Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python
Ili uweze kujuwa aina ya data iloiyotumika kwenye pytho tutatumia function ya type(). Hii hutumika kutambuwa ni aina gfani ya data iliyotumuka. Angalia mifano hii:-
Mfano 1:
mafunzo = "python, php, javascript, java"
print(type(mafunzo))
Hii itakupa majibu haya:
<class 'str'> kumanisha kuwa hiyo object hapo ni string. String hufupishwa kwa kuandika str. Kwahiyo hapo tunapata majibu kuwa "python, php, javascript, java" Ni string
Mfano 2
bei = 16500
print(type(bei))
Hii itakupa majibu <class 'int'> kumaanisha kuwa hii ni int yaani namba
Mfano 3
bei = 2.5
print(type(bei))
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza vipi django inaweza kuwasiliana na database, utajifunza kuusu orm na model
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaangalia jinsi ya kutengeneza fomu ya HTML kwa ajili ya kuingiza data kwenye jedwali la MenuItem, pamoja na kutengeneza view itakayopokea data hiyo na kuihifadhi kwenye database. Pia tutaunganisha form na URL route.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Soma Zaidi...Hapa tunakwenda kujifunza kuhusu OOP ambapo ni miongoni mwa mitindo ya uandishi wa code
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwend akuziona aina za condition statement kwneye python na jinsi ya kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya module, kazi zake, aina zake na jinsi ya kuandika modile
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...