Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Template tags ni alama maalum katika Django zinazotumika ndani ya faili za HTML ili kuongeza uwezo wa template kufanya kazi za kimantiki (logic) kama kurudia data, kuchagua vipengele vya kuonyesha, na kupanga maudhui kwa ustadi. Tags hizi huwekwa kati ya alama za {% ... %}.
Django template tags hutumika kuboresha frontend kwa kudhibiti jinsi data inavyowasilishwa kwa mtumiaji, bila kuandika Python moja kwa moja kwenye HTML.
🔁 Kuepuka kurudia code (DRY Principle) – Unaweza kurithi na kujumuisha templates tofauti kwa urahisi.
🎯 Kuweka logic ndogo kwenye HTML – Kama if, for, nk.
🧠 Kuwezesha usanifu bora wa kurasa – Kupitia block, extends, nk.
🛠️ Kupanga vizuri mafaili ya static – CSS, JS, na picha kupitia static.
{% extends %}Hutumiwa kurithi template nyingine, mara nyingi base.html.
🔍 Mfano:
{% extends "base.html" %}
{% block %}...{% endblock %}Huonyesha sehemu ya template inayojazwa na content ya template nyingine inayorithi.
🔍 Mfano:
{% block content %}
<h1>Karibu kwenye Tovuti Yetu!</h1>
{% endblock %}
{% load static %}Hutumika kupakia mafaili ya static kama vile CSS, JS au picha.
🔍 Mfano:
{% load static %}
<link rel="stylesheet" href="{% static 'css/style.css' %}">
{% include %}Huongeza kipande cha template kutoka faili nyingine (mfano navbar.html au footer.html).
🔍 Mfano:
{% include "partials/navbar.html" %}
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...