Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Kwa nini somo hili ni muhimu?
Ili uweze kujuwa umuhimu wa somo hili nitakuletea case hapo chini ambazo zitaonesha umuhimu wa somo hili:-
1. Katika programming language kama python unapotumia user input prompt data zinakuja katuka hali ya string. Mfano program yako inahitaji mtu aweke umri wake. Sasa huo umri ataandika 24 kwa mfano. Lakini hiyo 24 itahesabika kuwa ni string, hivyo huwezi kuifanyia mahesabu. Hivyo basi utahitajika kuibadili kuwa aina ya data unayotaka kama integer ama float.
2. Katika python unapogawanya namba mbili jibi linakuja katika mtindo wa floaf yaani namba zeye desimali. Hivyo wakati mwingine itahitajika uzibadili kuwa integer ili uweze kuifanyia mahesabu.
Jinsi ya kubadili ainaza data
1. Kubadili data kuwa namba yaani integer
Ili uweze kubadili data kuwa int utatumia function ya int(), itabeba argument moja ndani yake ambayo ni hiyo data.
Mfano:
print('5' +5); Hii itakuletea error kwa sababu 5 ya kwanza ni string na hiyo ya pili ni int. Hivyo basi tutibadilisha hiyo ya kwanza kuwa int
print(int('5') +5) hii hapa itakupa jibu 10 kwa kuwa data zetu zote zipo katika format moja ya int
2. Kubadili data kuwa string:
Ili kubadili data kuwa str tutatumia function hii str()&n">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...