PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Assignment operator:

Hizi ni zile operator ambazo hutumika ku assign thamani kwenye variable, yaani kuipa variable thamani. Kama unaposema x = 2 hapo assignment operator (=) imetumika kuipa x thamani yake. 

Mifano ya assignment operator:-

  1. Alama ya (=) mfano a = 3
  2. Alama ya (+=) mfano a += 3 hii ni sawa na kuandika a = a+3
  3. Alama ya (-=) mfano a -=3 hii ni sawa na kuandika a = a-3
  4. Alama ya (*=) mfano a *=3 hii ni sawa na kundika a = a *3
  5. Alama ya (/=) mfano a /=3 hii ni sawa na kuandika a = a/3
  6. Alama ya (%=) mfano a %3 hii ni sawa na kuandika a = a %3


 

Logical operator:

Hizi hutumika kuweka logical kwenye variable ama thamani

  1. && huitwa logical and alama hii kwenye programming inamaanisha and yaani “na” . yenyewe italeta jbu true kama statement itakuwa kweli na kinyume chake. Mfano 2 ni kubwa kuliko 1 na 3 kubwa kuliko 2. Sasa haya melezo yote ni sawa hivyo jibu ni true. Maelezo haya unaweza kuyaandika hivi:  2 > 1 && 3>2

 

  1. || huitwa logical or alama hii ina aana or  yaan “au” hii itatoa jibu true kama moja ya statement ni kweli mfano 2 ni kubwa kuliko 5 au 6 ni kubwa kuliko 5. Hapa statement ya kwanza sio kweli, lakini ya mbili ni kweli, hivyo kwa ujumla tutapata jibu true kwa kuwa moja ya statement ni true. Maelezo haya tunaweza kuyaandika hivi 2 > 5 || 6>5

 

  1. ! huitwa logical not kazi yakeni kukataa statement, kama ni ya ukwei inakuwa ni uongo. Mfano tunajuwa kuwa 5 ni sawa na 5 hiv">...

    Download Post hii hapa

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 744

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Kitau cha Fiqh   

    Post zinazofanana:

    Python somo la 19: Aina za Function
    Python somo la 19: Aina za Function

    Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
    Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

    Soma Zaidi...
    Python somo la 42: Template tag
    Python somo la 42: Template tag

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.

    Soma Zaidi...
    PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi
    PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

    Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif
    Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

    Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

    Soma Zaidi...
    Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function
    Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

    Soma Zaidi...
    Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili
    Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

    Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

    Soma Zaidi...
    Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming
    Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

    Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

    Soma Zaidi...
    Python somo la 46: Kutengeneza Fomu na Kuituma kwa Django Template
    Python somo la 46: Kutengeneza Fomu na Kuituma kwa Django Template

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.

    Soma Zaidi...
    Python somo la 30: Data abstraction
    Python somo la 30: Data abstraction

    Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

    Soma Zaidi...