PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya variable na jinsi ya kuandika variable.

Variable tunaweza sema ni kitu ambacho kinabeba thamani ya kitu fulani, ama huwakilisha kitu fulani. Kwa mfano unaposena x  ni sawa na 7 hapo hiyo x ni variable na hiyo saba ni thamani.

 

Jinai ya kuandika variable na  kuipa  thamani (value).

  1. Kwanza utaandka jina la variable yako. Mfano jina

  2. Kisha itafuata alama ya sawasawa (=) alama hii kazi yake ni ku declare varibale yaani kuipa thamani varibale

  3. Kisha ndipo utaandika hiyo thamani ya variable yako. Mfano “juma” kumaanisha kuwa variable jina ilioajw aapo kipengene a, thamani yake ni juma. Kwenye python variable hiiitaonakena hivi jina = "juma"

 

 

 

Angalia mfano huu:

jina_la_kwanza = "juma"

jinalapili = "saidi"

umri = 34

print(jina_la_kwanza)

print(jinalapili)

print(umri) 

 

 

Variable hizi zitakupa matokeo haya:-

 

 

 

Sifa za variable kwenye python:

  1. Kwanza haitakiwi kuanza na special character kama @, #, $, %, ? na nyinginezo. Mfano #jina = ali hii sio sawa. Usawa wake ni jina =” ali”

  2. Unaweza kutumia underscore (_) mwanzoni mwa varibale badala ya kuanza na namba mfano _2023 

  3. Pili variable haitakiwi kuanza na namba. Mfan 2023 = “mwaka” hii sio sawa. Usawa wake iwe _2023

  4. Zingati herufi yaani neno “Jina” na neno “jina” haya ni maneno mawili tofauti mfanoVariable hizi ni mbili tofauti jina = "juma" ; JinA = "juma"

  5. Vyema kama variable yako ina maneno zaidi ya moja nganisha kwa kutumia underscore yaani (_) mfano jina_la_baba

  6. Ikiwa thamani ya variable ni neno ama maneneo ama herufi au alama basi zungushia kwa (“)  au kwa (‘) b mfano jina = “bongoclass” au jina = ‘tarzan’

  7. Endao variable ni namba basi hautaweka hizo alama za kuninu">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 548

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

    Post zinazofanana:

    Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

    Soma Zaidi...
    Python somo la 30: Data abstraction

    Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

    Soma Zaidi...
    Python somo la 27: polymorphism kwneye python

    Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

    Soma Zaidi...
    Python somo la 19: Aina za Function

    Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template

    Soma Zaidi...
    Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object

    Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 28: inheritance kwenye OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

    Soma Zaidi...
    PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

    Soma Zaidi...