picha

Python somo la 54: Jinsi ya Kusoma Data Kutoka Database kwenye Django

Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.

Utangulizi

Leo tutajifunza namna ya kupata data kutoka kwenye jedwali la MenuItem na kuionyesha kwenye ukurasa wa mtumiaji kwa kutumia Django ORM pamoja na template.


Sasa tuingie kwenye somo letu…


1. Kutumia Django ORM kusoma data

Django ORM hutupatia njia rahisi sana ya kusoma data bila kuandika SQL moja kwa moja.

Mfano wa kupata records zote

items = MenuItem.objects.all()

Hii inarudisha orodha ya vitu vyote kwenye jedwali.


Kusoma record moja

item = MenuItem.objects.get(id=1)

Kutafuta kwa filter

items = MenuItem.objects.filter(muda_upatikanaji="Asubuhi")

Kuchagua order

items = MenuItem.objects.all().order_by('bei')

2. Kutengeneza View ya Kuonyesha Orodha ya Menu

Unda view mpya kwenye views.py:

from django.shortcuts import render
from .models import MenuItem

def orodha_menu(request):
    items = MenuItem.objects.all()
    return render(request, 'orodha_menu.html', {'items': items})

Maelezo:


3. Kuongeza URL route

Kwenye urls.py:

path('orodha/', views.orodha_menu, name='orodha_menu'),

4. Kutengeneza Template (HTML) ya Kuonyesha Data

Unda faili orodha_menu.html ndani ya templates/:

<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
    <title>Orodha ya Menu</title>
</head>
<body>

<h2>Orodha ya Vyakula</h2>

<table border="1" cellpadding="6">
    <tr>
        <th>Jina</th>
        <th>Maelezo</th>
        <th>Muda Upatikanaji</th>
        <th>Bei (TZS)</th>
    </tr>

    {% for item in items %}
    <tr>
        <td>{{ item.jina }}</td>
        <td>{{ item.maelezo }}</td>
        <td>{{ item.muda_upatikanaji }}</td>
        <td>{{ item.bei }}</td>
    </tr>
    {% empty %}
    <tr>
        <td colspan="4">Hakuna taarifa za kuonyesha.</td>
    </tr>
    {% endfor %}
</table>

</body>
</html>

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2025-11-23 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 267

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 ai web app    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input

Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

Soma Zaidi...
Python somo la 53: Kutengeneza HTML Form na Django View kwa ajili ya kuingiza data

Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop

Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 28: inheritance kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.

Soma Zaidi...