Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Leo tutajifunza namna ya kupata data kutoka kwenye jedwali la MenuItem na kuionyesha kwenye ukurasa wa mtumiaji kwa kutumia Django ORM pamoja na template.
Django ORM hutupatia njia rahisi sana ya kusoma data bila kuandika SQL moja kwa moja.
items = MenuItem.objects.all()
Hii inarudisha orodha ya vitu vyote kwenye jedwali.
item = MenuItem.objects.get(id=1)
items = MenuItem.objects.filter(muda_upatikanaji="Asubuhi")
items = MenuItem.objects.all().order_by('bei')
Unda view mpya kwenye views.py:
from django.shortcuts import render
from .models import MenuItem
def orodha_menu(request):
items = MenuItem.objects.all()
return render(request, 'orodha_menu.html', {'items': items})
Maelezo:
items = MenuItem.objects.all() → inapata data zote
Nazopeleka kwa template kupitia context { 'items': items }
Kwenye urls.py:
path('orodha/', views.orodha_menu, name='orodha_menu'),
Unda faili orodha_menu.html ndani ya templates/:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Orodha ya Menu</title>
</head>
<body>
<h2>Orodha ya Vyakula</h2>
<table border="1" cellpadding="6">
<tr>
<th>Jina</th>
<th>Maelezo</th>
<th>Muda Upatikanaji</th>
<th>Bei (TZS)</th>
</tr>
{% for item in items %}
<tr>
<td>{{ item.jina }}</td>
<td>{{ item.maelezo }}</td>
<td>{{ item.muda_upatikanaji }}</td>
<td>{{ item.bei }}</td>
</tr>
{% empty %}
<tr>
<td colspan="4">Hakuna taarifa za kuonyesha.</td>
</tr>
{% endfor %}
</table>
</body>
</html>
...
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Soma Zaidi...