Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Katika Django, model ni darasa (class) linalotumika kuunda jedwali (table) kwenye database. Kila kipengele kwenye model ni field inayowakilisha safu (column) ya data.
Tuna mfano wa model yetu kama ifuatavyo:
from django.db import models
class MenuItem(models.Model):
jina = models.CharField(max_length=100)
maelezo = models.TextField(blank=True)
muda_upatikanaji = models.CharField(max_length=50)
bei = models.DecimalField(max_digits=10, decimal_places=2)
def __str__(self):
return self.jina
Hebu tuchambue kila sehemu ya model hii kwa undani:
jina = models.CharField(max_length=100)CharField hutumika kuhifadhi maandishi mafupi kama majina.
max_length=100 inaweka ukomo wa herufi 100 kwa jina hili.
✅ Mfano wa data: "Chips Mayai"
maelezo = models.TextField(blank=True)TextField hukusanya maandishi marefu kama maelezo au maudhui marefu.
blank=True ina maana sehemu hii inaweza kuachwa wazi wakati wa kuingiza data.
✅ Mfano wa data: "Chakula hiki hutolewa na maziwa safi."
muda_upatikanaji = models.CharField(max_length=50)Hii pia ni CharField kwa kuwa muda tunaouandika ni maandishi.
max_length=50 inatosha kwa maandishi kama:
✅ Mfano wa data: "Asubuhi hadi saa 8", ...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujfunza operator nyingine kama assignment operator logical, identity operator na membership operator.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kutengeneza htmk form pamoja na kuituma.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Ni nini maana ya django framework na inafanya kazi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kuandika function, kuweka parameter na kuitumia function
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu string indexing. Kama tulivyojifunza kuhusu namba katika somo lililopita, basi hapa tutakwenda kucheza na string.
Soma Zaidi...