Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Katika Django, model ni darasa (class) linalotumika kuunda jedwali (table) kwenye database. Kila kipengele kwenye model ni field inayowakilisha safu (column) ya data.
Tuna mfano wa model yetu kama ifuatavyo:
from django.db import models
class MenuItem(models.Model):
jina = models.CharField(max_length=100)
maelezo = models.TextField(blank=True)
muda_upatikanaji = models.CharField(max_length=50)
bei = models.DecimalField(max_digits=10, decimal_places=2)
def __str__(self):
return self.jina
Hebu tuchambue kila sehemu ya model hii kwa undani:
jina = models.CharField(max_length=100)
CharField hutumika kuhifadhi maandishi mafupi kama majina.
max_length=100 inaweka ukomo wa herufi 100 kwa jina hili.
✅ Mfano wa data: "Chips Mayai"
maelezo = models.TextField(blank=True)
TextField hukusanya maandishi marefu kama maelezo au maudhui marefu.
blank=True ina maana sehemu hii inaweza kuachwa wazi wakati wa kuingiza data.
✅ Mfano wa data: "Chakula hiki hutolewa na maziwa safi."
muda_upatikanaji = models.CharField(max_length=50)
Hii pia ni CharField kwa kuwa muda tunaouandika ni maandishi.
max_length=50 inatosha kwa maandishi kama:
✅ Mfano wa data: "Asubuhi hadi saa 8"
, ...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Katika somo hili tunakwenda kujifunza aina nyingine za data ambazo hutumika kwenye python.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza matumizi ya for loop kwneye python
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akujifunza kwa urefu zaidi kuhusu parameter ambazo hutumika kwenye functions
Soma Zaidi...