PYTHON - somo la 4: Aina za data kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye python. hapa utajifunza aina kuu 3 za data.

AINA ZA DATA KWENYE PYTHON

Python inatambuwa aina zifuatazo za data:

  1. string

String ni mkusanyiko wa herufi,namba na herufi, herufi na alama  ama alama peke yake. Mara nyingi pythoni hukusanya alphanumerical character. Yaani herufi na namba. Katika python string itafahamika kwa kuzungurukwa na alama za kunukuu yaani (“) aua () Mfano wa string 

  1. Kwa herufi tupu print("bongoclass")Hlo neno bongoclass ni string
  2. Kwa namba tupu print(‘2018’)
  3. Kwa alama print('$@=?/')

 

Matumizi ya backlash kwenye string

Katika string zingatia sana matumizi ya alama za kunukuu. Kama umeanza na single  quote (‘) basi unatakiwa umalize na single quote. Na kama umeanza na double quote (“) basi hivyo hivyo umalize nayo. Mfano print(‘bongoclass”) hii haitakiwi inatakiwa iwe hivi print(‘bongoclass’) au print(“bongoclass”)

 

Sasa endapo umeanza na single quote () na ukataka kuandika neno lenye single quote kwa mfano ng’ombe hapa utatumia backlash (/). Bila kufanya hivyo utapata error.

Mfano:

Mfano huu sio sahihi print('ng'ombe')

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Python Main: ICT File: Download PDF Views 781

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PYTHON - somo la 8: method za namba zinazotumika kwenye python

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu number method yaani function zinazofanya kazi kwenye namba.

Soma Zaidi...
Python somo la 25: Sheria za uandishi wa class

Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi

Soma Zaidi...
Python somo la 32: Jinsi ya kusoma mafaili

Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data

Soma Zaidi...
Python somo la 43: Kutuma Data kutoka View kwenda Template katika Django

Katika somo hili uatajifunza jinsi gani unaweza kutumia view kma logic kuuma data kwenye template

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 6: Jinsi ya kujuwa aina ya data iliyotumika

Katika somo hili utajifunza jisni ya kujuwa aina ya data iliyotumika kwenye python

Soma Zaidi...
PYTHON - somo la 10: string method na zinavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujfnza kuhusu string method nyinginezo. Katika somo lililopita tulijifunza kuhusu string indexing.

Soma Zaidi...
Python somo la 22: Package kwenye Python

Hapa utakwenda kujifunz amaana ya package, aina zake na jinsi ya kuandika package.

Soma Zaidi...
Python somo la 15: Jinsi ya kutumia while loop

Katika somo hili tutakwend akujifunza jinsi ya kutumia while loop kwneye python

Soma Zaidi...
Python somo la 29: Encaosulation kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...
Python somo la 27: polymorphism kwneye python

Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake

Soma Zaidi...