Python somo la 54: Jinsi ya Kusoma Data Kutoka Database kwenye Django
Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Utangulizi
Leo tutajifunza namna ya kupata data kutoka kwenye jedwali la MenuItem na kuionyesha kwenye ukurasa wa mtumiaji kwa kutumia Django ORM pamoja na template.
Sasa tuingie kwenye somo letu…
1. Kutumia Django ORM kusoma data
Django ORM hutupatia njia rahisi sana ya kusoma data bila kuandika SQL moja kwa moja.
Mfano wa kupata records zote
items = MenuItem.objects.all()
Hii inarudisha orodha ya vitu vyote kwenye jedwali.
Kusoma record moja
item = MenuItem.objects.get(id=1)
Kutafuta kwa filter
items = MenuItem.objects.filter(muda_upatikanaji="Asubuhi")
Kuchagua order
items = MenuItem.objects.all().order_by('bei')
2. Kutengeneza View ya Kuonyesha Orodha ya Menu
Unda view mpya kwenye views.py:
from django.shortcuts import render
from .models import MenuItem
def orodha_menu(request):
items = MenuItem.objects.all()
return render(request, 'orodha_menu.html', {'items': items})
Maelezo:
-
items = MenuItem.objects.all()→ inapata data zote -
Nazopeleka kwa template kupitia context
{ 'items': items }
3. Kuongeza URL route
Kwenye urls.py:
path('orodha/', views.orodha_menu, name='orodha_menu'),
4. Kutengeneza Template (HTML) ya Kuonyesha Data
Unda faili orodha_menu.html ndani ya templates/:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Orodha ya Menu</title&...Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 web hosting 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Python somo la 62 Kupakia picha (upload) na kuisoma kutoka kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.
Soma Zaidi...Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop
Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Python somo la 40: Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django
Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Soma Zaidi...