Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Jinsi ya Kuweka (Deploy) Django Project Kwenye PythonAnywhere – Hatua za Lazima Tu

Somo hili linaeleza hatua za lazima za kuchapisha Django project mtandaoni kwa kutumia PythonAnywhere. Tutatumia Bash Console, Virtual Environment, na GitHub (au upload ya project). Video nzima ya somo hili utaipata hapa https://bongoclass.com/learn/play/b8c833192312b34f08ab8327458f539054d97ac6

 


🛠️ HATUA YA 1: Andaa Project Yako Kimtandao

🔹 1.1 — Unda requirements.txt

Ikiwa tayari una Django project kwenye kompyuta yako, fungua terminal (cmd/bash), ingia kwenye folder la project, na andika:

pip freeze > requirements.txt

➡️ Hii itaweka list ya packages zote ulizotumia (kama Django, Pillow, etc) kwenye faili la requirements.txt ili ziweze kusanikwa baadaye kwenye server ya PythonAnywhere.


 

🌐 HATUA YA 2: Upload Project au Clone Kutoka GitHub

Una chaguzi 2 hapa:

🔹 2.1 — Upload Files Moja kwa Moja

Fungua PythonAnywhere, login, nenda kwenye Files tab, bonyeza Upload, na weka project yako (zip au folder moja moja).

AU

🔹 2.2 — Clone Kutoka GitHub kwa Bash Console

Fungua Consoles > Bash, kisha clone repo yako:

git clone https://github.com/jinalako/projectyako.git

Mfano:

git clone https://github.com/skyclassbongo/pybongo.git

➡️ Hii itaweka project kwenye folder lenye jina la project.


 

🐍 HATUA YA 3: Tengeneza Virtual Environment

python3.10 -m venv venv

➡️ Hii inaweka mazingira ya kujitegemea ya Python kwa ajili ya project yako (venv).


 

🔥 HATUA YA 4: Activate Virtual Environment

source venv/bin/activate

➡️ Baada ya hapa, unaweza kusanikisha Django na mahitaji yako mengine.


 

📦 HATUA YA 5: Install Mahitaji kutoka requirements.txt

pip install -r yourproject/requirements.txt

Mfano:

pip install -r pybongo/requirements.txt

 

⚙️ HATUA YA 6: Tayarisha wsgi.py na settings.py

Angalia kama wsgi.py (ndani ya folder la project) lina">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 305

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

Soma Zaidi...
Python somo la 42: Template tag

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.

Soma Zaidi...
Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi

Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani

Soma Zaidi...
Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

Soma Zaidi...