Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View
Baada ya kusanidi landing page katika Django kama tulivyojifunza kwenye somo lililopita, hatua inayofuata ni kuongeza kurasa nyingine kwenye mfumo wa tovuti, kama vile kurasa za nyumbani (home), wasiliana nasi (contact), blogu, na nyinginezo. Django hurahisisha sana zoezi hili kupitia mfumo wa views na URL patterns.
Katika somo hili, tutapanua app ya menu
ndani ya mradi wa PyBongo kwa kuongeza views mpya kadhaa, kila moja ikiwa na maudhui yake, na tutaunganisha kila view na URL yake husika ili mtumiaji aweze kuifikia kwa urahisi kupitia kivinjari.
Hakikisha una yafuatayo tayari:
Django tayari imewekwa kwenye mazingira yako.
Mradi unaoitwa PyBongo
uko tayari.
Ndani ya mradi, kuna app iitwayo menu
.
Fungua faili menu/views.py
kisha ongeza au hakikisha maudhui yafuatayo yapo:
from django.http import HttpResponse
def index(request):
return HttpResponse("<h1>Welcome Bongoclass.<h1>")
def home(request):
return HttpResponse("<p>This is the home page</p>")
def contact(request):
return HttpResponse("Phone number <b style='color:blue'>07653344</b>.")
def blog(request):
return HttpResponse("<u>bongoclass.com</u>")
Kila function hapo juu ni view ya Django inayoshughulikia aina fulani ya ukurasa. Zote zinatumia
HttpResponse
kuwasilisha maudhui ya moja kwa moja kwa kivinjari.
Fungua au hariri faili menu/urls.py
na hakikisha kila view imepewa URL yake kama ifuatavyo:
from django.urls import path
from . import views
urlpatterns = [
path('', views.index, name='index'),
path('home/', views.home, name='home'),
path('contact/', views.contact, name='contact'),
path('blog/', views.blog, name='blog'),
]
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...