Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Kwa nini somo hili ni muhimu?
Ili uweze kujuwa umuhimu wa somo hili nitakuletea case hapo chini ambazo zitaonesha umuhimu wa somo hili:-
1. Katika programming language kama python unapotumia user input prompt data zinakuja katuka hali ya string. Mfano program yako inahitaji mtu aweke umri wake. Sasa huo umri ataandika 24 kwa mfano. Lakini hiyo 24 itahesabika kuwa ni string, hivyo huwezi kuifanyia mahesabu. Hivyo basi utahitajika kuibadili kuwa aina ya data unayotaka kama integer ama float.
2. Katika python unapogawanya namba mbili jibi linakuja katika mtindo wa floaf yaani namba zeye desimali. Hivyo wakati mwingine itahitajika uzibadili kuwa integer ili uweze kuifanyia mahesabu.
Jinsi ya kubadili ainaza data
1. Kubadili data kuwa namba yaani integer
Ili uweze kubadili data kuwa int utatumia function ya int(), itabeba argument moja ndani yake ambayo ni hiyo data.
Mfano:
print('5' +5); Hii itakuletea error kwa sababu 5 ya kwanza ni string na hiyo ya pili ni int. Hivyo basi tutibadilisha hiyo ya kwanza kuwa int
print(int('5') +5) hii hapa itakupa jibu 10 kwa kuwa data zetu zote zipo katika format moja ya int
2. Kubadili data kuwa string:
Ili kubadili data kuwa str tutatumia function hii str()&n">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kuunda dashboard rahisi ndani ya Django ambayo itaruhusu mtumiaji kuongeza, kusoma, kuhariri na kufuta taarifa za MenuItem bila kutumia Django built-in admin, bali kwa kutumia HTML templates na views tulizotengeneza sisi wenyewe.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...