Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
1. Kubadili herufi ya kwanza ya string kuwa katika herufi kubwa
Kufanya hivi tutatumia function ya capitalize(). Mafano tuna neno bongoclass lote limeandikwa kwa herufi ndogo. Sasa tunataka kufanya herufi b kuwa B ili kisomeke Bongoclass.
string = 'bongoclass'
capitalized_string = string.capitalize()
print(capitalized_string)
2. Kubadili string yote kuwa katika herufi kubwa. Kufanya hivi tunatumia function ya upper(). Mfano neno letu la awali bongoclass tutalibadilisha kuwa BONGOCLASS.
string = 'bongoclass'
upper_string = string.upper()
print(upper_string)
3. Kujuwa idadi ya character kwenye string. Kufanya hivi tutatumia funvtion ya len(). Mfano neno letu bongoclass hapo tutakwenda kuhesabu ina character ngapi?
string = 'bongoclass'
print(len(string))
4. Kubadilisha sehemu ya string. Kufanya hivi tutatumia replace(). Kwa mfano hapo leno letu bongoclass tunataka liwe bongocare. Sasa function hii ina sehemu kuu 2 yaani parameter 2, ya kwanza ni kipande cha string ambacho unataka kukitoa. Na sehemu ya pili ni kipande cha string ambacho unakwenda kukiweka.
Kipande cha kwanza hapo tutawea class na kipande cha pili tutaweka care
string = 'bongoclass'
replace_string = string.replace('class', 'care')
print(replace_string)
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...