Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
AINA ZA DATA KWENYE PYTHON SEHEMU YA PILI
Hapa tutakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Aina hizi zina mfanano kidogo na array lakini ni tofauti.
Hii ji aina ya data ambazo huwasilishwa kwa njia ya list yaani orodha. Aina hii ya data inaweza kukusanya data zilizo katika makundu tofautootofauti. Kwa mfano inaweza kuwa na namba tupu, ama hstring tupu amna ikachanganya string, float na namba.
Katika aina hii ya data tutatumia mabano ya bracket ambayo ni [] ili kutengeneza list yetu. Kila data moja hutenganisha na nyingine kwa kutumia alama ya koma (,). Jambo la kuzingatia ni kuwa data hizi husomwa kwa kupuata kanuni za array, yaani tunaanza 0. Kw amfano kwenye lista hii [1,2,3,4,5] hapo tukitaka kujuwa 5 ni yangapi tutasema ni ya 3 kwenye orodha kwa kuwa tunahesabu kuanzia sifuri. Kwahiyo orodha hiyo ina data 4 tu na sio 5. Angalia mifano hiyohapo chini:-
Mfano 1: kwa namba tupu
a = [1,2,3,4]
print(a)
Hapo itakupa matokeo haya
Mafano 2: kwa string tupu
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b)
Code hizo zitakupa matokeo haya
Mfano wa 3: kwa mchanganyiko
c = [2023, "python", 2011, "java", 16.5]
print(c)
Code hizo zitakupa matokeo haya
Pia unaweza kuweka list ndani ya list nyingine (nested list). Mfano
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b)
Hapo utapata matokeo haya:-
Jinsi ya ku display value mahususi ndani ya list data:
Kwa mfano kwenye list hii ['Google', "Amazon" "Bongoclass" "Youtube"] Na unataka ku display Bongoclass kutoka kwenye hiyo lista hapo. Kwa nza itakupasa kujuwa hiyo bongoclass ni ya ngapi kwenye list. Kumbuka utatakiwa kuhesabu kuanzia 0. Hivyo basi hapo bongoclass itakuwa ni ya 2. Sasa endapo utataka ku display hiyo tu itakubidi utumie hiyo index yake ambayo ni 2.
Mfano:
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b[2])
Hii itadisplay Bongoclass
Sasa tuseme kuwa tunataka ku display Bongoclass na Google kwanza tutatakiwa kuzijuwa index namba zao. Kumbuka kuanzia 0. Hivyo kwenye list hiyo Google ina index 0 na Bongoclass ina index 2. Kwa maana hiyo sasa tutatumia index hizo ku display kama tulivyofanya hapo juu
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b[2],b[0])
Hizo zita display Bongoclass Google
Na endapo utahitaji ku display list iliyo ndani ya list
Hapa utafanya vilevile kwa ja ujuwe index ya hiyo lista. Mfano tuna hii lista
Hapo list iliyoyopo ndani ya list ina index ya 4. Hivyo tutatumia index ya 4 ku rint hiyo list. Mfano
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b[4])
Hiyo itatupatia matokeo haya
Na endapo tunataka ku display data maalumu, kwa mfano tunataka ku display app hapo kwanza tutatakiw akujuwa index ya list yote ambayo ni 4 kisha tujuwe index ya hilo neno app kwenye list ndogo ambayo ni 2. Hivyo tutatsena print(b[4][2])
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b[4][2])
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kutumia html kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...