Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

Maana ya Object-Oriented Programming (OOP) kwenye Python

Katika somo hili, utajifunza:

  1. Maana ya Object-Oriented Programming (OOP).

  2. Faida za kutumia OOP.

  3. Features za msingi za OOP.

 


 

OOP ni nini?

OOP ni kifupisho cha maneno Object-Oriented Programming. Hii ni moja ya mitindo ya programming paradigm inayotumika kuunda programu kwa kuzingatia dhana ya vitu (objects). Mbali na OOP, kuna mitindo mingine ya programming kama:

Python ni lugha ya programu inayounga mkono OOP, ambapo kila kitu kinaweza kuchukuliwa kama object. Katika OOP, object inaweza kuwa kitu chochote, kwa mfano gari, simu, au mbuzi. Kila object huwa na:

  1. Sifa zake (attributes), kama vile rangi, ukubwa, au uzito.

  2. Tabia zake (behaviors), kama vile kutembea, kuimba, au kufungua.

 

 


 

Faida za OOP

 


 

Features za OOP

Dhana kuu za OOP ambazo ni msingi wa Python ni:

  1. Class: Kiolezo cha kuunda objects. Hii ni kama ramani.

  2. Object: Ni mfano wa class. Inawakilisha kitu halisi.

  3. Encapsulation: Kuwasilisha data na tabia kama kitu kimoja huku ukilinda data kwa kutumia private attributes.

  4. Inheritance: Uwezo wa class kurithi sifa na tabia za class nyingine.

  5. Polymorphism: Uwezo wa kutumia jina moja la method kwa behavior tofauti.

  6. Abstraction: Kuficha maelezo yasiyo ya lazima na kuonyesha mambo muhimu tu.

Maneno muhimu ya OOP

 


 

Mwisho

Somo linalofuata litahusu jinsi ya kuunda class na object kwa kutumia Python

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 392

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Python somo la 38: Kubadilisha landing page ya Django Framework

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.

Soma Zaidi...
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 30: Data abstraction

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

Soma Zaidi...
Python somo la 28: inheritance kwenye OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...
Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop

Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 27: polymorphism kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 16: Jinsi ya kutumia break na continue kwenye loop

Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop

Soma Zaidi...
Python somo la 20: Aina za parameter kwenye function

Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

Soma Zaidi...