PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya variable na jinsi ya kuandika variable.
Variable tunaweza sema ni kitu ambacho kinabeba thamani ya kitu fulani, ama huwakilisha kitu fulani. Kwa mfano unaposena x ni sawa na 7 hapo hiyo x ni variable na hiyo saba ni thamani.
Jinai ya kuandika variable na kuipa thamani (value).
-
Kwanza utaandka jina la variable yako. Mfano jina
-
Kisha itafuata alama ya sawasawa (=) alama hii kazi yake ni ku declare varibale yaani kuipa thamani varibale
-
Kisha ndipo utaandika hiyo thamani ya variable yako. Mfano “juma” kumaanisha kuwa variable jina ilioajw aapo kipengene a, thamani yake ni juma. Kwenye python variable hiiitaonakena hivi jina = "juma"
Angalia mfano huu:
jina_la_kwanza = "juma"
jinalapili = "saidi"
umri = 34
print(jina_la_kwanza)
print(jinalapili)
print(umri)
Variable hizi zitakupa matokeo haya:-
.
Sifa za variable kwenye python:
-
Kwanza haitakiwi kuanza na special character kama @, #, $, %, ? na nyinginezo. Mfano #jina = ali hii sio sawa. Usawa wake ni jina =” ali”
-
Unaweza kutumia underscore (_) mwanzoni mwa varibale badala ya kuanza na namba mfano _2023
-
Pili variable haitakiwi kuanza na namba. Mfan 2023 = “mwaka” hii sio sawa. Usawa wake iwe _2023
-
Zingati herufi yaani neno “Jina” na neno “jina” haya ni maneno mawili tofauti mfanoVariable hizi ni mbili tofauti jina = "juma" ; JinA = "juma"
-
Vyema kama variable yako ina maneno zaidi ya moja nganisha kwa kutumia underscore yaani (_) mfano jina_la_baba
-
Ikiwa thamani ya variable ni neno ama maneneo ama herufi au alama basi zungushia kwa (“) au kwa (‘) b mfano jina = “bongoclass” au jina = ‘tarzan’
-
Endao va...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 kitabu cha Simulizi π5 web hosting π6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop
Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif
Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Python somo la 34: Kutumia html kwneye python
Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function
Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Python somo la 60: Hashing na Encryption kwenye Django
Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya hashing na encryption Jinsi ya kufunga packages muhimu Jinsi ya kufanya hashing kwa maneno ya kawaida (mfano βbongoclassβ) Jinsi ya kufanya encryption na decrypt kutumia Fernet Jinsi Django inahash password kupitia User model Mazoezi ya vitendo
Soma Zaidi...Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...