Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Jinsi ya Kuweka (Deploy) Django Project Kwenye PythonAnywhere – Hatua za Lazima Tu
Somo hili linaeleza hatua za lazima za kuchapisha Django project mtandaoni kwa kutumia PythonAnywhere. Tutatumia Bash Console, Virtual Environment, na GitHub (au upload ya project). Video nzima ya somo hili utaipata hapa https://bongoclass.com/learn/play/b8c833192312b34f08ab8327458f539054d97ac6
requirements.txtIkiwa tayari una Django project kwenye kompyuta yako, fungua terminal (cmd/bash), ingia kwenye folder la project, na andika:
pip freeze > requirements.txt
➡️ Hii itaweka list ya packages zote ulizotumia (kama Django, Pillow, etc) kwenye faili la requirements.txt ili ziweze kusanikwa baadaye kwenye server ya PythonAnywhere.
Una chaguzi 2 hapa:
Fungua PythonAnywhere, login, nenda kwenye Files tab, bonyeza Upload, na weka project yako (zip au folder moja moja).
AU
Fungua Consoles > Bash, kisha clone repo yako:
git clone https://github.com/jinalako/projectyako.git
Mfano:
git clone https://github.com/skyclassbongo/pybongo.git
➡️ Hii itaweka project kwenye folder lenye jina la project.
python3.10 -m venv venv
➡️ Hii inaweka mazingira ya kujitegemea ya Python kwa ajili ya project yako (venv).
source venv/bin/activate
➡️ Baada ya hapa, unaweza kusanikisha Django na mahitaji yako mengine.
requirements.txtpip install -r yourproject/requirements.txt
Mfano:
pip install -r pybongo/requirements.txt
wsgi.py na settings.pyAngalia kama wsgi.py (ndani ya folder la project) lina">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...