Python somo la 54: Jinsi ya Kusoma Data Kutoka Database kwenye Django
Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Utangulizi
Leo tutajifunza namna ya kupata data kutoka kwenye jedwali la MenuItem na kuionyesha kwenye ukurasa wa mtumiaji kwa kutumia Django ORM pamoja na template.
Sasa tuingie kwenye somo letu…
1. Kutumia Django ORM kusoma data
Django ORM hutupatia njia rahisi sana ya kusoma data bila kuandika SQL moja kwa moja.
Mfano wa kupata records zote
items = MenuItem.objects.all()
Hii inarudisha orodha ya vitu vyote kwenye jedwali.
Kusoma record moja
item = MenuItem.objects.get(id=1)
Kutafuta kwa filter
items = MenuItem.objects.filter(muda_upatikanaji="Asubuhi")
Kuchagua order
items = MenuItem.objects.all().order_by('bei')
2. Kutengeneza View ya Kuonyesha Orodha ya Menu
Unda view mpya kwenye views.py:
from django.shortcuts import render
from .models import MenuItem
def orodha_menu(request):
items = MenuItem.objects.all()
return render(request, 'orodha_menu.html', {'items': items})
Maelezo:
-
items = MenuItem.objects.all()→ inapata data zote -
Nazopeleka kwa template kupitia context
{ 'items': items }
3. Kuongeza URL route
Kwenye urls.py:
path('orodha/', views.orodha_menu, name='orodha_menu'),
4. Kutengeneza Template (HTML) ya Kuonyesha Data
Unda faili orodha_menu.html ndani ya templates/:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Orodha ya Menu</title&...Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π2 web hosting π3 Madrasa kiganjani π4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π5 kitabu cha Simulizi π6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python
Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Python somo la 52: Kutengeneza table na kufanya Migrations Katika Django
Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...Python somo la 59: Kufanya Mahesabu (Aggregations) Katika Django
Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza βdifferenceβ kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika.
Soma Zaidi...Python somo la 27: polymorphism kwneye python
Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Python somo la 23: Library kwenye python
Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data
Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...