Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Django Templates hutoa uwezo mkubwa wa kutumia masharti (conditions) na mizunguko (loops) moja kwa moja kwenye HTML. Somo hili linakuonyesha namna ya kutumia {% if %}
, {% for %}
, na vipengele vya ziada kama forloop.counter
na forloop.first
.
{% if %}
, {% elif %}
, na {% else %}
Masharti hutumika kufanya maamuzi kulingana na thamani au hali ya data.
{% if jina == "Django" %}
<p>Jina ni Django!</p>
{% endif %}
{% if jina %}
<p>Jina lako ni {{ jina }}</p>
{% else %}
<p>Hakuna jina lililowekwa.</p>
{% endif %}
elif
{% if muda < 5 %}
<p>Kozi ni fupi.</p>
{% elif muda == 5 %}
<p>Kozi ya wastani.</p>
{% else %}
<p>Kozi ni ndefu.</p>
{% endif %}
length
, divisibleby
){% if jina|length > 10 %}
<p>Jina lako ni refu sana!</p>
{% endif %}
{% if idadi|divisibleby:2 %}
<p>{{ idadi }} ni namba shufwa.</p>
{% endif %}
{% for %}
LoopLoops hutumika kurudia items katika listi, dictionary, au queryset kutoka kwenye views.
# views.py
context = {
'majina': ["Juma", "Asha", "Mohamed", "Elena"]
}
<ul>
{% for jina in majina %}
<li>{{ jina }}</li>
{% endfor %}
</ul>
<ol>
{% for jina in majina %}
<li>Mwanafunzi {{ forloop.counter }}: {{ jina }}</li>
{% endfor %}
</ol>
# views.py
context = {
'wanafunzi': {
'Juma': 85,
'Asha': 92,
'Mohamed': 78,
}
}
<table border="1">
<tr>
<th>Jina</th>
<th>Alama</th>
</tr>
{% for jina, alama in wanafunzi.items %}
<tr>
<td>{{ jina }}</td>
<td>{{ alama }}</td>
</tr>
{% endfor %}
</table>
# views.py
context = {
'bidhaa': [
{"jina": "Mkate", "bei": 500},
{"jina": "Sukari", "bei": 1200},
{"">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...