Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Kuelewa jinsi Django inavyowasiliana na database.
Kufahamu maana ya ORM.
Kutambua aina ya databases zinazotumika.
Kuelewa dhana ya model kama mwakilishi wa jedwali kwenye database.
Django ni framework ya Python inayokuja na ORM (Object-Relational Mapper). Hii inamaanisha unaweza kuandika class za Python (zinazoitwa models) ambazo Django huzitafsiri kuwa mabehewa ya data (tables) kwenye database.
Kwa mfano:
class Chakula(models.Model):
jina = models.CharField(max_length=100)
bei = models.DecimalField(max_digits=6, decimal_places=2)
Model hiyo inaweza kuwa sawa na jedwali kwenye database lenye safu jina
na bei
.
ORM (Object-Relational Mapping) ni njia ya kubadilisha data kati ya mfumo wa OOP (kama Python classes) na relational database (kama SQLite au PostgreSQL).
Badala ya kuandika SQL kama:
INSERT INTO menu_item (jina, bei) VALUES ('Wali', 3500);
Ungeandika kwa Django:
MenuItem.objects.create(jina='Wali', bei=3500)
➡️ Django inachukua hiyo code na inaigeuza kuwa SQL kwa nyuma yako.
Kwa chaguo la mwanzo (default), Django hutumia:
SQLite – ni database ya file moja. Hufaa kwa development au project ndogo.
Lakini unaweza kubadilisha na kutumia:
PostgreSQL – inapendekezwa kwa project kubwa.
MySQL
Oracle
Haya yote yanawezek">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...