Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Encapsulation kwenye pyton

 


 

1. Encapsulation ni nini?

Encapsulation ni dhana ya kuficha data ya ndani ya object ili isiweze kufikiwa moja kwa moja kutoka nje ya class.

 


 

2. Kwanini Tunahitaji Encapsulation?

 


 

3. Viwango vya Ufikiaji (Access Levels)

Ili kufanikisha encapsulation, tunatumia viwango vya ufikiaji vya property na method kwenye class. Python hutoa viwango vitatu vya msingi:

a) Public

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Public Data"  # Public

 

obj = Example()

print(obj.data)  # Inaweza kufikiwa moja kwa moja

 

 

b) Protected

class Example:

    def __init__(self):

        self.data = "Protected Data"  # Private attribute

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj.data)  

 

Katika mfano huo tumeweza kuprint attribute data bila ya tatizo nje ya class. Huu ni mfano wa public. Lakini sasa hebu tufanye attribute data kuwa protected.

 

Mfano

class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Private attribute

 

# Kufikia private attribute moja kwa moja nje ya class

obj = Example()

print(obj._data)



Pia kuna namna ambavyo protected inaweza kutumika lakini sio njia inayoshauriwa kutumia yaani haipendezi.

Mfano:
class Example:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected

 

obj = Example()

print(obj._data)  # Inaweza kufikiwa lakini haipendekezwi

 

 

Mfano wa kurithi protected

class Parent:

    def __init__(self):

        self._data = "Protected Data"  # Protected attribute

 

    def display_data(self):

        print(f"Data from Parent: {self._data}")

 

class Child(Parent):

    def modify_data(self, new_data):

        self._data = new_data  # Accessing and modifying protected attribute

        print(f"Data modified in Child: {self._data}")

 

# Kutengeneza object ya Child class

child_obj = Child()

 

# Kufikia na kuonyesha protected attribute kupitia parent method

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: Protected Data

 

# Kufikia na kubadilisha protected attribute kupitia child method

child_obj.modify_data("New Protected Data")  # Output: Data modified in Child: New Protected Data

 

# Kuhakikisha mabadiliko yanadumu

child_obj.display_data()  # Output: Data from Parent: New Protected Data...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 216

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi
PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python
PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili
Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Soma Zaidi...
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi

Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la  14: Jinsi ya kutumia For loop
Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop

Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

Soma Zaidi...
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django

Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...