Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Katika Django, view ni kipande cha Python code kinachoamua nini kionyeshwe kwa mtumiaji. View inaweza:
Kutoa HTML moja kwa moja
Kutuma template ya HTML
Kutuma data ya Python kwenda template ya HTML
# views.py
from django.shortcuts import render
def home(request):
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
return render(request, 'menu/home.html', context)
Kuweka import statement:
from django.shortcuts import render
Hii inaiambia Python kwamba tunataka kutumia render(), function maalum ya Django inayosaidia kutuma template pamoja na data kutoka kwa server kwenda kwa browser.
Kutengeneza view function:
def home(request):
Hapa tunatengeneza view function iitwayo home. Hii function itaitwa kila mara mtumiaji anapotembelea URL inayohusishwa nayo.
request ni parameter inayopokea taarifa zote kuhusu maombi ya mtumiaji (kama vile browser aliyotumia, aina ya ombi - GET/POST, n.k).
Kutengeneza context:
context = {
'jina': 'Bongoclass',
'muda': 4,
'domain': 'bongoclass.com',
'course': 'Python - Django',
'gharama': 'SHILINGI 30,000',
'room': 'online',
}
Hapa tunatengeneza kitu kinachoitwa context - ni dictionary ya Python yenye key-value pairs.
Key (kushoto): ndiyo jina tutakalotumia kwenye template
Value (kulia): ndiyo data halisi itakayoonyeshwa.
Mfano: {{ jina }} kwenye template itabadilishwa kuwa "Bongoclass".
Kutumia render():
return render(request, 'menu/home.html', context)
Function ya render() hufanya mambo haya:
Inapokea request ya mtumiaji
Inachukua template file ya menu/home.html
Inachanganya na data kutoka context
Inatengeneza HTML kamili na kuipeleka kwa mtumiaji
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>{{ jina }}</title>
</head>
<body>
<h1>Karibu {{ jina }}</h1>
<p>Tovuti yetu: <a href="https://{{ doma">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...