Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Katika somo hili, utajifunza:
β Jinsi ya kutumia JavaScript kwenye templates za Django.
β Kufanya form validation kwa upande wa client (JavaScript).
β Kuonyesha taarifa zilizojazwa kabla hazijatumwa kwa server.
β Njia bora ya kuweka JavaScript ndani ya fomu ya Django.
Templates za Django hutoa HTML kwa mtumiaji, na ndani ya HTML unaweza kutumia JavaScript kwa njia mbili:
Moja kwa moja kwenye template:
<script>
alert("Karibu kwenye fomu yetu!");
</script>
Kupitia static file:
Unapaswa kuwa umeweka form.js ndani ya static/js/ ya app yako.
{% load static %}
<script src="{% static 'js/form.js' %}"></script>
Hii inasaidia kutenganisha HTML na JavaScript kwa ufanisi zaidi.
Validation ya JavaScript husaidia kuzuia data isiyo sahihi kutumwa kwa server. Hii huitwa client-side validation.
<form onsubmit="return validateForm()" method="post">
{% csrf_token %}
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<script>
function validateForm() {
let jina = document.getElementById("jina").value.trim();
let ujumbe = document.getElementById("ujumbe").value.trim();
if (jina === "" || ujumbe === "") {
alert("Tafadhali jaza jina na ujumbe.");
return false; // Zuia form isitume
}
return true; // Ruhusu kutuma
}
</script>
β οΈ Django bado itafanya validation upande wa server kupitia
views.py, kwa usalama zaidi.
Mtumiaji anaweza kuona alichoandika kabla hajabonyeza Tuma:
<form id="formu">
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<button type="button" onclick="previewData()">Angalia Taarifa</button>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<div id="preview">&l">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Soma Zaidi...