Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Django Templates hutoa uwezo mkubwa wa kutumia masharti (conditions) na mizunguko (loops) moja kwa moja kwenye HTML. Somo hili linakuonyesha namna ya kutumia {% if %}, {% for %}, na vipengele vya ziada kama forloop.counter na forloop.first.
{% if %}, {% elif %}, na {% else %}Masharti hutumika kufanya maamuzi kulingana na thamani au hali ya data.
{% if jina == "Django" %}
<p>Jina ni Django!</p>
{% endif %}
{% if jina %}
<p>Jina lako ni {{ jina }}</p>
{% else %}
<p>Hakuna jina lililowekwa.</p>
{% endif %}
elif{% if muda < 5 %}
<p>Kozi ni fupi.</p>
{% elif muda == 5 %}
<p>Kozi ya wastani.</p>
{% else %}
<p>Kozi ni ndefu.</p>
{% endif %}
length, divisibleby){% if jina|length > 10 %}
<p>Jina lako ni refu sana!</p>
{% endif %}
{% if idadi|divisibleby:2 %}
<p>{{ idadi }} ni namba shufwa.</p>
{% endif %}
{% for %} LoopLoops hutumika kurudia items katika listi, dictionary, au queryset kutoka kwenye views.
# views.py
context = {
'majina': ["Juma", "Asha", "Mohamed", "Elena"]
}
<ul>
{% for jina in majina %}
<li>{{ jina }}</li>
{% endfor %}
</ul>
<ol>
{% for jina in majina %}
<li>Mwanafunzi {{ forloop.counter }}: {{ jina }}</li>
{% endfor %}
</ol>
# views.py
context = {
'wanafunzi': {
'Juma': 85,
'Asha': 92,
'Mohamed': 78,
}
}
<table border="1">
<tr>
<th>Jina</th>
<th>Alama</th>
</tr>
{% for jina, alama in wanafunzi.items %}
<tr>
<td>{{ jina }}</td>
<td>{{ alama }}</td>
</tr>
{% endfor %}
</table>
# views.py
context = {
'bidhaa': [
{"jina": "Mkate", "bei": 500},
{"jina": "Sukari", "bei": 1200},
{"">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...