Python somo la 46: Kutengeneza Fomu na Kuituma kwa Django Template

Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.

Django Forms


🎯 Lengo la Somo

Kujifunza jinsi ya:


🧱 Vipengele vya Msingi vya Fomu ya HTML

✅ Mfano wa Muundo wa Fomu

<form method="post" action="">
    {% csrf_token %}

    <label for="jina">Jina:</label>
    <input type="text" name="jina" id="jina" required>
    
    <br><br>

    <label for="barua">Barua Pepe:</label>
    <input type="email" name="barua" id="barua" required>
    
    <br><br>

    <input type="submit" value="Tuma Taarifa">
</form>

🔍 Maelezo ya Vipengele Muhimu

Kipengele Maelezo
<form method="post"> Hutuma data kwa njia salama ya POST.
action="" Hurejea ukurasa huo huo baada ya kutuma fomu.
{% csrf_token %} Hulinda fomu dhidi ya mashambulizi ya CSRF kwa kutumia token ya Django.
<input> Hutumika kuchukua taarifa za mtumiaji (mfano: text, email).
required Huhakikisha mtumiaji hajazi bila kujaza field muhimu.

🖼 Kuandaa Template ya HTML

Fai">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 Katika views.py, nini kazi ya render(request, 'fomu.html')?
2 Kipengele kipi cha HTML hutumika kuchukua maandishi marefu kama ujumbe wa mtumiaji?
3 Ni method ipi salama zaidi kutumia katika <form> ya HTML ili kutuma taarifa kwa Django?
4 Ni kipengele gani kinachotumika kulinda fomu za Django dhidi ya mashambulizi ya CSRF?
5 Kwenye urls.py, ni ipi kazi ya path('fomu/', fomu_view)?

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 128

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Python somo la 37: Jinsi ya ku install Django na kutengeneza project na app

Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app

Soma Zaidi...
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

Soma Zaidi...
Python somo la 30: Data abstraction

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

Soma Zaidi...
Python somo la 50: database kwneye django

Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model

Soma Zaidi...