picha

PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

Ili uweze kujuwa aina ya data iloiyotumika kwenye pytho tutatumia function ya type(). Hii hutumika kutambuwa ni aina gfani ya data iliyotumuka. Angalia mifano hii:-

Mfano 1:

mafunzo = "python, php, javascript, java"

print(type(mafunzo))

Hii itakupa majibu haya:

<class 'str'> kumanisha kuwa hiyo object hapo ni string. String hufupishwa kwa kuandika str. Kwahiyo hapo tunapata majibu kuwa "python, php, javascript, java" Ni string

Mfano 2

bei = 16500

print(type(bei))

 

Hii itakupa majibu <class 'int'> kumaanisha kuwa hii ni int yaani namba

 

Mfano 3

bei = 2.5

print(type(bei))

">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 628

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

Soma Zaidi...
Python somo la 50: database kwneye django

Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model

Soma Zaidi...
Python somo la 53: Kutengeneza HTML Form na Django View kwa ajili ya kuingiza data

Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.

Soma Zaidi...
Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Soma Zaidi...
Python somo la 30: Data abstraction

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP

Soma Zaidi...
Python somo la 24: Nini maana ya Object Oriented Programming

Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code

Soma Zaidi...
Python somo la 51: Jinsi ya kutengeneza Model ya menu

Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.

Soma Zaidi...
Python somo la 13: Kutumia condition statement - if, else, elif

Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia

Soma Zaidi...
Python somo la 21: Module katika python

Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...