Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Leo tutajifunza namna ya kupata data kutoka kwenye jedwali la MenuItem na kuionyesha kwenye ukurasa wa mtumiaji kwa kutumia Django ORM pamoja na template.
Django ORM hutupatia njia rahisi sana ya kusoma data bila kuandika SQL moja kwa moja.
items = MenuItem.objects.all()
Hii inarudisha orodha ya vitu vyote kwenye jedwali.
item = MenuItem.objects.get(id=1)
items = MenuItem.objects.filter(muda_upatikanaji="Asubuhi")
items = MenuItem.objects.all().order_by('bei')
Unda view mpya kwenye views.py:
from django.shortcuts import render
from .models import MenuItem
def orodha_menu(request):
items = MenuItem.objects.all()
return render(request, 'orodha_menu.html', {'items': items})
Maelezo:
items = MenuItem.objects.all() → inapata data zote
Nazopeleka kwa template kupitia context { 'items': items }
Kwenye urls.py:
path('orodha/', views.orodha_menu, name='orodha_menu'),
Unda faili orodha_menu.html ndani ya templates/:
<!DOCTYPE html>
<html>
<head>
<title>Orodha ya Menu</title>
</head>
<body>
<h2>Orodha ya Vyakula</h2>
<table border="1" cellpadding="6">
<tr>
<th>Jina</th>
<th>Maelezo</th>
<th>Muda Upatikanaji</th>
<th>Bei (TZS)</th>
</tr>
{% for item in items %}
<tr>
<td>{{ item.jina }}</td>
<td>{{ item.maelezo }}</td>
<td>{{ item.muda_upatikanaji }}</td>
<td>{{ item.bei }}</td>
</tr>
{% empty %}
<tr>
<td colspan="4">Hakuna taarifa za kuonyesha.</td>
</tr>
{% endfor %}
</table>
</body>
</html>
...
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...