picha

Python somo la 54: Jinsi ya Kusoma Data Kutoka Database kwenye Django

Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.

Utangulizi

Leo tutajifunza namna ya kupata data kutoka kwenye jedwali la MenuItem na kuionyesha kwenye ukurasa wa mtumiaji kwa kutumia Django ORM pamoja na template.


Sasa tuingie kwenye somo letu…


1. Kutumia Django ORM kusoma data

Django ORM hutupatia njia rahisi sana ya kusoma data bila kuandika SQL moja kwa moja.

Mfano wa kupata records zote

items = MenuItem.objects.all()

Hii inarudisha orodha ya vitu vyote kwenye jedwali.


Kusoma record moja

item = MenuItem.objects.get(id=1)

Kutafuta kwa filter

items = MenuItem.objects.filter(muda_upatikanaji="Asubuhi")

Kuchagua order

items = MenuItem.objects.all().order_by('bei')

2. Kutengeneza View ya Kuonyesha Orodha ya Menu

Unda view mpya kwenye views.py:

from django.shortcuts import render
from .models import MenuItem

def orodha_menu(request):
    items = MenuItem.objects.all()
    return render(request, 'orodha_menu.html', {'items': items})

Maelezo:


3. Kuongeza URL route

Kwenye urls.py:

path('orodha/', views.orodha_menu, name='orodha_menu'),

4. Kutengeneza Template (HTML) ya Kuonyesha Data

Unda faili orodha_menu.html ndani ya templates/:

<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
    <title>Orodha ya Menu</title>
</head>
<body>

<h2>Orodha ya Vyakula</h2>

<table border="1" cellpadding="6">
    <tr>
        <th>Jina</th>
        <th>Maelezo</th>
        <th>Muda Upatikanaji</th>
        <th>Bei (TZS)</th>
    </tr>

    {% for item in items %}
    <tr>
        <td>{{ item.jina }}</td>
        <td>{{ item.maelezo }}</td>
        <td>{{ item.muda_upatikanaji }}</td>
        <td>{{ item.bei }}</td>
    </tr>
    {% empty %}
    <tr>
        <td colspan="4">Hakuna taarifa za kuonyesha.</td>
    </tr>
    {% endfor %}
</table>

</body>
</html>

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-11-23 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 261

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 web hosting    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Python somo la 58: Jinsi ya Kuboresha Django Admin

Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)

Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 62 Kupakia picha (upload) na kuisoma kutoka kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.

Soma Zaidi...
Python somo la 56: Kuongeza Data Katika Database kwa Kutumia Django Admin na Django Shell

Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

Soma Zaidi...
Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Soma Zaidi...
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 23: Library kwenye python

Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary

Soma Zaidi...
Python somo la 50: database kwneye django

Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model

Soma Zaidi...