PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

Download Post hii hapa

AINA ZA DATA KWENYE PYTHON

Python inatambuwa aina zifuatazo za data:

  1. string

String ni mkusanyiko wa herufi,namba na herufi, herufi na alama  ama alama peke yake. Mara nyingi pythoni hukusanya alphanumerical character. Yaani herufi na namba. Katika python string itafahamika kwa kuzungurukwa na alama za kunukuu yaani (“) aua () Mfano wa string 

  1. Kwa herufi tupu print("bongoclass")Hlo neno bongoclass ni string
  2. Kwa namba tupu print(‘2018’)
  3. Kwa alama print('$@=?/')

 

Matumizi ya backlash kwenye string

Katika string zingatia sana matumizi ya alama za kunukuu. Kama umeanza na single  quote (‘) basi unatakiwa umalize na single quote. Na kama umeanza na double quote (“) basi hivyo hivyo umalize nayo. Mfano print(‘bongoclass”) hii haitakiwi inatakiwa iwe hivi print(‘bongoclass’) au print(“bongoclass”)

 

Sasa endapo umeanza na single quote () na ukataka kuandika neno lenye single quote kwa mfano ng’ombe hapa utatumia backlash (/). Bila kufanya hivyo utapata error.

Mfano:

Mfano huu sio sahihi print('ng'ombe')

...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 558

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Python somo la 22: Package kwenye Python
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input
Python somo la 17: Jinsi ya kutumia user input

Katika somo hili uatkwenda kujifunz anamna ambavyo mtu anaweza kuingiza input kwneye system

Soma Zaidi...
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python
PYTHON - somo la 2: Sheria za uandishi wa pyhton yaani syntax za python

Katika somo hili utakwenda kujifunza syntaxy za python yaani sheria na kanuni za kuandika code za python

Soma Zaidi...
Python somo la 42: Template tag
Python somo la 42: Template tag

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhsu Template Tag nini na kazi zake. Pia utajifunza sheria za uandishi wake.

Soma Zaidi...
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder
Python somo la 31: Jinsi ya kutengeneza faili na folder

Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili

Soma Zaidi...
Python somo la 39: Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View
Python somo la 39: Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Katika somo hili utakwenda kujifunza zaidi kuhusu Jinsi ya Kuongeza Kurasa Nyingine Katika Django View

Soma Zaidi...
Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates
Python somo la 45: Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Katika somo hili utakwend akujifunza kuchakata data kwa Kutumia Loops na Conditions katika Django Templates

Soma Zaidi...
Python somo la 37: Jinsi ya ku install Django na kutengeneza project na app
Python somo la 37: Jinsi ya ku install Django na kutengeneza project na app

Katika somo ili utajifunza hatuwa kwa hatuwa za ku install Django, kutengeneza project na kutengeneza app

Soma Zaidi...
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python
Python somo la 35: Jinsi ya kutumia MYSQL kwenye python

Katika somo hili utajifunz akutumia database kwenye python

Soma Zaidi...