PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

1. Kubadili herufi ya kwanza ya string kuwa katika herufi kubwa

Kufanya hivi tutatumia function ya capitalize(). Mafano tuna neno bongoclass lote limeandikwa kwa herufi ndogo. Sasa tunataka kufanya herufi b kuwa B ili kisomeke Bongoclass

 

string = 'bongoclass'

capitalized_string = string.capitalize()

print(capitalized_string)

 

 

 

2. Kubadili string yote kuwa katika herufi kubwa. Kufanya hivi tunatumia function ya upper(). Mfano neno letu la awali bongoclass tutalibadilisha kuwa BONGOCLASS. 

 

string = 'bongoclass'

upper_string = string.upper()

print(upper_string)

 

 

3. Kujuwa idadi ya character kwenye string. Kufanya hivi tutatumia funvtion ya len(). Mfano neno letu bongoclass hapo tutakwenda kuhesabu ina character ngapi?

 

string = 'bongoclass'

print(len(string))

 

4. Kubadilisha sehemu ya string. Kufanya hivi tutatumia replace(). Kwa mfano hapo leno letu bongoclass tunataka liwe bongocare. Sasa function hii ina sehemu kuu 2 yaani parameter 2, ya kwanza ni kipande cha string ambacho unataka kukitoa. Na sehemu ya pili ni kipande cha string ambacho unakwenda kukiweka.

Kipande cha kwanza hapo tutawea class na kipande cha pili tutaweka care

 

string = 'bongoclass'

replace_string = string.replace('class', 'care')

print(replace_string)

 

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 515

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

Soma Zaidi...
Python somo la 40: Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django

Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template

Soma Zaidi...
Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template

Soma Zaidi...
Python somo la 46: Kutengeneza Fomu na Kuituma kwa Django Template

Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python

Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

Soma Zaidi...
Pthon somo la 41: Template Inheritance katika Django

Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...