Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Encapsulation kwenye pyton

 


 

1. Encapsulation ni nini?

Encapsulation ni dhana ya kuficha data ya ndani ya object ili isiweze kufikiwa moja kwa moja kutoka nje ya class.

 


 

2. Kwanini Tunahitaji Encapsulation?

 


 

3. Viwango vya Ufikiaji (Access Levels)

Ili kufanikisha encapsulation, tunatumia viwango vya ufikiaji vya property na method kwenye class. Python hutoa viwango vitatu vya msingi:

a) Public

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Public Data"  # Public

 

obj = Example()

print(obj.data)  # Inaweza kufikiwa moja kwa moja

 

 

b) Protected

class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Protected Data"  # Private attribute

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj.data)  

 

Katika mfano huo tumeweza kuprint attribute data bila ya tatizo nje ya class. Huu ni mfano wa public. Lakini sasa hebu tufanye attribute data kuwa protected.

 

Mfano

class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Private attribute

 

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj._data)



Pia kuna namna ambavyo protected inaweza kutumika lakini sio njia inayoshauriwa kutumia yaani haipendezi.

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected

 

obj = Example()

print(obj._data)  # Inaweza kufikiwa lakini haipendekezwi

 

 

Mfano wa kurithi protected

class Parent:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected attribute

 

    def display_data(self):

        print(f"Data from Parent: {self._data}")

 

class Child(Parent):

    def modify_data(self, new_data):

        self._data = new_data  # Accessing and modifying protected attribute

        print(f"Data modified in Child: {self._data}")

 

# Kutengeneza object ya Child class

child_obj = Child()

 

# Kufikia na kuonyesha protected attribute kupitia parent method

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: Protected Data

 

# Kufikia na kubadilisha protected attribute kupitia child method

child_obj.modify_data("New Protected Data")  # Output: Data modified in Child: New Protected Data

 

# Kuhakikisha mabadiliko yanadumu

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: New Protected Data...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 452

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 web hosting    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Python somo la 28: inheritance kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...