Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Matendo ya hesabu
Katika mahedabu Kuna matendo makuu manne ambayo ni:-
Kujumlisha
Kutoa
Kuzidisha
Kugawanya
Kujumlisha
Kama ilivyo kwa lugha nyinginezo hata katika python unapojumlisha utatumia alama ya +. Unaweza kujumlisha variable kwa variable ambazo zinawakikisha namba
Mfano:
a = 5;
b=6;
print(a+b)
Hii itakupa jibu 11;
Pia unaweza kujumlisha kweli list
a = [2,4,6,7]
print(a[2] + a[1])
Hii itatupa jibu 10 kwa kuwa index ya 2 ni 6 na index ya 1 ni 4. Hivyo ni sawa na kusema 6+4.
Pia unaweza kujumlisha namba hasi na chanya chanya na kupata matokeo yaleyale.
Mfano: print(-6 + 2) hii itatupa jibu 4
Kutoa
Kama tulivyoona hapo juu kuhusu kujumlisha basi na kutoa kunafuata kanuni zilezile tunatumia alama ya - Ili kutoa.
Mfano:
a = [2,4,6,7]
print(a[2] - a[1])
Hii itatupa jibu 2
Mfano
print(9-5)
Hii itatupa jibu 4
Kuzidisha
Katika kuzidisha tutatumia *
print(6*3)
Hii itakupa jibu 18
a = [2,4,6,7]
print(a[2] * a[1])
Hii itatupa jibu 24
Kugawanya
Katika kugawanya tutatumia /
Mfano:
print(10/2)
Hii itatupa jibu 5
a = [2,4,6,7]
print(a[2] / a[0])
Hii itatupa jibu 3.0
Tuingie ndani zaidi
Sasa tunakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo hili. Kuna case nitakuletea hapo chini:-
case 1:
print(10/3)
Hii itatupa jibu 3.3333333333333335
Utaona hapo imegawanya na kutuletea fesimali nyingi sana, baada ya kibaki. Sasa tutakwenda kutatuwa changamoto hii kwa namna mbili.
Kukadiria viwan">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 255
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
kitabu cha Simulizi
Python somo la 30: Data abstraction
Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder
Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili Soma Zaidi...
Python somo la 34: Kutumia html kwneye python
Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python Soma Zaidi...
Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili
Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python Soma Zaidi...
Python somo la 26: Sheria za uandishi wa object
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object. Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi Soma Zaidi...
Python somo la 27: polymorphism kwneye python
Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake Soma Zaidi...
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop
Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python Soma Zaidi...
Python somo la 36: Kutumia json kwenye python
Katika somo hili utakwend Soma Zaidi...