Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Katika Django, model ni darasa (class) linalotumika kuunda jedwali (table) kwenye database. Kila kipengele kwenye model ni field inayowakilisha safu (column) ya data.
Tuna mfano wa model yetu kama ifuatavyo:
from django.db import models
class MenuItem(models.Model):
jina = models.CharField(max_length=100)
maelezo = models.TextField(blank=True)
muda_upatikanaji = models.CharField(max_length=50)
bei = models.DecimalField(max_digits=10, decimal_places=2)
def __str__(self):
return self.jina
Hebu tuchambue kila sehemu ya model hii kwa undani:
jina = models.CharField(max_length=100)
CharField hutumika kuhifadhi maandishi mafupi kama majina.
max_length=100 inaweka ukomo wa herufi 100 kwa jina hili.
✅ Mfano wa data: "Chips Mayai"
maelezo = models.TextField(blank=True)
TextField hukusanya maandishi marefu kama maelezo au maudhui marefu.
blank=True ina maana sehemu hii inaweza kuachwa wazi wakati wa kuingiza data.
✅ Mfano wa data: "Chakula hiki hutolewa na maziwa safi."
muda_upatikanaji = models.CharField(max_length=50)
Hii pia ni CharField kwa kuwa muda tunaouandika ni maandishi.
max_length=50 inatosha kwa maandishi kama:
✅ Mfano wa data: "Asubuhi hadi saa 8"
, ...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...