Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Django Templates hutoa uwezo mkubwa wa kutumia masharti (conditions) na mizunguko (loops) moja kwa moja kwenye HTML. Somo hili linakuonyesha namna ya kutumia {% if %}, {% for %}, na vipengele vya ziada kama forloop.counter na forloop.first.
{% if %}, {% elif %}, na {% else %}Masharti hutumika kufanya maamuzi kulingana na thamani au hali ya data.
{% if jina == "Django" %}
<p>Jina ni Django!</p>
{% endif %}
{% if jina %}
<p>Jina lako ni {{ jina }}</p>
{% else %}
<p>Hakuna jina lililowekwa.</p>
{% endif %}
elif{% if muda < 5 %}
<p>Kozi ni fupi.</p>
{% elif muda == 5 %}
<p>Kozi ya wastani.</p>
{% else %}
<p>Kozi ni ndefu.</p>
{% endif %}
length, divisibleby){% if jina|length > 10 %}
<p>Jina lako ni refu sana!</p>
{% endif %}
{% if idadi|divisibleby:2 %}
<p>{{ idadi }} ni namba shufwa.</p>
{% endif %}
{% for %} LoopLoops hutumika kurudia items katika listi, dictionary, au queryset kutoka kwenye views.
# views.py
context = {
'majina': ["Juma", "Asha", "Mohamed", "Elena"]
}
<ul>
{% for jina in majina %}
<li>{{ jina }}</li>
{% endfor %}
</ul>
<ol>
{% for jina in majina %}
<li>Mwanafunzi {{ forloop.counter }}: {{ jina }}</li>
{% endfor %}
</ol>
# views.py
context = {
'wanafunzi': {
'Juma': 85,
'Asha': 92,
'Mohamed': 78,
}
}
<table border="1">
<tr>
<th>Jina</th>
<th>Alama</th>
</tr>
{% for jina, alama in wanafunzi.items %}
<tr>
<td>{{ jina }}</td>
<td>{{ alama }}</td>
</tr>
{% endfor %}
</table>
# views.py
context = {
'bidhaa': [
{"jina": "Mkate", "bei": 500},
{"jina": "Sukari", "bei": 1200},
{"">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...