Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Katika somo hili, utajifunza:
β Jinsi ya kutumia JavaScript kwenye templates za Django.
β Kufanya form validation kwa upande wa client (JavaScript).
β Kuonyesha taarifa zilizojazwa kabla hazijatumwa kwa server.
β Njia bora ya kuweka JavaScript ndani ya fomu ya Django.
Templates za Django hutoa HTML kwa mtumiaji, na ndani ya HTML unaweza kutumia JavaScript kwa njia mbili:
Moja kwa moja kwenye template:
<script>
alert("Karibu kwenye fomu yetu!");
</script>
Kupitia static file:
Unapaswa kuwa umeweka form.js
ndani ya static/js/
ya app yako.
{% load static %}
<script src="{% static 'js/form.js' %}"></script>
Hii inasaidia kutenganisha HTML na JavaScript kwa ufanisi zaidi.
Validation ya JavaScript husaidia kuzuia data isiyo sahihi kutumwa kwa server. Hii huitwa client-side validation.
<form onsubmit="return validateForm()" method="post">
{% csrf_token %}
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<script>
function validateForm() {
let jina = document.getElementById("jina").value.trim();
let ujumbe = document.getElementById("ujumbe").value.trim();
if (jina === "" || ujumbe === "") {
alert("Tafadhali jaza jina na ujumbe.");
return false; // Zuia form isitume
}
return true; // Ruhusu kutuma
}
</script>
β οΈ Django bado itafanya validation upande wa server kupitia
views.py
, kwa usalama zaidi.
Mtumiaji anaweza kuona alichoandika kabla hajabonyeza Tuma:
<form id="formu">
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<button type="button" onclick="previewData()">Angalia Taarifa</button>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<div id="preview">&l">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...