PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
AINA ZA DATA KWENYE PYTHON SEHEMU YA PILI
Hapa tutakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Aina hizi zina mfanano kidogo na array lakini ni tofauti.
- List data type
Hii ji aina ya data ambazo huwasilishwa kwa njia ya list yaani orodha. Aina hii ya data inaweza kukusanya data zilizo katika makundu tofautootofauti. Kwa mfano inaweza kuwa na namba tupu, ama hstring tupu amna ikachanganya string, float na namba.
Katika aina hii ya data tutatumia mabano ya bracket ambayo ni [] ili kutengeneza list yetu. Kila data moja hutenganisha na nyingine kwa kutumia alama ya koma (,). Jambo la kuzingatia ni kuwa data hizi husomwa kwa kupuata kanuni za array, yaani tunaanza 0. Kw amfano kwenye lista hii [1,2,3,4,5] hapo tukitaka kujuwa 5 ni yangapi tutasema ni ya 3 kwenye orodha kwa kuwa tunahesabu kuanzia sifuri. Kwahiyo orodha hiyo ina data 4 tu na sio 5. Angalia mifano hiyohapo chini:-
Mfano 1: kwa namba tupu
a = [1,2,3,4]
print(a)
Hapo itakupa matokeo haya
Mafano 2: kwa string tupu
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b)
Code hizo zitakupa matokeo haya
Mfano wa 3: kwa mchanganyiko
c = [2023, "python", 2011, "java", 16.5]
print(c)
Code hizo zitakupa matokeo haya
Pia unaweza kuweka list ndani ya list nyingine (nested list). Mfano
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b)
Hapo utapata matokeo haya:-
Jinsi ya ku display value mahususi ndani ya list data:
Kwa mfano kwenye list hii ['Google', "Amazon" "Bongoclass" "Youtube"] Na unataka ku display Bongoclass kutoka kwenye hiyo lista hapo. Kwa nza itakupasa kujuwa hiyo bongoclass ni ya ngapi kwenye list. Kumbuka utatakiwa kuhesabu kuanzia 0. Hivyo basi hapo bongoclass itakuwa ni ya 2. Sasa endapo utataka ku display hiyo tu itakubidi utumie hiyo index yake ambayo ni 2.
Mfano:
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b[2])
Hii itadisplay Bongoclass
Sasa tuseme kuwa tunataka ku display Bongoclass na Google kwanza tutatakiwa kuzijuwa index namba zao. Kumbuka kuanzia 0. Hivyo kwenye list hiyo Google ina index 0 na Bongoclass ina index 2. Kwa maana hiyo sasa tutatumia index hizo ku display kama tulivyofanya hapo juu
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b[2],b[0])
Hizo zita display Bongoclass Google
Na endapo utahitaji ku display list iliyo ndani ya list
Hapa utafanya vilevile kwa ja ujuwe index ya hiyo lista. Mfano tuna hii lista
Hapo list iliyoyopo ndani ya list ina index ya 4. Hivyo tutatumia index ya 4 ku rint hiyo list. Mfano
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b[4])
Hiyo itatupatia matokeo haya
Na endapo tunataka ku display data maalumu, kwa mfano tunataka ku display app hapo kwanza tutatakiw akujuwa index ya list yote ambayo ni 4 kisha tujuwe index ya hilo neno app kwenye list ndogo ambayo ni 2. Hivyo tutatsena print(b[4][2])
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b[4][2])
Hapo utapata app
Utaweza kutumia mifano hiyo kwenye list nyingine zaidi.
2. Ana nyingine ni turple
Aina hii ya data ni sawa na list mabayi tumeiona hapo juu, isipokuwa ii ni static yaani haibadiliki badiliki. Tofauti na list ambayo inawez kubadilika muda wote. Katika uandishi utofauti wao ni matuminzi ya mabano. Hii ya turple inatumia mabano haya () y...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 ai web app 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Python somo la 14: Jinsi ya kutumia For loop
Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Python somo la 56: Kuongeza Data Katika Database kwa Kutumia Django Admin na Django Shell
Katika somo hili tutajifunza njia mbili muhimu za kuongeza data kwenye database katika project yetu ya pybongo (app: menu). Njia hizi ni: Kutumia Django Admin Kutumia Django Shell Utafahamu pia jinsi ya kusajili models kwenye admin, jinsi ya kuingia admin panel, na namna ya kutengeneza entries mpya za MenuItem.
Soma Zaidi...PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Python somo la 27: polymorphism kwneye python
Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Python somo la 40: Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django
Katika somo hili utajifunza Jinsi ya Kuunda Simple Navigation Menu Katika Django kwa kutumia template
Soma Zaidi...Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template
Soma Zaidi...