PYHON - somo la 5: Aina za data list, turple, dictionary na boolean
Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
AINA ZA DATA KWENYE PYTHON SEHEMU YA PILI
Hapa tutakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python. Aina hizi zina mfanano kidogo na array lakini ni tofauti.
- List data type
Hii ji aina ya data ambazo huwasilishwa kwa njia ya list yaani orodha. Aina hii ya data inaweza kukusanya data zilizo katika makundu tofautootofauti. Kwa mfano inaweza kuwa na namba tupu, ama hstring tupu amna ikachanganya string, float na namba.
Katika aina hii ya data tutatumia mabano ya bracket ambayo ni [] ili kutengeneza list yetu. Kila data moja hutenganisha na nyingine kwa kutumia alama ya koma (,). Jambo la kuzingatia ni kuwa data hizi husomwa kwa kupuata kanuni za array, yaani tunaanza 0. Kw amfano kwenye lista hii [1,2,3,4,5] hapo tukitaka kujuwa 5 ni yangapi tutasema ni ya 3 kwenye orodha kwa kuwa tunahesabu kuanzia sifuri. Kwahiyo orodha hiyo ina data 4 tu na sio 5. Angalia mifano hiyohapo chini:-
Mfano 1: kwa namba tupu
a = [1,2,3,4]
print(a)
Hapo itakupa matokeo haya
Mafano 2: kwa string tupu
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b)
Code hizo zitakupa matokeo haya
Mfano wa 3: kwa mchanganyiko
c = [2023, "python", 2011, "java", 16.5]
print(c)
Code hizo zitakupa matokeo haya
Pia unaweza kuweka list ndani ya list nyingine (nested list). Mfano
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b)
Hapo utapata matokeo haya:-
Jinsi ya ku display value mahususi ndani ya list data:
Kwa mfano kwenye list hii ['Google', "Amazon" "Bongoclass" "Youtube"] Na unataka ku display Bongoclass kutoka kwenye hiyo lista hapo. Kwa nza itakupasa kujuwa hiyo bongoclass ni ya ngapi kwenye list. Kumbuka utatakiwa kuhesabu kuanzia 0. Hivyo basi hapo bongoclass itakuwa ni ya 2. Sasa endapo utataka ku display hiyo tu itakubidi utumie hiyo index yake ambayo ni 2.
Mfano:
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b[2])
Hii itadisplay Bongoclass
Sasa tuseme kuwa tunataka ku display Bongoclass na Google kwanza tutatakiwa kuzijuwa index namba zao. Kumbuka kuanzia 0. Hivyo kwenye list hiyo Google ina index 0 na Bongoclass ina index 2. Kwa maana hiyo sasa tutatumia index hizo ku display kama tulivyofanya hapo juu
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube"]
print(b[2],b[0])
Hizo zita display Bongoclass Google
Na endapo utahitaji ku display list iliyo ndani ya list
Hapa utafanya vilevile kwa ja ujuwe index ya hiyo lista. Mfano tuna hii lista
Hapo list iliyoyopo ndani ya list ina index ya 4. Hivyo tutatumia index ya 4 ku rint hiyo list. Mfano
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b[4])
Hiyo itatupatia matokeo haya
Na endapo tunataka ku display data maalumu, kwa mfano tunataka ku display app hapo kwanza tutatakiw akujuwa index ya list yote ambayo ni 4 kisha tujuwe index ya hilo neno app kwenye list ndogo ambayo ni 2. Hivyo tutatsena print(b[4][2])
b = ['Google', "Amazon", "Bongoclass" ,"Youtube", ["blog", "web", "app"]]
print(b[4][2])
Hapo utapata app
Utaweza kutumia mifano hiyo kwenye list nyingine zaidi.
2. Ana nyingine ni turple
Aina hii ya data ni sawa na list mabayi tumeiona hapo juu, isipokuwa ii ni static yaani haibadiliki badiliki. Tofauti na list ambayo inawez kubadilika muda wote. Katika uandishi utofauti wao ni matuminzi ya mabano. Hii ya turple inatumia mabano haya () y...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 ai web app 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 web hosting 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Python somo la 19: Aina za Function
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Python somo la 29: Encaosulation kwneye python
Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu
Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...Python somo la 48: Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Katika somo hili tutakwend akujifunza kuhusi Jinsi ya Kutumia JavaScript kwenye Fomu za Django
Soma Zaidi...PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika
Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...PYTHON somo la 11: Matumizi ya comperison eperator katika python
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...