Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
1. Kubadili herufi ya kwanza ya string kuwa katika herufi kubwa
Kufanya hivi tutatumia function ya capitalize(). Mafano tuna neno bongoclass lote limeandikwa kwa herufi ndogo. Sasa tunataka kufanya herufi b kuwa B ili kisomeke Bongoclass.
string = 'bongoclass'
capitalized_string = string.capitalize()
print(capitalized_string)
2. Kubadili string yote kuwa katika herufi kubwa. Kufanya hivi tunatumia function ya upper(). Mfano neno letu la awali bongoclass tutalibadilisha kuwa BONGOCLASS.
string = 'bongoclass'
upper_string = string.upper()
print(upper_string)
3. Kujuwa idadi ya character kwenye string. Kufanya hivi tutatumia funvtion ya len(). Mfano neno letu bongoclass hapo tutakwenda kuhesabu ina character ngapi?
string = 'bongoclass'
print(len(string))
4. Kubadilisha sehemu ya string. Kufanya hivi tutatumia replace(). Kwa mfano hapo leno letu bongoclass tunataka liwe bongocare. Sasa function hii ina sehemu kuu 2 yaani parameter 2, ya kwanza ni kipande cha string ambacho unataka kukitoa. Na sehemu ya pili ni kipande cha string ambacho unakwenda kukiweka.
Kipande cha kwanza hapo tutawea class na kipande cha pili tutaweka care
string = 'bongoclass'
replace_string = string.replace('class', 'care')
print(replace_string)
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...