Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Katika Django, model ni class inayotumika kuunda jedwali (table) kwenye database. Kila kipengele kwenye model ni field inayowakilisha safu (column) ya data. Hii model ndio itakwenda kuamrisha django kutengeneza table yenye field fulani kwneye database.
Kwa lugha rahisi ni kuwa, tunapotumia framework, ili kuweza kucheza na database, kama kuteneneza table, ama kubadili, kufuta n.k, huwa tunatumia model ili kuweza kufanya hayo. model ni class ambayo inaadikwa kwa ajili ya ku manipulate database.
Kwenye App ndani ya project tafuta folder faili linaloitwa models.py hapo uta pest code hozo hapo chini.
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutajifunza jinsi Django hutumia migrations kuunda na kubadilisha tables kwenye database kulingana na models tunazoandika. Tutapitia maana ya migration, hatua za kuitumia, umuhimu wake, misingi ya makemigrations na migrate, pamoja na mfano halisi kutoka kwenye project yetu ya pybongo (app: menu).
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu operator. Hasa hapa tutakwend akujifunz akuhusu comparison operaor.
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...