PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.

AINA ZA DATA KWENYE PYTHON SEHEMU YA PILI

Hapa tutakwenda kujifunza aina nyingine  za data ambazo hutumika kwenye python. Aina hizi zina mfanano kidogo na array lakini ni tofauti. 

  1. List data type

Hii ji aina ya data ambazo huwasilishwa kwa njia ya list yaani orodha. Aina hii ya data inaweza kukusanya data zilizo katika makundu tofautootofauti. Kwa mfano inaweza kuwa na namba tupu, ama hstring tupu amna ikachanganya string, float na namba.

 

Katika aina hii ya data tutatumia mabano ya bracket ambayo ni [] ili kutengeneza list yetu. Kila data moja hutenganisha na nyingine kwa kutumia alama ya koma (,). Jambo la kuzingatia ni kuwa data hizi husomwa kwa kupuata kanuni za array, yaani tunaanza 0. Kw amfano kwenye lista hii [1,2,3,4,5] hapo tukitaka kujuwa 5 ni yangapi tutasema ni ya 3 kwenye orodha kwa kuwa tunahesabu kuanzia sifuri. Kwahiyo orodha hiyo ina data 4 tu na sio 5. Angalia mifano hiyohapo chini:-

 

Mfano 1: kwa namba tupu

a = [1,2,3,4]

print(a)

Hapo itakupa matokeo haya

Mafano 2: kwa string tupu

b = ['Google'"Amazon""Bongoclass" ,"Youtube"]

print(b)

 

Code hizo zitakupa matokeo haya

Mfano wa 3: kwa mchanganyiko

c = [2023, "python", 2011, "java", 16.5]

print(c)

 

Code hizo zitakupa matokeo haya



 

Pia unaweza kuweka list ndani ya list nyingine (nested list). Mfano 

b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]

print(b)

 

Hapo utapata matokeo haya:-

 

Jinsi ya ku display value mahususi ndani ya list data:

Kwa mfano kwenye list hii ['Google', "Amazon" "Bongoclass" "Youtube"] Na  unataka ku display Bongoclass kutoka kwenye hiyo lista hapo. Kwa nza itakupasa kujuwa hiyo bongoclass ni ya ngapi kwenye list. Kumbuka utatakiwa kuhesabu kuanzia 0. Hivyo basi hapo bongoclass itakuwa ni ya 2. Sasa endapo utataka ku display hiyo tu itakubidi utumie hiyo index yake ambayo ni 2.

Mfano:

 b = ['Google'"Amazon""Bongoclass" ,"Youtube"]

print(b[2])

 

Hii itadisplay Bongoclass

    

 

Sasa tuseme kuwa tunataka ku display Bongoclass na Google kwanza tutatakiwa kuzijuwa index namba zao. Kumbuka kuanzia 0. Hivyo kwenye list hiyo Google ina index 0 na Bongoclass ina index 2. Kwa maana hiyo sasa tutatumia index hizo ku display kama tulivyofanya hapo juu

b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]

print(b[2],b[0])

 

Hizo zita display Bongoclass  Google

 

Na endapo utahitaji ku display list iliyo ndani ya list

Hapa utafanya vilevile kwa ja ujuwe index ya hiyo lista. Mfano tuna hii lista 

Hapo list iliyoyopo ndani ya list ina index ya 4. Hivyo tutatumia index ya 4 ku rint hiyo list. Mfano

b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]

print(b[4])

Hiyo itatupatia matokeo haya

 

Na endapo tunataka ku display data maalumu, kwa mfano tunataka ku display app hapo kwanza tutatakiw akujuwa index ya list yote ambayo ni 4 kisha tujuwe index ya hilo neno app kwenye list ndogo ambayo ni 2. Hivyo tutatsena print(b[4][2])

b = ['Google'"Amazon""Bongoclass" ,"Youtube", ["blog""web""app"]]

print(b[4][2])

Ha">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 453

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Python somo la 48: Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 7: Jinsi ya kubadili aina ya data

Katika soo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubaduli aina moja ya data kwena aina nyingine. Kwa mfano unaweza kubadili namba kuwa string ama kubadili string kuwa nanda ama kubadili float kuwa int.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 9: indexing katika strinfg

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.

Soma Zaidi...
Python somo la 49: Jinsi ya ku host project ya Django

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku host website ya Django. Hapa tutakwenda kutuma plaform ya pythonanywhere.com.

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

Soma Zaidi...
Python somo la 18: Jinsi ya kuandika function

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

Soma Zaidi...
PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.

Soma Zaidi...