image

PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator

Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.

Assignment operator:

Hizi ni zile operator ambazo hutumika ku assign thamani kwenye variable, yaani kuipa variable thamani. Kama unaposema x = 2 hapo assignment operator (=) imetumika kuipa x thamani yake. 

Mifano ya assignment operator:-

  1. Alama ya (=) mfano a = 3
  2. Alama ya (+=) mfano a += 3 hii ni sawa na kuandika a = a+3
  3. Alama ya (-=) mfano a -=3 hii ni sawa na kuandika a = a-3
  4. Alama ya (*=) mfano a *=3 hii ni sawa na kundika a = a *3
  5. Alama ya (/=) mfano a /=3 hii ni sawa na kuandika a = a/3
  6. Alama ya (%=) mfano a %3 hii ni sawa na kuandika a = a %3


 

Logical operator:

Hizi hutumika kuweka logical kwenye variable ama thamani

  1. && huitwa logical and alama hii kwenye programming inamaanisha and yaani “na” . yenyewe italeta jbu true kama statement itakuwa kweli na kinyume chake. Mfano 2 ni kubwa kuliko 1 na 3 kubwa kuliko 2. Sasa haya melezo yote ni sawa hivyo jibu ni true. Maelezo haya unaweza kuyaandika hivi:  2 > 1 && 3>2

 

  1. || huitwa logical or alama hii ina aana or  yaan “au” hii itatoa jibu true kama moja ya statement ni kweli mfano 2 ni kubwa kuliko 5 au 6 ni kubwa kuliko 5. Hapa statement ya kwanza sio kweli, lakini ya mbili ni kweli, hivyo kwa ujumla tutapata jibu true kwa kuwa moja ya statement ni true. Maelezo haya tunaweza kuyaandika hivi 2 > 5 || 6>5

 

  1. ! huitwa logical not kazi yakeni kukataa statement, kama ni ya ukwei inakuwa ni uongo. Mfano tunajuwa kuwa 5 ni sawa na 5 hivyoukiandika hivi 5 ==5 hi ni t">...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 380


    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

    Post zifazofanana:-

    PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor. Soma Zaidi...

    PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator
    Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator. Soma Zaidi...

    PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python
    Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python Soma Zaidi...

    PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg
    Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string. Soma Zaidi...

    PYTHON - somo la 1: Jinsi ya ku install python
    Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo. Soma Zaidi...

    PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data
    Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int. Soma Zaidi...

    PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
    Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Soma Zaidi...

    PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba. Soma Zaidi...

    PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
    Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python Soma Zaidi...

    PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python
    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data. Soma Zaidi...

    PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
    Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable Soma Zaidi...

    PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi
    Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing. Soma Zaidi...