picha

Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

Maana ya Object-Oriented Programming (OOP) kwenye Python

Katika somo hili, utajifunza:

  1. Maana ya Object-Oriented Programming (OOP).

  2. Faida za kutumia OOP.

  3. Features za msingi za OOP.

 


 

OOP ni nini?

OOP ni kifupisho cha maneno Object-Oriented Programming. Hii ni moja ya mitindo ya programming paradigm inayotumika kuunda programu kwa kuzingatia dhana ya vitu (objects). Mbali na OOP, kuna mitindo mingine ya programming kama:

Python ni lugha ya programu inayounga mkono OOP, ambapo kila kitu kinaweza kuchukuliwa kama object. Katika OOP, object inaweza kuwa kitu chochote, kwa mfano gari, simu, au mbuzi. Kila object huwa na:

  1. Sifa zake (attributes), kama vile rangi, ukubwa, au uzito.

  2. Tabia zake (behaviors), kama vile kutembea, kuimba, au kufungua.

 

 


 

Faida za OOP

 


 

Features za OOP

Dhana kuu za OOP ambazo ni msingi wa Python ni:

  1. Class: Kiolezo cha kuunda objects. Hii ni kama ramani.

  2. Object: Ni mfano wa class. Inawakilisha kitu halisi.

  3. Encapsulation: Kuwasilisha data na tabia kama kitu kimoja huku ukilinda data kwa kutumia private attributes.

  4. Inheritance: Uwezo wa class kurithi sifa na tabia za class nyingine.

  5. Polymorphism: Uwezo wa kutumia jina moja la method kwa behavior tofauti.

  6. Abstraction: Kuficha maelezo yasiyo ya lazima na kuonyesha mambo muhimu tu.

Maneno muhimu ya OOP

 


 

Mwisho

Somo linalofuata litahusu jinsi ya kuunda class na object kwa kutumia Python

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-11-28 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 722

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰5 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Python somo la 19: Aina za Function

Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 33: Jinsi ya kupata taarifa za faili

Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data

Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 1: Jinsi ya ku install python

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

Soma Zaidi...
PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.

Soma Zaidi...
Python somo la 61: Jinsi ya kutuma email kwenye django

Katika maeneo ya development, tunahitaji kutuma email mara nyingi kwa madhumuni ya: Kujaribu mfumo wa OTP Password reset System notifications Activation codes Lakini mara nyingi hatutaki emails ziondoke kwenda kwa watu halisi wakati bado tupo kwenye majaribio.

Soma Zaidi...
Python somo la 59: Kufanya Mahesabu (Aggregations) Katika Django

Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia Django ORM kufanya mahesabu mbalimbali kama Sum, Avg, Count, Max, Min, pamoja na kupunguza idadi ya items zinazoonekana kwenye dashboard (LIMIT). Pia tutajifunza namna ya kutengeneza β€œdifference” kati ya thamani kubwa na ndogo bila kubadilisha functions zozote ulizokwisha ziandika.

Soma Zaidi...
Python somo la 21: Module katika python

Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile

Soma Zaidi...