Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Katika Django, view ni kipande cha Python code kinachoamua nini kionyeshwe kwa mtumiaji. View inaweza:
Kutoa HTML moja kwa moja
Kutuma template ya HTML
Kutuma data ya Python kwenda template ya HTML
# views.py
from django.shortcuts import render
def home(request):
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
return render(request, 'menu/home.html', context)
Kuweka import statement:
from django.shortcuts import render
Hii inaiambia Python kwamba tunataka kutumia render()
, function maalum ya Django inayosaidia kutuma template pamoja na data kutoka kwa server kwenda kwa browser.
Kutengeneza view function:
def home(request):
Hapa tunatengeneza view function iitwayo home
. Hii function itaitwa kila mara mtumiaji anapotembelea URL inayohusishwa nayo.
request
ni parameter inayopokea taarifa zote kuhusu maombi ya mtumiaji (kama vile browser aliyotumia, aina ya ombi - GET/POST, n.k).
Kutengeneza context:
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
Hapa tunatengeneza kitu kinachoitwa context
- ni dictionary ya Python yenye key-value pairs.
Key (kushoto): ndiyo jina tutakalotumia kwenye template
Value (kulia): ndiyo data halisi itakayoonyeshwa.
Mfano: {{ jina }}
kwenye template itabadilishwa kuwa "Bongoclass".
Kutumia render():
return render(request, 'menu/home.html', context)
Function ya render()
hufanya mambo haya:
Inapokea request ya mtumiaji
Inachukua template file ya menu/home.html
Inachanganya na data kutoka context
Inatengeneza HTML kamili na kuipeleka kwa mtumiaji
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>{{ jina }}</title>
</head>
<body>
<h1>Karibu {{ jina }}</h1>
<p>Tovuti yetu: <a href="https://{{ doma">
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...