picha

Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Jinsi ya Kuweka (Deploy) Django Project Kwenye PythonAnywhere – Hatua za Lazima Tu

Somo hili linaeleza hatua za lazima za kuchapisha Django project mtandaoni kwa kutumia PythonAnywhere. Tutatumia Bash Console, Virtual Environment, na GitHub (au upload ya project). Video nzima ya somo hili utaipata hapa https://bongoclass.com/learn/play/b8c833192312b34f08ab8327458f539054d97ac6

 


🛠️ HATUA YA 1: Andaa Project Yako Kimtandao

🔹 1.1 — Unda requirements.txt

Ikiwa tayari una Django project kwenye kompyuta yako, fungua terminal (cmd/bash), ingia kwenye folder la project, na andika:

pip freeze > requirements.txt

➡️ Hii itaweka list ya packages zote ulizotumia (kama Django, Pillow, etc) kwenye faili la requirements.txt ili ziweze kusanikwa baadaye kwenye server ya PythonAnywhere.


 

🌐 HATUA YA 2: Upload Project au Clone Kutoka GitHub

Una chaguzi 2 hapa:

🔹 2.1 — Upload Files Moja kwa Moja

Fungua PythonAnywhere, login, nenda kwenye Files tab, bonyeza Upload, na weka project yako (zip au folder moja moja).

AU

🔹 2.2 — Clone Kutoka GitHub kwa Bash Console

Fungua Consoles > Bash, kisha clone repo yako:

git clone https://github.com/jinalako/projectyako.git

Mfano:

git clone https://github.com/skyclassbongo/pybongo.git

➡️ Hii itaweka project kwenye folder lenye jina la project.


 

🐍 HATUA YA 3: Tengeneza Virtual Environment

python3.10 -m venv venv

➡️ Hii inaweka mazingira ya kujitegemea ya Python kwa ajili ya project yako (venv).


 

🔥 HATUA YA 4: Activate Virtual Environment

source venv/bin/activate

➡️ Baada ya hapa, unaweza kusanikisha Django na mahitaji yako mengine.


 

📦 HATUA YA 5: Install Mahitaji kutoka requirements.txt

pip install -r yourproject/requirements.txt

Mfano:

pip install -r pybongo/requirements.txt

 

⚙️ HATUA YA 6: Tayarisha wsgi.py na settings.py

Angalia kama wsgi.py (ndani ya folder la project) lina">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-05-27 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 681

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 61: Jinsi ya kutuma email kwenye django

Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.

Soma Zaidi...
PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 23: Library kwenye python

Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

Soma Zaidi...
Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu

Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.

Soma Zaidi...
Python somo la 28: inheritance kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.

Soma Zaidi...