Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Katika Django, view ni kipande cha Python code kinachoamua nini kionyeshwe kwa mtumiaji. View inaweza:
Kutoa HTML moja kwa moja
Kutuma template ya HTML
Kutuma data ya Python kwenda template ya HTML
# views.py
from django.shortcuts import render
def home(request):
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
return render(request, 'menu/home.html', context)
Kuweka import statement:
from django.shortcuts import render
Hii inaiambia Python kwamba tunataka kutumia render(), function maalum ya Django inayosaidia kutuma template pamoja na data kutoka kwa server kwenda kwa browser.
Kutengeneza view function:
def home(request):
Hapa tunatengeneza view function iitwayo home. Hii function itaitwa kila mara mtumiaji anapotembelea URL inayohusishwa nayo.
request ni parameter inayopokea taarifa zote kuhusu maombi ya mtumiaji (kama vile browser aliyotumia, aina ya ombi - GET/POST, n.k).
Kutengeneza context:
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
Hapa tunatengeneza kitu kinachoitwa context - ni dictionary ya Python yenye key-value pairs.
Key (kushoto): ndiyo jina tutakalotumia kwenye template
Value (kulia): ndiyo data halisi itakayoonyeshwa.
Mfano: {{ jina }} kwenye template itabadilishwa kuwa "Bongoclass".
Kutumia render():
return render(request, 'menu/home.html', context)
Function ya render() hufanya mambo haya:
Inapokea request ya mtumiaji
Inachukua template file ya menu/home.html
Inachanganya na data kutoka context
Inatengeneza HTML kamili na kuipeleka kwa mtumiaji
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>{{ jina }}</title>
</head>
<body>
<h1>Karibu {{ jina }}</h1>
<p>Tovuti yetu: <a href="https://{{ doma">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza: Tofauti kati ya hashing na encryption Jinsi ya kufunga packages muhimu Jinsi ya kufanya hashing kwa maneno ya kawaida (mfano βbongoclassβ) Jinsi ya kufanya encryption na decrypt kutumia Fernet Jinsi Django inahash password kupitia User model Mazoezi ya vitendo
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...