picha

Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Encapsulation kwenye pyton

 


 

1. Encapsulation ni nini?

Encapsulation ni dhana ya kuficha data ya ndani ya object ili isiweze kufikiwa moja kwa moja kutoka nje ya class.

 


 

2. Kwanini Tunahitaji Encapsulation?

 


 

3. Viwango vya Ufikiaji (Access Levels)

Ili kufanikisha encapsulation, tunatumia viwango vya ufikiaji vya property na method kwenye class. Python hutoa viwango vitatu vya msingi:

a) Public

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Public Data"  # Public

 

obj = Example()

print(obj.data)  # Inaweza kufikiwa moja kwa moja

 

 

b) Protected

class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Protected Data"  # Private attribute

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj.data)  

 

Katika mfano huo tumeweza kuprint attribute data bila ya tatizo nje ya class. Huu ni mfano wa public. Lakini sasa hebu tufanye attribute data kuwa protected.

 

Mfano

class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Private attribute

 

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj._data)



Pia kuna namna ambavyo protected inaweza kutumika lakini sio njia inayoshauriwa kutumia yaani haipendezi.

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected

 

obj = Example()

print(obj._data)  # Inaweza kufikiwa lakini haipendekezwi

 

 

Mfano wa kurithi protected

class Parent:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected attribute

 

    def display_data(self):

        print(f"Data from Parent: {self._data}")

 

class Child(Parent):

    def modify_data(self, new_data):

        self._data = new_data  # Accessing and modifying protected attribute

        print(f"Data modified in Child: {self._data}")

 

# Kutengeneza object ya Child class

child_obj = Child()

 

# Kufikia na kuonyesha protected attribute kupitia parent method

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: Protected Data

 

# Kufikia na kubadilisha protected attribute kupitia child method

child_obj.modify_data("New Protected Data")  # Output: Data modified in Child: New Protected Data

 

# Kuhakikisha mabadiliko yanadumu

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: New Protected Data...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-03 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 736

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 ai web app   

Post zinazofanana:

Python somo la 36: Django framework - Utangulizi

Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani

Soma Zaidi...
Python somo la 23: Library kwenye python

Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

Soma Zaidi...
Python somo la 52: Kutengeneza table na kufanya Migrations Katika Django

Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input

Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system

Soma Zaidi...
Python somo la 62 Kupakia picha (upload) na kuisoma kutoka kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.

Soma Zaidi...
Python seomo la 55: Kutengeneza Simple Admin Dashboard ya CRUD

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuunda dashboard rahisi ndani ya Django ambayo itaruhusu mtumiaji kuongeza, kusoma, kuhariri na kufuta taarifa za MenuItem bila kutumia Django built-in admin, bali kwa kutumia HTML templates na views tulizotengeneza sisi wenyewe.

Soma Zaidi...
Python somo la 28: inheritance kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.

Soma Zaidi...