Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Katika somo hili, utajifunza:
β Jinsi ya kutumia JavaScript kwenye templates za Django.
β Kufanya form validation kwa upande wa client (JavaScript).
β Kuonyesha taarifa zilizojazwa kabla hazijatumwa kwa server.
β Njia bora ya kuweka JavaScript ndani ya fomu ya Django.
Templates za Django hutoa HTML kwa mtumiaji, na ndani ya HTML unaweza kutumia JavaScript kwa njia mbili:
Moja kwa moja kwenye template:
<script>
alert("Karibu kwenye fomu yetu!");
</script>
Kupitia static file:
Unapaswa kuwa umeweka form.js ndani ya static/js/ ya app yako.
{% load static %}
<script src="{% static 'js/form.js' %}"></script>
Hii inasaidia kutenganisha HTML na JavaScript kwa ufanisi zaidi.
Validation ya JavaScript husaidia kuzuia data isiyo sahihi kutumwa kwa server. Hii huitwa client-side validation.
<form onsubmit="return validateForm()" method="post">
{% csrf_token %}
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<script>
function validateForm() {
let jina = document.getElementById("jina").value.trim();
let ujumbe = document.getElementById("ujumbe").value.trim();
if (jina === "" || ujumbe === "") {
alert("Tafadhali jaza jina na ujumbe.");
return false; // Zuia form isitume
}
return true; // Ruhusu kutuma
}
</script>
β οΈ Django bado itafanya validation upande wa server kupitia
views.py, kwa usalama zaidi.
Mtumiaji anaweza kuona alichoandika kabla hajabonyeza Tuma:
<form id="formu">
<label>Jina:</label>
<input type="text" id="jina" name="jina"><br><br>
<label>Ujumbe:</label>
<textarea id="ujumbe" name="ujumbe"></textarea><br><br>
<button type="button" onclick="previewData()">Angalia Taarifa</button>
<input type="submit" value="Tuma">
</form>
<div id="preview">&l">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...