picha

Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Encapsulation kwenye pyton

 


 

1. Encapsulation ni nini?

Encapsulation ni dhana ya kuficha data ya ndani ya object ili isiweze kufikiwa moja kwa moja kutoka nje ya class.

 


 

2. Kwanini Tunahitaji Encapsulation?

 


 

3. Viwango vya Ufikiaji (Access Levels)

Ili kufanikisha encapsulation, tunatumia viwango vya ufikiaji vya property na method kwenye class. Python hutoa viwango vitatu vya msingi:

a) Public

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Public Data"  # Public

 

obj = Example()

print(obj.data)  # Inaweza kufikiwa moja kwa moja

 

 

b) Protected

class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Protected Data"  # Private attribute

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj.data)  

 

Katika mfano huo tumeweza kuprint attribute data bila ya tatizo nje ya class. Huu ni mfano wa public. Lakini sasa hebu tufanye attribute data kuwa protected.

 

Mfano

class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Private attribute

 

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj._data)



Pia kuna namna ambavyo protected inaweza kutumika lakini sio njia inayoshauriwa kutumia yaani haipendezi.

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected

 

obj = Example()

print(obj._data)  # Inaweza kufikiwa lakini haipendekezwi

 

 

Mfano wa kurithi protected

class Parent:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected attribute

 

    def display_data(self):

        print(f"Data from Parent: {self._data}")

 

class Child(Parent):

    def modify_data(self, new_data):

        self._data = new_data  # Accessing and modifying protected attribute

        print(f"Data modified in Child: {self._data}")

 

# Kutengeneza object ya Child class

child_obj = Child()

 

# Kufikia na kuonyesha protected attribute kupitia parent method

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: Protected Data

 

# Kufikia na kubadilisha protected attribute kupitia child method

child_obj.modify_data("New Protected Data")  # Output: Data modified in Child: New Protected Data

 

# Kuhakikisha mabadiliko yanadumu

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: New Protected Data...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-03 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 618

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰2 web hosting    πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰4 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 54: Jinsi ya Kusoma Data Kutoka Database kwenye Django

Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 1: Jinsi ya ku install python

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.

Soma Zaidi...
Python somo la 46: Kutengeneza Fomu na Kuituma kwa Django Template

Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data

Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.

Soma Zaidi...
Python somo la 59: Kufanya Mahesabu (Aggregations) Katika Django

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza β€œdifference” kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika.

Soma Zaidi...