Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Leo tutajifunza namna ya kupata data kutoka kwenye jedwali la MenuItem na kuionyesha kwenye ukurasa wa mtumiaji kwa kutumia Django ORM pamoja na template.
Django ORM hutupatia njia rahisi sana ya kusoma data bila kuandika SQL moja kwa moja.
items = MenuItem.objects.all()
Hii inarudisha orodha ya vitu vyote kwenye jedwali.
item = MenuItem.objects.get(id=1)
items = MenuItem.objects.filter(muda_upatikanaji="Asubuhi")
items = MenuItem.objects.all().order_by('bei')
Unda view mpya kwenye views.py:
from django.shortcuts import render
from .models import MenuItem
def orodha_menu(request):
items = MenuItem.objects.all()
return render(request, 'orodha_menu.html', {'items': items})
Maelezo:
items = MenuItem.objects.all() → inapata data zote
Nazopeleka kwa template kupitia context { 'items': items }
Kwenye urls.py:
path('orodha/', views.orodha_menu, name='orodha_menu'),
Unda faili orodha_menu.html ndani ya templates/:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Orodha ya Menu</title>
</head>
<body>
<h2>Orodha ya Vyakula</h2>
<table border="1" cellpadding="6">
<tr>
<th>Jina</th>
<th>Maelezo</th>
<th>Muda Upatikanaji</th>
<th>Bei (TZS)</th>
</tr>
{% for item in items %}
<tr>
<td>{{ item.jina }}</td>
<td>{{ item.maelezo }}</td>
<td>{{ item.muda_upatikanaji }}</td>
<td>{{ item.bei }}</td>
</tr>
{% empty %}
<tr>
<td colspan="4">Hakuna taarifa za kuonyesha.</td>
</tr>
{% endfor %}
</table>
</body>
</html>
...
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...