Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Matendo ya hesabu
Katika mahedabu Kuna matendo makuu manne ambayo ni:-
Kujumlisha
Kutoa
Kuzidisha
Kugawanya
Kujumlisha
Kama ilivyo kwa lugha nyinginezo hata katika python unapojumlisha utatumia alama ya +. Unaweza kujumlisha variable kwa variable ambazo zinawakikisha namba
Mfano:
a = 5;
b=6;
print(a+b)
Hii itakupa jibu 11;
Pia unaweza kujumlisha kweli list
a = [2,4,6,7]
print(a[2] + a[1])
Hii itatupa jibu 10 kwa kuwa index ya 2 ni 6 na index ya 1 ni 4. Hivyo ni sawa na kusema 6+4.
Pia unaweza kujumlisha namba hasi na chanya chanya na kupata matokeo yaleyale.
Mfano: print(-6 + 2) hii itatupa jibu 4
Kutoa
Kama tulivyoona hapo juu kuhusu kujumlisha basi na kutoa kunafuata kanuni zilezile tunatumia alama ya - Ili kutoa.
Mfano:
a = [2,4,6,7]
print(a[2] - a[1])
Hii itatupa jibu 2
Mfano
print(9-5)
Hii itatupa jibu 4
Kuzidisha
Katika kuzidisha tutatumia *
print(6*3)
Hii itakupa jibu 18
a = [2,4,6,7]
print(a[2] * a[1])
Hii itatupa jibu 24
Kugawanya
Katika kugawanya tutatumia /
Mfano:
print(10/2)
Hii itatupa jibu 5
a = [2,4,6,7]
print(a[2] / a[0])
Hii itatupa jibu 3.0
Tuingie ndani zaidi
Sasa tunakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo hili. Kuna case nitakuletea hapo chini:-
case 1:
print(10/3)
Hii itatupa jibu 3.3333333333333335
Utaona hapo imegawanya na kutuletea fesimali nyingi sana, baada ya kibaki. Sasa tutakwenda kutatuwa changamoto hii kwa namna">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Soma Zaidi...Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...