Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Leo tutajifunza namna ya kupata data kutoka kwenye jedwali la MenuItem na kuionyesha kwenye ukurasa wa mtumiaji kwa kutumia Django ORM pamoja na template.
Django ORM hutupatia njia rahisi sana ya kusoma data bila kuandika SQL moja kwa moja.
items = MenuItem.objects.all()
Hii inarudisha orodha ya vitu vyote kwenye jedwali.
item = MenuItem.objects.get(id=1)
items = MenuItem.objects.filter(muda_upatikanaji="Asubuhi")
items = MenuItem.objects.all().order_by('bei')
Unda view mpya kwenye views.py:
from django.shortcuts import render
from .models import MenuItem
def orodha_menu(request):
items = MenuItem.objects.all()
return render(request, 'orodha_menu.html', {'items': items})
Maelezo:
items = MenuItem.objects.all() → inapata data zote
Nazopeleka kwa template kupitia context { 'items': items }
Kwenye urls.py:
path('orodha/', views.orodha_menu, name='orodha_menu'),
Unda faili orodha_menu.html ndani ya templates/:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Orodha ya Menu</title>
</head>
<body>
<h2>Orodha ya Vyakula</h2>
<table border="1" cellpadding="6">
<tr>
<th>Jina</th>
<th>Maelezo</th>
<th>Muda Upatikanaji</th>
<th>Bei (TZS)</th>
</tr>
{% for item in items %}
<tr>
<td>{{ item.jina }}</td>
<td>{{ item.maelezo }}</td>
<td>{{ item.muda_upatikanaji }}</td>
<td>{{ item.bei }}</td>
</tr>
{% empty %}
<tr>
<td colspan="4">Hakuna taarifa za kuonyesha.</td>
</tr>
{% endfor %}
</table>
</body>
</html>
...
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...