejea ukurasa huo huo baada ya kutuma fomu. |
{% csrf_token %} |
Hulinda fomu dhidi ya mashambulizi ya CSRF kwa kutumia token ya Django. |
<input> |
Hutumika kuchukua taarifa za mtumiaji (mfano: text, email). |
required |
Huhakikisha mtumiaji hajazi bila kujaza field muhimu. |
Fai">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data. Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake. Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop Download App Yetu
help_outlineZoezi la Maswali
👉1
Bongolite - Game zone - Play free game
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django
Python somo la 37: Jinsi ya ku install Django na kutengeneza project na app
Python somo la 21: Module katika python
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili
Python somo la 42: Template tag
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python
Python somo la 50: database kwneye django
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop