Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Kwa nini somo hili ni muhimu?
Ili uweze kujuwa umuhimu wa somo hili nitakuletea case hapo chini ambazo zitaonesha umuhimu wa somo hili:-
1. Katika programming language kama python unapotumia user input prompt data zinakuja katuka hali ya string. Mfano program yako inahitaji mtu aweke umri wake. Sasa huo umri ataandika 24 kwa mfano. Lakini hiyo 24 itahesabika kuwa ni string, hivyo huwezi kuifanyia mahesabu. Hivyo basi utahitajika kuibadili kuwa aina ya data unayotaka kama integer ama float.
2. Katika python unapogawanya namba mbili jibi linakuja katika mtindo wa floaf yaani namba zeye desimali. Hivyo wakati mwingine itahitajika uzibadili kuwa integer ili uweze kuifanyia mahesabu.
Jinsi ya kubadili ainaza data
1. Kubadili data kuwa namba yaani integer
Ili uweze kubadili data kuwa int utatumia function ya int(), itabeba argument moja ndani yake ambayo ni hiyo data.
Mfano:
print('5' +5); Hii itakuletea error kwa sababu 5 ya kwanza ni string na hiyo ya pili ni int. Hivyo basi tutibadilisha hiyo ya kwanza kuwa int
print(int('5') +5) hii hapa itakupa jibu 10 kwa kuwa data zetu zote zipo katika format moja ya int
2. Kubadili data kuwa string:
Ili kubadili data kuwa str tutatumia function hii str()&n">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...