Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.
AINA ZA DATA KWENYE PYTHON
Python inatambuwa aina zifuatazo za data:
String ni mkusanyiko wa herufi,namba na herufi, herufi na alama ama alama peke yake. Mara nyingi pythoni hukusanya alphanumerical character. Yaani herufi na namba. Katika python string itafahamika kwa kuzungurukwa na alama za kunukuu yaani (“) aua (‘) Mfano wa string
Matumizi ya backlash kwenye string
Katika string zingatia sana matumizi ya alama za kunukuu. Kama umeanza na single quote (‘) basi unatakiwa umalize na single quote. Na kama umeanza na double quote (“) basi hivyo hivyo umalize nayo. Mfano print(‘bongoclass”) hii haitakiwi inatakiwa iwe hivi print(‘bongoclass’) au print(“bongoclass”)
Sasa endapo umeanza na single quote (‘) na ukataka kuandika neno lenye single quote kwa mfano ng’ombe hapa utatumia backlash (/). Bila kufanya hivyo utapata error.
Mfano:
Mfano huu sio sahihi print('ng'ombe')
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.
Soma Zaidi...Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Soma Zaidi...Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python
Soma Zaidi...