Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Jinsi ya Kuweka (Deploy) Django Project Kwenye PythonAnywhere – Hatua za Lazima Tu

Somo hili linaeleza hatua za lazima za kuchapisha Django project mtandaoni kwa kutumia PythonAnywhere. Tutatumia Bash Console, Virtual Environment, na GitHub (au upload ya project). Video nzima ya somo hili utaipata hapa https://bongoclass.com/learn/play/b8c833192312b34f08ab8327458f539054d97ac6

 


🛠️ HATUA YA 1: Andaa Project Yako Kimtandao

🔹 1.1 — Unda requirements.txt

Ikiwa tayari una Django project kwenye kompyuta yako, fungua terminal (cmd/bash), ingia kwenye folder la project, na andika:

pip freeze > requirements.txt

➡️ Hii itaweka list ya packages zote ulizotumia (kama Django, Pillow, etc) kwenye faili la requirements.txt ili ziweze kusanikwa baadaye kwenye server ya PythonAnywhere.


 

🌐 HATUA YA 2: Upload Project au Clone Kutoka GitHub

Una chaguzi 2 hapa:

🔹 2.1 — Upload Files Moja kwa Moja

Fungua PythonAnywhere, login, nenda kwenye Files tab, bonyeza Upload, na weka project yako (zip au folder moja moja).

AU

🔹 2.2 — Clone Kutoka GitHub kwa Bash Console

Fungua Consoles > Bash, kisha clone repo yako:

git clone https://github.com/jinalako/projectyako.git

Mfano:

git clone https://github.com/skyclassbongo/pybongo.git

➡️ Hii itaweka project kwenye folder lenye jina la project.


 

🐍 HATUA YA 3: Tengeneza Virtual Environment

python3.10 -m venv venv

➡️ Hii inaweka mazingira ya kujitegemea ya Python kwa ajili ya project yako (venv).


 

🔥 HATUA YA 4: Activate Virtual Environment

source venv/bin/activate

➡️ Baada ya hapa, unaweza kusanikisha Django na mahitaji yako mengine.


 

📦 HATUA YA 5: Install Mahitaji kutoka requirements.txt

pip install -r yourproject/requirements.txt

Mfano:

pip install -r pybongo/requirements.txt

 

⚙️ HATUA YA 6: Tayarisha wsgi.py na settings.py

Angalia kama wsgi.py (ndani ya folder la project) lina">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 445

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Soma Zaidi...
Python somo la 50: database kwneye django

Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model

Soma Zaidi...
Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu

Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django

Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template

Soma Zaidi...
Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template

Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 21: Module katika python

Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile

Soma Zaidi...
Python somo la 47: Jinsi ya kupokea na kuchakata fomu

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu

Soma Zaidi...