Python somo la 46: Kutengeneza Fomu na Kuituma kwa Django Template

Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.

Django Forms


🎯 Lengo la Somo

Kujifunza jinsi ya:


🧱 Vipengele vya Msingi vya Fomu ya HTML

✅ Mfano wa Muundo wa Fomu

<form method="post" action="">
    {% csrf_token %}

    <label for="jina">Jina:</label>
    <input type="text" name="jina" id="jina" required>
    
    <br><br>

    <label for="barua">Barua Pepe:</label>
    <input type="email" name="barua" id="barua" required>
    
    <br><br>

    <input type="submit" value="Tuma Taarifa">
</form>

🔍 Maelezo ya Vipengele Muhimu

Kipengele Maelezo
<form method="post"> Hutuma data kwa njia salama ya POST.
action="" Hurejea ukurasa huo huo baada ya kutuma fomu.
{% csrf_token %} Hulinda fomu dhidi ya mashambulizi ya CSRF kwa kutumia token ya Django.
<input> Hutumika kuchukua taarifa za mtumiaji (mfano: text, email).
required Huhakikisha mtumiaji hajazi bila kujaza field muhimu.

🖼 Kuandaa Template ya HTML

Fai">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 Kwenye urls.py, ni ipi kazi ya path('fomu/', fomu_view)?
2 Ni method ipi salama zaidi kutumia katika <form> ya HTML ili kutuma taarifa kwa Django?
3 Katika views.py, nini kazi ya render(request, 'fomu.html')?
4 Ni kipengele gani kinachotumika kulinda fomu za Django dhidi ya mashambulizi ya CSRF?
5 Kipengele kipi cha HTML hutumika kuchukua maandishi marefu kama ujumbe wa mtumiaji?

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 386

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
Pthon somo la 41: Template Inheritance katika Django

Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
Python somo la 23: Library kwenye python

Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

Soma Zaidi...
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

Soma Zaidi...
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python

Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...