Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
AINA ZA DATA KWENYE PYTHON SEHEMU YA PILI
Hapa tutakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Aina hizi zina mfanano kidogo na array lakini ni tofauti.
Hii ji aina ya data ambazo huwasilishwa kwa njia ya list yaani orodha. Aina hii ya data inaweza kukusanya data zilizo katika makundu tofautootofauti. Kwa mfano inaweza kuwa na namba tupu, ama hstring tupu amna ikachanganya string, float na namba.
Katika aina hii ya data tutatumia mabano ya bracket ambayo ni [] ili kutengeneza list yetu. Kila data moja hutenganisha na nyingine kwa kutumia alama ya koma (,). Jambo la kuzingatia ni kuwa data hizi husomwa kwa kupuata kanuni za array, yaani tunaanza 0. Kw amfano kwenye lista hii [1,2,3,4,5] hapo tukitaka kujuwa 5 ni yangapi tutasema ni ya 3 kwenye orodha kwa kuwa tunahesabu kuanzia sifuri. Kwahiyo orodha hiyo ina data 4 tu na sio 5. Angalia mifano hiyohapo chini:-
Mfano 1: kwa namba tupu
a = [1,2,3,4]
print(a)
Hapo itakupa matokeo haya
Mafano 2: kwa string tupu
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b)
Code hizo zitakupa matokeo haya
Mfano wa 3: kwa mchanganyiko
c = [2023, "python", 2011, "java", 16.5]
print(c)
Code hizo zitakupa matokeo haya
Pia unaweza kuweka list ndani ya list nyingine (nested list). Mfano
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b)
Hapo utapata matokeo haya:-
Jinsi ya ku display value mahususi ndani ya list data:
Kwa mfano kwenye list hii ['Google', "Amazon" "Bongoclass" "Youtube"] Na unataka ku display Bongoclass kutoka kwenye hiyo lista hapo. Kwa nza itakupasa kujuwa hiyo bongoclass ni ya ngapi kwenye list. Kumbuka utatakiwa kuhesabu kuanzia 0. Hivyo basi hapo bongoclass itakuwa ni ya 2. Sasa endapo utataka ku display hiyo tu itakubidi utumie hiyo index yake ambayo ni 2.
Mfano:
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b[2])
Hii itadisplay Bongoclass
Sasa tuseme kuwa tunataka ku display Bongoclass na Google kwanza tutatakiwa kuzijuwa index namba zao. Kumbuka kuanzia 0. Hivyo kwenye list hiyo Google ina index 0 na Bongoclass ina index 2. Kwa maana hiyo sasa tutatumia index hizo ku display kama tulivyofanya hapo juu
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b[2],b[0])
Hizo zita display Bongoclass Google
Na endapo utahitaji ku display list iliyo ndani ya list
Hapa utafanya vilevile kwa ja ujuwe index ya hiyo lista. Mfano tuna hii lista
Hapo list iliyoyopo ndani ya list ina index ya 4. Hivyo tutatumia index ya 4 ku rint hiyo list. Mfano
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b[4])
Hiyo itatupatia matokeo haya
Na endapo tunataka ku display data maalumu, kwa mfano tunataka ku display app hapo kwanza tutatakiw akujuwa index ya list yote ambayo ni 4 kisha tujuwe index ya hilo neno app kwenye list ndogo ambayo ni 2. Hivyo tutatsena print(b[4][2])
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b[4][2])
Ha">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...