Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Leo tutajifunza namna ya kupata data kutoka kwenye jedwali la MenuItem na kuionyesha kwenye ukurasa wa mtumiaji kwa kutumia Django ORM pamoja na template.
Django ORM hutupatia njia rahisi sana ya kusoma data bila kuandika SQL moja kwa moja.
items = MenuItem.objects.all()
Hii inarudisha orodha ya vitu vyote kwenye jedwali.
item = MenuItem.objects.get(id=1)
items = MenuItem.objects.filter(muda_upatikanaji="Asubuhi")
items = MenuItem.objects.all().order_by('bei')
Unda view mpya kwenye views.py:
from django.shortcuts import render
from .models import MenuItem
def orodha_menu(request):
items = MenuItem.objects.all()
return render(request, 'orodha_menu.html', {'items': items})
Maelezo:
items = MenuItem.objects.all() → inapata data zote
Nazopeleka kwa template kupitia context { 'items': items }
Kwenye urls.py:
path('orodha/', views.orodha_menu, name='orodha_menu'),
Unda faili orodha_menu.html ndani ya templates/:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Orodha ya Menu</title>
</head>
<body>
<h2>Orodha ya Vyakula</h2>
<table border="1" cellpadding="6">
<tr>
<th>Jina</th>
<th>Maelezo</th>
<th>Muda Upatikanaji</th>
<th>Bei (TZS)</th>
</tr>
{% for item in items %}
<tr>
<td>{{ item.jina }}</td>
<td>{{ item.maelezo }}</td>
<td>{{ item.muda_upatikanaji }}</td>
<td>{{ item.bei }}</td>
</tr>
{% empty %}
<tr>
<td colspan="4">Hakuna taarifa za kuonyesha.</td>
</tr>
{% endfor %}
</table>
</body>
</html>
...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...