PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean

PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean

Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

AINA ZA DATA KWENYE PYTHON SEHEMU YA PILI

Hapa tutakwenda kujifunza aina nyingine  za data ambazo hutumika kwenye python. Aina hizi zina mfanano kidogo na array lakini ni tofauti. 

  1. List data type

Hii ji aina ya data ambazo huwasilishwa kwa njia ya list yaani orodha. Aina hii ya data inaweza kukusanya data zilizo katika makundu tofautootofauti. Kwa mfano inaweza kuwa na namba tupu, ama hstring tupu amna ikachanganya string, float na namba.

 

Katika aina hii ya data tutatumia mabano ya bracket ambayo ni [] ili kutengeneza list yetu. Kila data moja hutenganisha na nyingine kwa kutumia alama ya koma (,). Jambo la kuzingatia ni kuwa data hizi husomwa kwa kupuata kanuni za array, yaani tunaanza 0. Kw amfano kwenye lista hii [1,2,3,4,5] hapo tukitaka kujuwa 5 ni yangapi tutasema ni ya 3 kwenye orodha kwa kuwa tunahesabu kuanzia sifuri. Kwahiyo orodha hiyo ina data 4 tu na sio 5. Angalia mifano hiyohapo chini:-

 

Mfano 1: kwa namba tupu

a = [1,2,3,4]

print(a)

Hapo itakupa matokeo haya

Mafano 2: kwa string tupu

b = ['Google'"Amazon""Bongoclass" ,"Youtube"]

print(b)

 

Code hizo zitakupa matokeo haya

Mfano wa 3: kwa mchanganyiko

c = [2023, "python", 2011, "java", 16.5]

print(c)

 

Code hizo zitakupa matokeo haya



 

Pia unaweza kuweka list ndani ya list nyingine (nested list). Mfano 

b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]

print(b)

 

Hapo utapata matokeo haya:-

 

Jinsi ya ku display value mahususi ndani ya list data:

Kwa mfano kwenye list hii ['Google', "Amazon" "Bongoclass" "Youtube"] Na  unataka ku display Bongoclass kutoka kwenye hiyo lista hapo. Kwa nza itakupasa kujuwa hiyo bongoclass ni ya ngapi kwenye list. Kumbuka utatakiwa kuhesabu kuanzia 0. Hivyo basi hapo bongoclass itakuwa ni ya 2. Sasa endapo utataka ku display hiyo tu itakubidi utumie hiyo index yake ambayo ni 2.

Mfano:

 b = ['Google'"Amazon""Bongoclass" ,"Youtube"]

print(b[2])

 

Hii itadisplay Bongoclass

    

 

Sasa tuseme kuwa tunataka ku display Bongoclass na Google kwanza tutatakiwa kuzijuwa index namba zao. Kumbuka kuanzia 0. Hivyo kwenye list hiyo Google ina index 0 na Bongoclass ina index 2. Kwa maana hiyo sasa tutatumia index hizo ku display kama tulivyofanya hapo juu

b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]

print(b[2],b[0])

 

Hizo zita display Bongoclass  Google

 

Na endapo utahitaji ku display list iliyo ndani ya list

Hapa utafanya vilevile kwa ja ujuwe index ya hiyo lista. Mfano tuna hii lista 

Hapo list iliyoyopo ndani ya list ina index ya 4. Hivyo tutatumia index ya 4 ku rint hiyo list. Mfano

b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]

print(b[4])

Hiyo itatupatia matokeo haya

 

Na endapo tunataka ku display data maalumu, kwa mfano tunataka ku display app hapo kwanza tutatakiw akujuwa index ya list yote ambayo ni 4 kisha tujuwe index ya hilo neno app kwenye list ndogo ambayo ni 2. Hivyo tutatsena print(b[4][2])

b = ['Google'"Amazon""Bongoclass" ,"Youtube", ["blog""web""app"]]

print(b[4][2])

Ha">...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 373

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 1: Jinsi ya ku install python
PYTHON - somo la 1: Jinsi ya ku install python

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django

Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template

Soma Zaidi...
Python somo la 47: Jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Python somo la 47: Jinsi ya kupokea na kuchakata fomu

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu

Soma Zaidi...
Python somo la 37: Jinsi ya ku install Django na kutengeneza project na app
Python somo la 37: Jinsi ya ku install Django na kutengeneza project na app

Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app

Soma Zaidi...
Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili
Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Soma Zaidi...
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi
Python somo la 36: Django framework - Utangulizi

Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani

Soma Zaidi...
Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates
Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template

Soma Zaidi...
Python somo la 21: Module katika python
Python somo la 21: Module katika python

Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile

Soma Zaidi...
Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu
Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu

Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.

Soma Zaidi...