Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Katika somo hili, utajifunza:
β Jinsi ya kutumia JavaScript kwenye templates za Django.
β Kufanya form validation kwa upande wa client (JavaScript).
β Kuonyesha taarifa zilizojazwa kabla hazijatumwa kwa server.
β Njia bora ya kuweka JavaScript ndani ya fomu ya Django.
Templates za Django hutoa HTML kwa mtumiaji, na ndani ya HTML unaweza kutumia JavaScript kwa njia mbili:
Moja kwa moja kwenye template:
<script>
alert("Karibu kwenye fomu yetu!");
</script>
Kupitia static file:
Unapaswa kuwa umeweka form.js
ndani ya static/js/
ya app yako.
{% load static %}
<script src="{% static 'js/form.js' %}"></script>
Hii inasaidia kutenganisha HTML na JavaScript kwa ufanisi zaidi.
Validation ya JavaScript husaidia kuzuia data isiyo sahihi kutumwa kwa server. Hii huitwa client-side validation.
<form onsubmit="return validateForm()" method="post">
{% csrf_token %}
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<script>
function validateForm() {
let jina = document.getElementById("jina").value.trim();
let ujumbe = document.getElementById("ujumbe").value.trim();
if (jina === "" || ujumbe === "") {
alert("Tafadhali jaza jina na ujumbe.");
return false; // Zuia form isitume
}
return true; // Ruhusu kutuma
}
</script>
β οΈ Django bado itafanya validation upande wa server kupitia
views.py
, kwa usalama zaidi.
Mtumiaji anaweza kuona alichoandika kabla hajabonyeza Tuma:
<form id="formu">
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<button type="button" onclick="previewData()">Angalia Taarifa</button>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<div id="preview">&l">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...