Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Katika somo hili, utajifunza:
β Jinsi ya kutumia JavaScript kwenye templates za Django.
β Kufanya form validation kwa upande wa client (JavaScript).
β Kuonyesha taarifa zilizojazwa kabla hazijatumwa kwa server.
β Njia bora ya kuweka JavaScript ndani ya fomu ya Django.
Templates za Django hutoa HTML kwa mtumiaji, na ndani ya HTML unaweza kutumia JavaScript kwa njia mbili:
Moja kwa moja kwenye template:
<script>
alert("Karibu kwenye fomu yetu!");
</script>
Kupitia static file:
Unapaswa kuwa umeweka form.js ndani ya static/js/ ya app yako.
{% load static %}
<script src="{% static 'js/form.js' %}"></script>
Hii inasaidia kutenganisha HTML na JavaScript kwa ufanisi zaidi.
Validation ya JavaScript husaidia kuzuia data isiyo sahihi kutumwa kwa server. Hii huitwa client-side validation.
<form onsubmit="return validateForm()" method="post">
{% csrf_token %}
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<script>
function validateForm() {
let jina = document.getElementById("jina").value.trim();
let ujumbe = document.getElementById("ujumbe").value.trim();
if (jina === "" || ujumbe === "") {
alert("Tafadhali jaza jina na ujumbe.");
return false; // Zuia form isitume
}
return true; // Ruhusu kutuma
}
</script>
β οΈ Django bado itafanya validation upande wa server kupitia
views.py, kwa usalama zaidi.
Mtumiaji anaweza kuona alichoandika kabla hajabonyeza Tuma:
<form id="formu">
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<button type="button" onclick="previewData()">Angalia Taarifa</button>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<div id="preview">&l">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Soma Zaidi...