picha

PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya variable na jinsi ya kuandika variable.

Variable tunaweza sema ni kitu ambacho kinabeba thamani ya kitu fulani, ama huwakilisha kitu fulani. Kwa mfano unaposena x  ni sawa na 7 hapo hiyo x ni variable na hiyo saba ni thamani.

 

Jinai ya kuandika variable na  kuipa  thamani (value).

  1. Kwanza utaandka jina la variable yako. Mfano jina

  2. Kisha itafuata alama ya sawasawa (=) alama hii kazi yake ni ku declare varibale yaani kuipa thamani varibale

  3. Kisha ndipo utaandika hiyo thamani ya variable yako. Mfano “juma” kumaanisha kuwa variable jina ilioajw aapo kipengene a, thamani yake ni juma. Kwenye python variable hiiitaonakena hivi jina = "juma"

 

 

 

Angalia mfano huu:

jina_la_kwanza = "juma"

jinalapili = "saidi"

umri = 34

print(jina_la_kwanza)

print(jinalapili)

print(umri) 

 

 

Variable hizi zitakupa matokeo haya:-

 

 

 

Sifa za variable kwenye python:

  1. Kwanza haitakiwi kuanza na special character kama @, #, $, %, ? na nyinginezo. Mfano #jina = ali hii sio sawa. Usawa wake ni jina =” ali”

  2. Unaweza kutumia underscore (_) mwanzoni mwa varibale badala ya kuanza na namba mfano _2023 

  3. Pili variable haitakiwi kuanza na namba. Mfan 2023 = “mwaka” hii sio sawa. Usawa wake iwe _2023

  4. Zingati herufi yaani neno “Jina” na neno “jina” haya ni maneno mawili tofauti mfanoVariable hizi ni mbili tofauti jina = "juma" ; JinA = "juma"

  5. Vyema kama variable yako ina maneno zaidi ya moja nganisha kwa kutumia underscore yaani (_) mfano jina_la_baba

  6. Ikiwa thamani ya variable ni neno ama maneneo ama herufi au alama basi zungushia kwa (“)  au kwa (‘) b mfano jina = “bongoclass” au jina = ‘tarzan’

  7. Endao va...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 1166

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 ai web app     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 38: Kubadilisha landing page ya Django Framework

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.

Soma Zaidi...
PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

Soma Zaidi...
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 23: Library kwenye python

Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

Soma Zaidi...
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...