Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Kujifunza jinsi ya:
Kutengeneza fomu ya HTML katika template ya Django.
Kuituma fomu hiyo kwa njia salama kwa kutumia POST.
Kuandaa sehemu ya views.py itakayopokea ombi (lakini bila kuchakata data bado).
<form method="post" action="">
{% csrf_token %}
<label for="jina">Jina:</label>
<input type="text" name="jina" id="jina" required>
<br><br>
<label for="barua">Barua Pepe:</label>
<input type="email" name="barua" id="barua" required>
<br><br>
<input type="submit" value="Tuma Taarifa">
</form>
| Kipengele | Maelezo |
|---|---|
<form method="post"> |
Hutuma data kwa njia salama ya POST. |
action="" |
Hurejea ukurasa huo huo baada ya kutuma fomu. |
{% csrf_token %} |
Hulinda fomu dhidi ya mashambulizi ya CSRF kwa kutumia token ya Django. |
<input> |
Hutumika kuchukua taarifa za mtumiaji (mfano: text, email). |
required |
Huhakikisha mtumiaji hajazi bila kujaza field muhimu. |
Fai">...
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View
Soma Zaidi...Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...