image

PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Matendo ya hesabu

Katika mahedabu Kuna matendo makuu manne ambayo ni:-

Kujumlisha

Kutoa

Kuzidisha

Kugawanya

 

 

Kujumlisha

Kama ilivyo kwa lugha nyinginezo hata katika python unapojumlisha utatumia alama ya +. Unaweza kujumlisha variable kwa variable ambazo zinawakikisha namba

Mfano:

a = 5;

b=6;

print(a+b)

Hii itakupa jibu 11;

 

 

 

Pia unaweza kujumlisha kweli list

a = [2,4,6,7]

print(a[2] + a[1])

 

 

Hii itatupa jibu 10 kwa kuwa index ya 2 ni 6 na index ya 1 ni 4. Hivyo ni sawa na kusema 6+4.

 

 

Pia unaweza kujumlisha namba hasi na chanya chanya na kupata matokeo yaleyale. 

Mfano: print(-6 + 2) hii itatupa jibu 4

 

 

Kutoa 

Kama tulivyoona hapo juu kuhusu kujumlisha basi na kutoa kunafuata kanuni zilezile tunatumia alama ya - Ili kutoa.

Mfano:

a = [2,4,6,7]

print(a[2] - a[1])

Hii itatupa jibu 2

 

 

Mfano

print(9-5)

Hii itatupa jibu 4

 

 

Kuzidisha

Katika kuzidisha tutatumia * 

print(6*3)

Hii itakupa jibu 18

a = [2,4,6,7]

print(a[2] * a[1])

Hii itatupa jibu 24

 

 

Kugawanya

Katika kugawanya tutatumia /

Mfano:

print(10/2)

Hii itatupa jibu 5

a = [2,4,6,7]

print(a[2] / a[0])

Hii itatupa jibu 3.0

 

 

 

 

Tuingie ndani zaidi

Sasa tunakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo hili. Kuna case nitakuletea hapo chini:-

case 1:

print(10/3)

Hii itatupa jibu 3.3333333333333335

 Utaona hapo imegawanya na kutuletea fesimali nyingi sana, baada ya kibaki. Sasa tutakwenda kutatuwa changamoto hii kwa namna mbili.

Kukadiria viwango vy">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 158


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing. Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string. Soma Zaidi...

PYTHON somo la 12: assignment operator, logical operator, identity oeprator na membership operator
Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator. Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 1: Jinsi ya ku install python
Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo. Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data. Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python
Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python Soma Zaidi...

PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba. Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data
Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int. Soma Zaidi...

PYTHON - somo la 3: Jinsi ya kuandika variable kwenye python
Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable Soma Zaidi...

PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor. Soma Zaidi...