Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Katika Django, view ni kipande cha Python code kinachoamua nini kionyeshwe kwa mtumiaji. View inaweza:
Kutoa HTML moja kwa moja
Kutuma template ya HTML
Kutuma data ya Python kwenda template ya HTML
# views.py
from django.shortcuts import render
def home(request):
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
return render(request, 'menu/home.html', context)
Kuweka import statement:
from django.shortcuts import render
Hii inaiambia Python kwamba tunataka kutumia render(), function maalum ya Django inayosaidia kutuma template pamoja na data kutoka kwa server kwenda kwa browser.
Kutengeneza view function:
def home(request):
Hapa tunatengeneza view function iitwayo home. Hii function itaitwa kila mara mtumiaji anapotembelea URL inayohusishwa nayo.
request ni parameter inayopokea taarifa zote kuhusu maombi ya mtumiaji (kama vile browser aliyotumia, aina ya ombi - GET/POST, n.k).
Kutengeneza context:
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
Hapa tunatengeneza kitu kinachoitwa context - ni dictionary ya Python yenye key-value pairs.
Key (kushoto): ndiyo jina tutakalotumia kwenye template
Value (kulia): ndiyo data halisi itakayoonyeshwa.
Mfano: {{ jina }} kwenye template itabadilishwa kuwa "Bongoclass".
Kutumia render():
return render(request, 'menu/home.html', context)
Function ya render() hufanya mambo haya:
Inapokea request ya mtumiaji
Inachukua template file ya menu/home.html
Inachanganya na data kutoka context
Inatengeneza HTML kamili na kuipeleka kwa mtumiaji
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>{{ jina }}</title>
</head>
<body>
<h1>Karibu {{ jina }}</h1>
<p>Tovuti yetu: <a href="https://{{ doma">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...