PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya variable na jinsi ya kuandika variable.

Variable tunaweza sema ni kitu ambacho kinabeba thamani ya kitu fulani, ama huwakilisha kitu fulani. Kwa mfano unaposena x  ni sawa na 7 hapo hiyo x ni variable na hiyo saba ni thamani.

 

Jinai ya kuandika variable na  kuipa  thamani (value).

  1. Kwanza utaandka jina la variable yako. Mfano jina

  2. Kisha itafuata alama ya sawasawa (=) alama hii kazi yake ni ku declare varibale yaani kuipa thamani varibale

  3. Kisha ndipo utaandika hiyo thamani ya variable yako. Mfano “juma” kumaanisha kuwa variable jina ilioajw aapo kipengene a, thamani yake ni juma. Kwenye python variable hiiitaonakena hivi jina = "juma"

 

 

 

Angalia mfano huu:

jina_la_kwanza = "juma"

jinalapili = "saidi"

umri = 34

print(jina_la_kwanza)

print(jinalapili)

print(umri) 

 

 

Variable hizi zitakupa matokeo haya:-

 

 

 

Sifa za variable kwenye python:

  1. Kwanza haitakiwi kuanza na special character kama @, #, $, %, ? na nyinginezo. Mfano #jina = ali hii sio sawa. Usawa wake ni jina =” ali”

  2. Unaweza kutumia underscore (_) mwanzoni mwa varibale badala ya kuanza na namba mfano _2023 

  3. Pili variable haitakiwi kuanza na namba. Mfan 2023 = “mwaka” hii sio sawa. Usawa wake iwe _2023

  4. Zingati herufi yaani neno “Jina” na neno “jina” haya ni maneno mawili tofauti mfanoVariable hizi ni mbili tofauti jina = "juma" ; JinA = "juma"

  5. Vyema kama variable yako ina maneno zaidi ya moja nganisha kwa kutumia underscore yaani (_) mfano jina_la_baba

  6. Ikiwa thamani ya variable ni neno ama maneneo ama herufi au alama basi zungushia kwa (“)  au kwa (‘) b mfano jina = “bongoclass” au jina = ‘tarzan’

  7. Endao variable ni namba basi hautaweka hizo alama za kuninu">...

    Download Post hii hapa

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 417

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

    Post zinazofanana:

    Python somo la 34: Kutumia html kwneye python
    Python somo la 34: Kutumia html kwneye python

    Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python

    Soma Zaidi...
    Python somo la 48: Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
    Python somo la 48: Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

    Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

    Soma Zaidi...
    Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop
    Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

    Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

    Soma Zaidi...
    Python somo la 27: polymorphism kwneye python
    Python somo la 27: polymorphism kwneye python

    Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

    Soma Zaidi...
    PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator
    PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

    Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili
    Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

    Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

    Soma Zaidi...
    PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python
    PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 39: Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View
    Python somo la 39: Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

    Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

    Soma Zaidi...
    PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python
    PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python

    Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

    Soma Zaidi...
    Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function
    Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

    Soma Zaidi...