PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.

Download Post hii hapa

Assignment operator:

Hizi ni zile operator ambazo hutumika ku assign thamani kwenye variable, yaani kuipa variable thamani. Kama unaposema x = 2 hapo assignment operator (=) imetumika kuipa x thamani yake. 

Mifano ya assignment operator:-

  1. Alama ya (=) mfano a = 3
  2. Alama ya (+=) mfano a += 3 hii ni sawa na kuandika a = a+3
  3. Alama ya (-=) mfano a -=3 hii ni sawa na kuandika a = a-3
  4. Alama ya (*=) mfano a *=3 hii ni sawa na kundika a = a *3
  5. Alama ya (/=) mfano a /=3 hii ni sawa na kuandika a = a/3
  6. Alama ya (%=) mfano a %3 hii ni sawa na kuandika a = a %3


 

Logical operator:

Hizi hutumika kuweka logical kwenye variable ama thamani

  1. && huitwa logical and alama hii kwenye programming inamaanisha and yaani “na” . yenyewe italeta jbu true kama statement itakuwa kweli na kinyume chake. Mfano 2 ni kubwa kuliko 1 na 3 kubwa kuliko 2. Sasa haya melezo yote ni sawa hivyo jibu ni true. Maelezo haya unaweza kuyaandika hivi:  2 > 1 && 3>2

 

  1. || huitwa logical or alama hii ina aana or  yaan “au” hii itatoa jibu true kama moja ya statement ni kweli mfano 2 ni kubwa kuliko 5 au 6 ni kubwa kuliko 5. Hapa statement ya kwanza sio kweli, lakini ya mbili ni kweli, hivyo kwa ujumla tutapata jibu true kwa kuwa moja ya statement ni true. Maelezo haya tunaweza kuyaandika hivi 2 > 5 || 6>5

 

  1. ! huitwa logical not kazi yakeni kukataa statement, kama ni ya ukwei inakuwa ni uongo. Mfano tunajuwa kuwa 5 ni sawa na 5 hiv">...

    Download Post hii hapa

    Jiunge nasi WhatsApp
    Upate Update zetu

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 718

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

    Post zinazofanana:

    Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python
    Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

    Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

    Soma Zaidi...
    Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django
    Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django

    Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template

    Soma Zaidi...
    Python somo la 48: Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
    Python somo la 48: Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

    Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

    Soma Zaidi...
    Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
    Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input

    Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system

    Soma Zaidi...
    Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop
    Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

    Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

    Soma Zaidi...
    Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming
    Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

    Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

    Soma Zaidi...
    Python somo la 23: Library kwenye python
    Python somo la 23: Library kwenye python

    Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

    Soma Zaidi...
    Python somo la  14: Jinsi ya kutumia For loop
    Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop

    Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python

    Soma Zaidi...
    Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function
    Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

    Soma Zaidi...
    PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg
    PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

    Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

    Soma Zaidi...