Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Encapsulation kwenye pyton

 


 

1. Encapsulation ni nini?

Encapsulation ni dhana ya kuficha data ya ndani ya object ili isiweze kufikiwa moja kwa moja kutoka nje ya class.

 


 

2. Kwanini Tunahitaji Encapsulation?

 


 

3. Viwango vya Ufikiaji (Access Levels)

Ili kufanikisha encapsulation, tunatumia viwango vya ufikiaji vya property na method kwenye class. Python hutoa viwango vitatu vya msingi:

a) Public

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Public Data"  # Public

 

obj = Example()

print(obj.data)  # Inaweza kufikiwa moja kwa moja

 

 

b) Protected

class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Protected Data"  # Private attribute

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj.data)  

 

Katika mfano huo tumeweza kuprint attribute data bila ya tatizo nje ya class. Huu ni mfano wa public. Lakini sasa hebu tufanye attribute data kuwa protected.

 

Mfano

class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Private attribute

 

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj._data)



Pia kuna namna ambavyo protected inaweza kutumika lakini sio njia inayoshauriwa kutumia yaani haipendezi.

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected

 

obj = Example()

print(obj._data)  # Inaweza kufikiwa lakini haipendekezwi

 

 

Mfano wa kurithi protected

class Parent:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected attribute

 

    def display_data(self):

        print(f"Data from Parent: {self._data}")

 

class Child(Parent):

    def modify_data(self, new_data):

        self._data = new_data  # Accessing and modifying protected attribute

        print(f"Data modified in Child: {self._data}")

 

# Kutengeneza object ya Child class

child_obj = Child()

 

# Kufikia na kuonyesha protected attribute kupitia parent method

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: Protected Data

 

# Kufikia na kubadilisha protected attribute kupitia child method

child_obj.modify_data("New Protected Data")  # Output: Data modified in Child: New Protected Data

 

# Kuhakikisha mabadiliko yanadumu

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: New Protected Data...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 512

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 web hosting    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

Soma Zaidi...
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi

Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani

Soma Zaidi...
Python somo la 27: polymorphism kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input

Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system

Soma Zaidi...
Python somo la 38: Kubadilisha landing page ya Django Framework

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.

Soma Zaidi...
Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop

Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python

Soma Zaidi...