Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Kuelewa jinsi Django inavyowasiliana na database.
Kufahamu maana ya ORM.
Kutambua aina ya databases zinazotumika.
Kuelewa dhana ya model kama mwakilishi wa jedwali kwenye database.
Django ni framework ya Python inayokuja na ORM (Object-Relational Mapper). Hii inamaanisha unaweza kuandika class za Python (zinazoitwa models) ambazo Django huzitafsiri kuwa mabehewa ya data (tables) kwenye database.
Kwa mfano:
class Chakula(models.Model):
jina = models.CharField(max_length=100)
bei = models.DecimalField(max_digits=6, decimal_places=2)
Model hiyo inaweza kuwa sawa na jedwali kwenye database lenye safu jina na bei.
ORM (Object-Relational Mapping) ni njia ya kubadilisha data kati ya mfumo wa OOP (kama Python classes) na relational database (kama SQLite au PostgreSQL).
Badala ya kuandika SQL kama:
INSERT INTO menu_item (jina, bei) VALUES ('Wali', 3500);
Ungeandika kwa Django:
MenuItem.objects.create(jina='Wali', bei=3500)
β‘οΈ Django inachukua hiyo code na inaigeuza kuwa SQL kwa nyuma yako.
Kwa chaguo la mwanzo (default), Django hutumia:
SQLite – ni database ya file moja. Hufaa kwa development au project ndogo.
Lakini unaweza kubadilisha na kutumia:
PostgreSQL – inapendekezwa kwa project kubwa.
MySQL
Oracle
Haya yote yanawezek">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya hashing na encryption Jinsi ya kufunga packages muhimu Jinsi ya kufanya hashing kwa maneno ya kawaida (mfano βbongoclassβ) Jinsi ya kufanya encryption na decrypt kutumia Fernet Jinsi Django inahash password kupitia User model Mazoezi ya vitendo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...