picha

Python somo la 48: Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

πŸ”° Lengo la Somo

Katika somo hili, utajifunza:


 

πŸ“ŒKutumia JavaScript Katika Django Template

Ufafanuzi

Templates za Django hutoa HTML kwa mtumiaji, na ndani ya HTML unaweza kutumia JavaScript kwa njia mbili:

  1. Moja kwa moja kwenye template:

<script>
  alert("Karibu kwenye fomu yetu!");
</script>

  1. Kupitia static file:
    Unapaswa kuwa umeweka form.js ndani ya static/js/ ya app yako.

{% load static %}
<script src="{% static 'js/form.js' %}"></script>

Hii inasaidia kutenganisha HTML na JavaScript kwa ufanisi zaidi.


 

βœ… 2: Ku-Validate Fomu kwa JavaScript

Ufafanuzi

Validation ya JavaScript husaidia kuzuia data isiyo sahihi kutumwa kwa server. Hii huitwa client-side validation.

<form onsubmit="return validateForm()" method="post">
  {% csrf_token %}
  <label>Jina:</label>
  <input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
  
  <label>Ujumbe:</label>
  <textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
  
  <input type="submit" value="Tuma">
</form>

<script>
function validateForm() {
  let jina = document.getElementById("jina").value.trim();
  let ujumbe = document.getElementById("ujumbe").value.trim();

  if (jina === "" || ujumbe === "") {
    alert("Tafadhali jaza jina na ujumbe.");
    return false; // Zuia form isitume
  }

  return true; // Ruhusu kutuma
}
</script>

⚠️ Django bado itafanya validation upande wa server kupitia views.py, kwa usalama zaidi. 


 

πŸ’‘ Kuonyesha Taarifa Bila Kutuma (Preview)

Ufafanuzi

Mtumiaji anaweza kuona alichoandika kabla hajabonyeza Tuma:

<form id="formu">
  <label>Jina:</label>
  <input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
  
  <label>Ujumbe:</label>
  <textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
  
  <button type="button" onclick="previewData()">Angalia Taarifa</button>
  <input type="submit" value="Tuma">
</form>

<div id="preview">&l">
...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 Kazi ya request.POST.get('jina') ni ipi?
2 Kwa nini bado tunahitaji validation upande wa Django hata kama tumetumia JavaScript?
3 Ni ipi kati ya hizi ni sababu ya kutumia {% csrf_token %}?
4 Lengo kuu la client-side validation ni nini?
5 Ni sehemu gani JavaScript inaweza kuwekwa kwenye template ya Django?

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-05-25 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 724

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰4 ai web app    πŸ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 1: Jinsi ya ku install python

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data

Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.

Soma Zaidi...
Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Soma Zaidi...
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 52: Kutengeneza table na kufanya Migrations Katika Django

Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...