Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu
Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
KUTENGENEZA MODEL YA MENU NA UFUNUZI WA FIELD ZAKE
Katika Django, model ni class inayotumika kuunda jedwali (table) kwenye database. Kila kipengele kwenye model ni field inayowakilisha safu (column) ya data. Hii model ndio itakwenda kuamrisha django kutengeneza table yenye field fulani kwneye database.
Kwa lugha rahisi ni kuwa, tunapotumia framework, ili kuweza kucheza na database, kama kuteneneza table, ama kubadili, kufuta n.k, huwa tunatumia model ili kuweza kufanya hayo. model ni class ambayo inaadikwa kwa ajili ya ku manipulate database.
Kwenye App ndani ya project tafuta folder faili linaloitwa models.py hapo uta pest code hozo hapo chini.
Tuna mfano wa model yetu kama ifuatavyo:
from django.db import models
class MenuItem(models.Model):
jina = models.CharField(max_length=100)
maelezo = models.TextField(blank=True)
muda_upatikanaji = models.CharField(max_length=50)
bei = models.DecimalField(max_digits=10, decimal_places=2)
def __str__(self):
return self.jina
Hebu tuchambue kila sehemu ya model hii kwa undani:
? 1. jina = models.CharField(max_length=100)
-
CharField hutumika kuhifadhi maandishi mafupi kama majina.
-
max_length=100 inaweka ukomo wa herufi 100 kwa jina hili.
✅ Mfano wa data:
"Chips Mayai"
? 2. maelezo = models.TextField(blank=True)
-
TextField hukusanya maandishi marefu kama maelezo au maudhui marefu.
-
blank=True ina maana sehemu hii inaweza kuachwa wazi wakati wa kuingiza data.
✅ Mfano wa data:
"Chakula hiki hutolewa na maziwa ...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Python somo 57: Matumizi ya Python shell
Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya Python shell na umuhimu wake. Tofauti kati ya shell na terminal ya kawaida. Matumizi ya shell, hususan kwenye Django. Amri muhimu zaidi za Python shell, zilizotokana na models na views zako za pybongo.
Soma Zaidi...Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Soma Zaidi...Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Python somo la 23: Library kwenye python
Hapa utajifunza maana ya library, kazi zake aina zake na jinsi ya ku install lirary
Soma Zaidi...Python somo la 19: Aina za Function
Katika somo hili utakwend akujifunza aina mbalimbali za function ambazo tunaweza kuzitumia kwenye python.
Soma Zaidi...Python somo la 53: Kutengeneza HTML Form na Django View kwa ajili ya kuingiza data
Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...