PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Matendo ya hesabu

Katika mahedabu Kuna matendo makuu manne ambayo ni:-

Kujumlisha

Kutoa

Kuzidisha

Kugawanya

 

 

Kujumlisha

Kama ilivyo kwa lugha nyinginezo hata katika python unapojumlisha utatumia alama ya +. Unaweza kujumlisha variable kwa variable ambazo zinawakikisha namba

Mfano:

a = 5;

b=6;

print(a+b)

Hii itakupa jibu 11;

 

 

 

Pia unaweza kujumlisha kweli list

a = [2,4,6,7]

print(a[2] + a[1])

 

 

Hii itatupa jibu 10 kwa kuwa index ya 2 ni 6 na index ya 1 ni 4. Hivyo ni sawa na kusema 6+4.

 

 

Pia unaweza kujumlisha namba hasi na chanya chanya na kupata matokeo yaleyale. 

Mfano: print(-6 + 2) hii itatupa jibu 4

 

 

Kutoa 

Kama tulivyoona hapo juu kuhusu kujumlisha basi na kutoa kunafuata kanuni zilezile tunatumia alama ya - Ili kutoa.

Mfano:

a = [2,4,6,7]

print(a[2] - a[1])

Hii itatupa jibu 2

 

 

Mfano

print(9-5)

Hii itatupa jibu 4

 

 

Kuzidisha

Katika kuzidisha tutatumia * 

print(6*3)

Hii itakupa jibu 18

a = [2,4,6,7]

print(a[2] * a[1])

Hii itatupa jibu 24

 

 

Kugawanya

Katika kugawanya tutatumia /

Mfano:

print(10/2)

Hii itatupa jibu 5

a = [2,4,6,7]

print(a[2] / a[0])

Hii itatupa jibu 3.0

 

 

 

 

Tuingie ndani zaidi

Sasa tunakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo hili. Kuna case nitakuletea hapo chini:-

case 1:

print(10/3)

Hii itatupa jibu 3.3333333333333335

 Utaona hapo imegawanya na kutuletea fesimali nyingi sana, baada ya kibaki. Sasa tutakwenda kutatuwa changamoto hii kwa namna">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 355

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop

Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 42: Template tag

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 47: Jinsi ya kupokea na kuchakata fomu

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
Python somo la 30: Data abstraction

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

Soma Zaidi...
Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu

Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.

Soma Zaidi...
Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Soma Zaidi...