Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Katika Django, model ni darasa (class) linalotumika kuunda jedwali (table) kwenye database. Kila kipengele kwenye model ni field inayowakilisha safu (column) ya data.
Tuna mfano wa model yetu kama ifuatavyo:
from django.db import models
class MenuItem(models.Model):
jina = models.CharField(max_length=100)
maelezo = models.TextField(blank=True)
muda_upatikanaji = models.CharField(max_length=50)
bei = models.DecimalField(max_digits=10, decimal_places=2)
def __str__(self):
return self.jina
Hebu tuchambue kila sehemu ya model hii kwa undani:
jina = models.CharField(max_length=100)
CharField hutumika kuhifadhi maandishi mafupi kama majina.
max_length=100 inaweka ukomo wa herufi 100 kwa jina hili.
✅ Mfano wa data: "Chips Mayai"
maelezo = models.TextField(blank=True)
TextField hukusanya maandishi marefu kama maelezo au maudhui marefu.
blank=True ina maana sehemu hii inaweza kuachwa wazi wakati wa kuingiza data.
✅ Mfano wa data: "Chakula hiki hutolewa na maziwa safi."
muda_upatikanaji = models.CharField(max_length=50)
Hii pia ni CharField kwa kuwa muda tunaouandika ni maandishi.
max_length=50 inatosha kwa maandishi kama:
✅ Mfano wa data: "Asubuhi hadi saa 8"
, ...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tunakwenda kujifunza matumizi ya break na continue kwenye loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kupokea na kuchakata fomu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili ukurasa wa landing page wa Django na kuweka ukurasa tunaoutaka sisi.
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya variable, na sheria za kutengeneza variable kwenye python. Pia utajifunza maneno ambayo hayafai kutumiwa kama variable
Soma Zaidi...Somo hili linazungumzia hatua ya kuunda navigation menu na kutumia template inheritance kwa njia ya kitaalamu katika Django.
Soma Zaidi...