picha

PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

AINA ZA DATA KWENYE PYTHON

Python inatambuwa aina zifuatazo za data:

  1. string

String ni mkusanyiko wa herufi,namba na herufi, herufi na alama  ama alama peke yake. Mara nyingi pythoni hukusanya alphanumerical character. Yaani herufi na namba. Katika python string itafahamika kwa kuzungurukwa na alama za kunukuu yaani (“) aua () Mfano wa string 

  1. Kwa herufi tupu print("bongoclass")Hlo neno bongoclass ni string
  2. Kwa namba tupu print(‘2018’)
  3. Kwa alama print('$@=?/')

 

Matumizi ya backlash kwenye string

Katika string zingatia sana matumizi ya alama za kunukuu. Kama umeanza na single  quote (‘) basi unatakiwa umalize na single quote. Na kama umeanza na double quote (“) basi hivyo hivyo umalize nayo. Mfano print(‘bongoclass”) hii haitakiwi inatakiwa iwe hivi print(‘bongoclass’) au print(“bongoclass”)

 

Sasa endapo umeanza na single quote () na ukataka kuandika neno lenye single quote kwa mfano ng’ombe hapa utatumia backlash (/). Bila kufanya hivyo utapata error.

Mfano:

Mfano huu sio sahihi print('ng'ombe')

 

Ili kutatuwa tatizo hili tutatumia backlash print('ng'ombe') Au tutatumia double quote print("ng...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Python Main: Masomo File: Download PDF Views 1120

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 ai web app     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 1: Jinsi ya ku install python

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya python na kazi zake. pia jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya somo.

Soma Zaidi...
Python somo la 62 Kupakia picha (upload) na kuisoma kutoka kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kushughulika na faili, kama ku upload faili kwenye django.

Soma Zaidi...
Python somo la 54: Jinsi ya Kusoma Data Kutoka Database kwenye Django

Katika somo hili tutajifunza namna ya kusoma data kutoka kwenye database kupitia Django ORM, jinsi ya kuzipeleka kwenye view, na jinsi ya kuzionyesha kwenye HTML template.

Soma Zaidi...
Python somo la 44: Data Manipulation katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kucheza na data kuzibadili kwa namna mbali mbali kwenye template

Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Soma Zaidi...