Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Katika Django, view ni kipande cha Python code kinachoamua nini kionyeshwe kwa mtumiaji. View inaweza:
Kutoa HTML moja kwa moja
Kutuma template ya HTML
Kutuma data ya Python kwenda template ya HTML
# views.py
from django.shortcuts import render
def home(request):
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
return render(request, 'menu/home.html', context)
Kuweka import statement:
from django.shortcuts import render
Hii inaiambia Python kwamba tunataka kutumia render()
, function maalum ya Django inayosaidia kutuma template pamoja na data kutoka kwa server kwenda kwa browser.
Kutengeneza view function:
def home(request):
Hapa tunatengeneza view function iitwayo home
. Hii function itaitwa kila mara mtumiaji anapotembelea URL inayohusishwa nayo.
request
ni parameter inayopokea taarifa zote kuhusu maombi ya mtumiaji (kama vile browser aliyotumia, aina ya ombi - GET/POST, n.k).
Kutengeneza context:
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
Hapa tunatengeneza kitu kinachoitwa context
- ni dictionary ya Python yenye key-value pairs.
Key (kushoto): ndiyo jina tutakalotumia kwenye template
Value (kulia): ndiyo data halisi itakayoonyeshwa.
Mfano: {{ jina }}
kwenye template itabadilishwa kuwa "Bongoclass".
Kutumia render():
return render(request, 'menu/home.html', context)
Function ya render()
hufanya mambo haya:
Inapokea request ya mtumiaji
Inachukua template file ya menu/home.html
Inachanganya na data kutoka context
Inatengeneza HTML kamili na kuipeleka kwa mtumiaji
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>{{ jina }}</title>
</head>
<body>
<h1>Karibu {{ jina }}</h1>
<p>Tovuti yetu: <a href="https://{{ doma">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...