Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Matendo ya hesabu
Katika mahedabu Kuna matendo makuu manne ambayo ni:-
Kujumlisha
Kutoa
Kuzidisha
Kugawanya
Kujumlisha
Kama ilivyo kwa lugha nyinginezo hata katika python unapojumlisha utatumia alama ya +. Unaweza kujumlisha variable kwa variable ambazo zinawakikisha namba
Mfano:
a = 5;
b=6;
print(a+b)
Hii itakupa jibu 11;
Pia unaweza kujumlisha kweli list
a = [2,4,6,7]
print(a[2] + a[1])
Hii itatupa jibu 10 kwa kuwa index ya 2 ni 6 na index ya 1 ni 4. Hivyo ni sawa na kusema 6+4.
Pia unaweza kujumlisha namba hasi na chanya chanya na kupata matokeo yaleyale.
Mfano: print(-6 + 2) hii itatupa jibu 4
Kutoa
Kama tulivyoona hapo juu kuhusu kujumlisha basi na kutoa kunafuata kanuni zilezile tunatumia alama ya - Ili kutoa.
Mfano:
a = [2,4,6,7]
print(a[2] - a[1])
Hii itatupa jibu 2
Mfano
print(9-5)
Hii itatupa jibu 4
Kuzidisha
Katika kuzidisha tutatumia *
print(6*3)
Hii itakupa jibu 18
a = [2,4,6,7]
print(a[2] * a[1])
Hii itatupa jibu 24
Kugawanya
Katika kugawanya tutatumia /
Mfano:
print(10/2)
Hii itatupa jibu 5
a = [2,4,6,7]
print(a[2] / a[0])
Hii itatupa jibu 3.0
Tuingie ndani zaidi
Sasa tunakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo hili. Kuna case nitakuletea hapo chini:-
case 1:
print(10/3)
Hii itatupa jibu 3.3333333333333335
Utaona hapo imegawanya na kutuletea fesimali nyingi sana, baada ya kibaki. Sasa tutakwenda kutatuwa changamoto hii kwa namna">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...