Menu



PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Matendo ya hesabu

Katika mahedabu Kuna matendo makuu manne ambayo ni:-

Kujumlisha

Kutoa

Kuzidisha

Kugawanya

 

 

Kujumlisha

Kama ilivyo kwa lugha nyinginezo hata katika python unapojumlisha utatumia alama ya +. Unaweza kujumlisha variable kwa variable ambazo zinawakikisha namba

Mfano:

a = 5;

b=6;

print(a+b)

Hii itakupa jibu 11;

 

 

 

Pia unaweza kujumlisha kweli list

a = [2,4,6,7]

print(a[2] + a[1])

 

 

Hii itatupa jibu 10 kwa kuwa index ya 2 ni 6 na index ya 1 ni 4. Hivyo ni sawa na kusema 6+4.

 

 

Pia unaweza kujumlisha namba hasi na chanya chanya na kupata matokeo yaleyale. 

Mfano: print(-6 + 2) hii itatupa jibu 4

 

 

Kutoa 

Kama tulivyoona hapo juu kuhusu kujumlisha basi na kutoa kunafuata kanuni zilezile tunatumia alama ya - Ili kutoa.

Mfano:

a = [2,4,6,7]

print(a[2] - a[1])

Hii itatupa jibu 2

 

 

Mfano

print(9-5)

Hii itatupa jibu 4

 

 

Kuzidisha

Katika kuzidisha tutatumia * 

print(6*3)

Hii itakupa jibu 18

a = [2,4,6,7]

print(a[2] * a[1])

Hii itatupa jibu 24

 

 

Kugawanya

Katika kugawanya tutatumia /

Mfano:

print(10/2)

Hii itatupa jibu 5

a = [2,4,6,7]

print(a[2] / a[0])

Hii itatupa jibu 3.0

 

 

 

 

Tuingie ndani zaidi

Sasa tunakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo hili. Kuna case nitakuletea hapo chini:-

case 1:

print(10/3)

Hii itatupa jibu 3.3333333333333335

 Utaona hapo imegawanya na kutuletea fesimali nyingi sana, baada ya kibaki. Sasa tutakwenda kutatuwa changamoto hii kwa namna mbili.

Kukadiria viwan">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 271

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

Soma Zaidi...
PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

Soma Zaidi...
Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop

Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object

Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data

Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.

Soma Zaidi...
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 27: polymorphism kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 30: Data abstraction

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python

Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable

Soma Zaidi...
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

Soma Zaidi...