PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya variable na jinsi ya kuandika variable.

Variable tunaweza sema ni kitu ambacho kinabeba thamani ya kitu fulani, ama huwakilisha kitu fulani. Kwa mfano unaposena x  ni sawa na 7 hapo hiyo x ni variable na hiyo saba ni thamani.

 

Jinai ya kuandika variable na  kuipa  thamani (value).

  1. Kwanza utaandka jina la variable yako. Mfano jina

  2. Kisha itafuata alama ya sawasawa (=) alama hii kazi yake ni ku declare varibale yaani kuipa thamani varibale

  3. Kisha ndipo utaandika hiyo thamani ya variable yako. Mfano “juma” kumaanisha kuwa variable jina ilioajw aapo kipengene a, thamani yake ni juma. Kwenye python variable hiiitaonakena hivi jina = "juma"

 

 

 

Angalia mfano huu:

jina_la_kwanza = "juma"

jinalapili = "saidi"

umri = 34

print(jina_la_kwanza)

print(jinalapili)

print(umri) 

 

 

Variable hizi zitakupa matokeo haya:-

 

 

 

Sifa za variable kwenye python:

  1. Kwanza haitakiwi kuanza na special character kama @, #, $, %, ? na nyinginezo. Mfano #jina = ali hii sio sawa. Usawa wake ni jina =” ali”

  2. Unaweza kutumia underscore (_) mwanzoni mwa varibale badala ya kuanza na namba mfano _2023 

  3. Pili variable haitakiwi kuanza na namba. Mfan 2023 = “mwaka” hii sio sawa. Usawa wake iwe _2023

  4. Zingati herufi yaani neno “Jina” na neno “jina” haya ni maneno mawili tofauti mfanoVariable hizi ni mbili tofauti jina = "juma" ; JinA = "juma"

  5. Vyema kama variable yako ina maneno zaidi ya moja nganisha kwa kutumia underscore yaani (_) mfano jina_la_baba

  6. Ikiwa thamani ya variable ni neno ama maneneo ama herufi au alama basi zungushia kwa (“)  au kwa (‘) b mfano jina = “bongoclass” au jina = ‘tarzan’

  7. Endao variable ni namba basi hautaweka hizo alama za kuninu">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 442

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

    Post zinazofanana:

    PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 27: polymorphism kwneye python

    Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

    Soma Zaidi...
    PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika

    Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

    Soma Zaidi...
    Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

    Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

    Soma Zaidi...
    Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

    Soma Zaidi...
    PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python

    Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

    Soma Zaidi...
    Python somo la 21: Module katika python

    Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile

    Soma Zaidi...
    Python somo la 46: Kutengeneza Fomu na Kuituma kwa Django Template

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.

    Soma Zaidi...
    PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

    Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.

    Soma Zaidi...