Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Matendo ya hesabu
Katika mahedabu Kuna matendo makuu manne ambayo ni:-
Kujumlisha
Kutoa
Kuzidisha
Kugawanya
Kujumlisha
Kama ilivyo kwa lugha nyinginezo hata katika python unapojumlisha utatumia alama ya +. Unaweza kujumlisha variable kwa variable ambazo zinawakikisha namba
Mfano:
a = 5;
b=6;
print(a+b)
Hii itakupa jibu 11;
Pia unaweza kujumlisha kweli list
a = [2,4,6,7]
print(a[2] + a[1])
Hii itatupa jibu 10 kwa kuwa index ya 2 ni 6 na index ya 1 ni 4. Hivyo ni sawa na kusema 6+4.
Pia unaweza kujumlisha namba hasi na chanya chanya na kupata matokeo yaleyale.
Mfano: print(-6 + 2) hii itatupa jibu 4
Kutoa
Kama tulivyoona hapo juu kuhusu kujumlisha basi na kutoa kunafuata kanuni zilezile tunatumia alama ya - Ili kutoa.
Mfano:
a = [2,4,6,7]
print(a[2] - a[1])
Hii itatupa jibu 2
Mfano
print(9-5)
Hii itatupa jibu 4
Kuzidisha
Katika kuzidisha tutatumia *
print(6*3)
Hii itakupa jibu 18
a = [2,4,6,7]
print(a[2] * a[1])
Hii itatupa jibu 24
Kugawanya
Katika kugawanya tutatumia /
Mfano:
print(10/2)
Hii itatupa jibu 5
a = [2,4,6,7]
print(a[2] / a[0])
Hii itatupa jibu 3.0
Tuingie ndani zaidi
Sasa tunakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo hili. Kuna case nitakuletea hapo chini:-
case 1:
print(10/3)
Hii itatupa jibu 3.3333333333333335
Utaona hapo imegawanya na kutuletea fesimali nyingi sana, baada ya kibaki. Sasa tutakwenda kutatuwa changamoto hii kwa namna">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza mambo matatu muhimu ya kuboresha admin ya Django: Jinsi ya kubadili header za Django Admin Jinsi ya kuongeza columns zinazojitokeza kwenye admin list Jinsi ya kuweka limit ya rows zinazoonekana kwa kila ukurasa (pagination)
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.
Soma Zaidi...