picha

Python somo la 48: Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

πŸ”° Lengo la Somo

Katika somo hili, utajifunza:


 

πŸ“ŒKutumia JavaScript Katika Django Template

Ufafanuzi

Templates za Django hutoa HTML kwa mtumiaji, na ndani ya HTML unaweza kutumia JavaScript kwa njia mbili:

  1. Moja kwa moja kwenye template:

<script>
  alert("Karibu kwenye fomu yetu!");
</script>

  1. Kupitia static file:
    Unapaswa kuwa umeweka form.js ndani ya static/js/ ya app yako.

{% load static %}
<script src="{% static 'js/form.js' %}"></script>

Hii inasaidia kutenganisha HTML na JavaScript kwa ufanisi zaidi.


 

βœ… 2: Ku-Validate Fomu kwa JavaScript

Ufafanuzi

Validation ya JavaScript husaidia kuzuia data isiyo sahihi kutumwa kwa server. Hii huitwa client-side validation.

<form onsubmit="return validateForm()" method="post">
  {% csrf_token %}
  <label>Jina:</label>
  <input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
  
  <label>Ujumbe:</label>
  <textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
  
  <input type="submit" value="Tuma">
</form>

<script>
function validateForm() {
  let jina = document.getElementById("jina").value.trim();
  let ujumbe = document.getElementById("ujumbe").value.trim();

  if (jina === "" || ujumbe === "") {
    alert("Tafadhali jaza jina na ujumbe.");
    return false; // Zuia form isitume
  }

  return true; // Ruhusu kutuma
}
</script>

⚠️ Django bado itafanya validation upande wa server kupitia views.py, kwa usalama zaidi. 


 

πŸ’‘ Kuonyesha Taarifa Bila Kutuma (Preview)

Ufafanuzi

Mtumiaji anaweza kuona alichoandika kabla hajabonyeza Tuma:

<form id="formu">
  <label>Jina:</label>
  <input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
  
  <label>Ujumbe:</label>
  <textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
  
  <button type="button" onclick="previewData()">Angalia Taarifa</button>
  <input type="submit" value="Tuma">
</form>

<div id="preview">&l">
...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 Kwa nini bado tunahitaji validation upande wa Django hata kama tumetumia JavaScript?
2 Ni sehemu gani JavaScript inaweza kuwekwa kwenye template ya Django?
3 Lengo kuu la client-side validation ni nini?
4 Kazi ya request.POST.get('jina') ni ipi?
5 Ni ipi kati ya hizi ni sababu ya kutumia {% csrf_token %}?

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-05-25 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 680

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰2 web hosting    πŸ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰5 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django

Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template

Soma Zaidi...
Python somo la 39: Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Soma Zaidi...
Python somo la 27: polymorphism kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python

Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 53: Kutengeneza HTML Form na Django View kwa ajili ya kuingiza data

Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop

Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python

Soma Zaidi...